Knights of Templar: Moja ya makundi hatari duniani

Knights of Templar: Moja ya makundi hatari duniani

Huyo jamaa basi alikuwa mnyamwezi[emoji23]
akili ya Cercei Lannister hiyo
Cercei alikuwa hatari. Haaminiki. Wamemfuata aungane nao wakapigane vita na the night king, kawasikiliza kumbe yeye mpango wake akavamie maeneo yao wakati wao wako vtani
 
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Mjumbe hauwawi......
 
Cercei alikuwa hatari. Haaminiki. Wamemfuata aungane nao wakapigane vita na the night king, kawasikiliza kumbe yeye mpango wake akavamie maeneo yao wakati wao wako vtani
Yule mwanamke alikuwa hatari nilichomkubali alikuwa wanambananisha anakuwa down kabisaa..lakini atasubir mpaka anakuja kuwa ontop kulipiza

#Sorry najua sio GOT thread kabla wadau hamjamind
 
Mkuu mleta mada endelea kushusha Ma Almasi hayo tafadhali
 
Hili kundi lilishindwa vibaya kwenye ugomvi wao na mfalme Philip wa Ufaransa. Walifufukia wapi tena?
 
IMG_2045.jpg

Nembo ya templar.
 
Non nobis, Domine, non nobis, sed Nomini tuo da gloriam
 
Familia tano zinazomiliki dunia ni
1.The Rotchchild family... USA
2.The Rocefeller family
3.The Oppenheimer family
4.The Warburg family
5.The Dupont family.
Hawa ndio wanacontrol uchumi na siasa ulimwengu pote.
Ni top illuminati family ndio wanamiliki bank ya Dunia, IMF, media zote kubwa duniani, madini, mafuta na raslimali zote za dunia ni zao.
Wao ndio upanga bei, wapanga sera na ajenda zote.
 
Wazee wa conspiracy..anyway kwani kuna ubaga gani..tukiwa na sarafu moja na dini moja..mana zilizopo hizi nazo sioni tija..mana zimeleta utengano..unafiki na chuki na mapigano.

#MaendeleoHayanaChama
Mtu aliyeiva dini hawezi pigana
 
Hakuna anaeijua dini hapo si osama si hamza.Ukiijua dini huwezi mwaga damu.
Kipindi waisrael wanaagizwa na 'mungu', wakachinje vijiji na miji yote ya watu wasio na habari wala hatia na wasiache hata mmoja (Deutoronomy 13:15-17) hawakumwaga damu?
 
Kipindi waisrael wanaagizwa na 'mungu', wakachinje vijiji na miji yote ya watu wasio na habari wala hatia na wasiache hata mmoja (Deutoronomy 13:15-17) hawakumwaga damu?
Huyo osama na hamza kaagizwa na nani
 
Back
Top Bottom