Knights of Templar: Moja ya makundi hatari duniani

Knights of Templar: Moja ya makundi hatari duniani

1644525726017.png

Naona mnaongea ki tecno....
 
Wana unoma gani mhona mfalme phillip wa 4 wa Ufaransa aliwakamata na kuwaua knight templars wote waliokuwa ufaransa baada ya kuona wanamdai pesa nyingi na hawezi kulipa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16] mfalme alikuwa bandidu sana
 
Sio tu kwa hii ni caonspiracy theory au hadithi ya uongo, ni hadithi ya kijinga.
Yatakuja mapuuz humu ambayo hayana references zozote za habar wala hayana facts zozote zaid ya kusema conspiracy theories ama hadith za uongo.

Watu kama haw wapo tangu karne na karne na hawawezi kuisha maana wao ni kama chambo ya wengine kujifunza, ama wao ni kama matomaso ambao wameyatowa maisha yao kupinga kila kitu bila kuwa na evidence za upingaji wao mwisho wao huwa mbaya maana hukumbwa na dhoruba la yale waliyojiaminisha hayapo sas yakawakuta.

Na ndio hawa hawa hata ktk vita za 1&2 ya dunia walikuwepo ktk ile migogoro ya nchi zilizopigana, wao walkuwa wakiita migogoro hiyo ni conspiracy, sas unajuwa nini kiliwapata?

Hata ktk stories za dini utawaona watu hawa wazee wa kupinga pinga wao ndyo walikuwa wadhurikaji wakubwa sabbu ya ubishi wao, hivyo kupinga mafundisho na njia za kujinasua mapema wakakosa sabbu ya kuona wako safe hapa dunian.

Hakuna uhuru&usafe hapa dunian as long as wanaoiongoza dunia ni wanadamu, na ndio wale wale ambao tangu zamani walikuwa wakileta maafa, tofauti ni uzao tu, lkn tabia ni zile zile.

Mambo yaliyozitokea jamii za zamani lazma yatokee hata ktk jamii za sasa maana hakuna jambo lisilo na mwisho, pia ktk kila lifanyikalo lazma kuna cause &effects, so tutarajie results za hizo couses soon japokuwa hawa wapuuzi waitao conspiracy hawaamini.

Inafika muda mtu unakata tamaa ya kuwaelimisha watu wapumbavu wasiotaka kujifunza zaid ya kukaza vichwa vyao, unaamua kuwaacha watakuja kujifunza baada ya kudhurika.

Mtu kutoa muda wake humu kukuandikia mambo ambayo hata mwalimu wako ambaye ulikuwa ukimpa pesa/ada lkn hakukufundisha, em jiulize huyu anaekufundisha mambo haya bure ni Upendo gani kwako?

FOOLISHNESS, tunaishi na jamii za hovyo kabisa.

View attachment 2113209
 
Hapa hakuna evidence yoyote mwenye uzi ameweka, ni story tu.
Kama conspiracy weka nawew tuone points zako, usiwe mwepes kupinga bila evidence,

Hayo ya sarafu moja na dini moja yanakuwa hayana maana kama yanakiuka haki za binadamu, pia yanakiuka haki ya kuabudu.

Kumlazimisha mtu aabudu kitu asichokitaka huo ni ukoloni na udicteta, kuuwa pesa na sarafu za nchi zingine kwa kulazimisha maslahi na pesa za wengine zitawale huo ni udicteta,kwanin wasiache ushindani wa sarafu hizo zenyewe then yenye nguvu ndiyo itawale bila kuforce?

Inaonekana wew ktk mambo haya huna ujualo, so keep quiet
 
Uongo
Familia tano zinazomiliki dunia ni
1.The Rotchchild family... USA
2.The Rocefeller family
3.The Oppenheimer family
4.The Warburg family
5.The Dupont family.
Hawa ndio wanacontrol uchumi na siasa ulimwengu pote.
Ni top illuminati family ndio wanamiliki bank ya Dunia, IMF, media zote kubwa duniani, madini, mafuta na raslimali zote za dunia ni zao.
Wao ndio upanga bei, wapanga sera na ajenda zote.
 
Thibitisha hapo zamani za kale Sungura alikuwa hawezi kuzungumza.
Kama aliweza zungumza zamani kwann SAsa asizungumze.
Hizi mambo ni kama zile propaganda za mwanadamu alitokana na sokwe huu ni uongo mkubwa kabisa,
 
Thibitisha Hakuna Sungura anayezungumza,
Thibitisha mwanadamu hakutokana na Sokwe.
Kama aliweza zungumza zamani kwann SAsa asizungumze.
Hizi mambo ni kama zile propaganda za mwanadamu alitokana na sokwe huu ni uongo mkubwa kabisa,
 
Back
Top Bottom