kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Hewa tupu hapo mwingine atachukua hii mada atabadili tu jina hapo na kuweka freemason ujinga tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cercei alikuwa hatari. Haaminiki. Wamemfuata aungane nao wakapigane vita na the night king, kawasikiliza kumbe yeye mpango wake akavamie maeneo yao wakati wao wako vtaniHuyo jamaa basi alikuwa mnyamwezi[emoji23]
akili ya Cercei Lannister hiyo
Hahahah that was a good oneSource: TRUST ME BRO
Yule mwanamke alikuwa hatari nilichomkubali alikuwa wanambananisha anakuwa down kabisaa..lakini atasubir mpaka anakuja kuwa ontop kulipizaCercei alikuwa hatari. Haaminiki. Wamemfuata aungane nao wakapigane vita na the night king, kawasikiliza kumbe yeye mpango wake akavamie maeneo yao wakati wao wako vtani
Japo gani nipua unalitakua mkua?Aya yanezoekeka leta jabo jipua. Apa amuna jipua
Wanajeshi nyieJapo gani nipua unalitakua mkua?
Mtu aliyeiva dini hawezi piganaWazee wa conspiracy..anyway kwani kuna ubaga gani..tukiwa na sarafu moja na dini moja..mana zilizopo hizi nazo sioni tija..mana zimeleta utengano..unafiki na chuki na mapigano.
#MaendeleoHayanaChama
mtu aliyeiva dini kabisa ndiyo osama bin laden au HamzaMtu aliyeiva dini hawezi pigana
Hakuna anaeijua dini hapo si osama si hamza.Ukiijua dini huwezi mwaga damu.mtu aliyeiva dini kabisa ndiyo osama bin laden au Hamza
Kipindi waisrael wanaagizwa na 'mungu', wakachinje vijiji na miji yote ya watu wasio na habari wala hatia na wasiache hata mmoja (Deutoronomy 13:15-17) hawakumwaga damu?Hakuna anaeijua dini hapo si osama si hamza.Ukiijua dini huwezi mwaga damu.
Huyo osama na hamza kaagizwa na naniKipindi waisrael wanaagizwa na 'mungu', wakachinje vijiji na miji yote ya watu wasio na habari wala hatia na wasiache hata mmoja (Deutoronomy 13:15-17) hawakumwaga damu?