Knights of Templar: Moja ya makundi hatari duniani

Wana unoma gani mhona mfalme phillip wa 4 wa Ufaransa aliwakamata na kuwaua knight templars wote waliokuwa ufaransa baada ya kuona wanamdai pesa nyingi na hawezi kulipa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16] mfalme alikuwa bandidu sana
 
Sio tu kwa hii ni caonspiracy theory au hadithi ya uongo, ni hadithi ya kijinga.
 
Hapa hakuna evidence yoyote mwenye uzi ameweka, ni story tu.
 
Uongo
 
Thibitisha hapo zamani za kale Sungura alikuwa hawezi kuzungumza.
Kama aliweza zungumza zamani kwann SAsa asizungumze.
Hizi mambo ni kama zile propaganda za mwanadamu alitokana na sokwe huu ni uongo mkubwa kabisa,
 
Thibitisha Hakuna Sungura anayezungumza,
Thibitisha mwanadamu hakutokana na Sokwe.
Kama aliweza zungumza zamani kwann SAsa asizungumze.
Hizi mambo ni kama zile propaganda za mwanadamu alitokana na sokwe huu ni uongo mkubwa kabisa,
 
Thibitisha Hakuna Sungura anayezungumza,
Thibitisha mwanadamu hakutokana na Sokwe.
Utoto SAsa huu, hao sokwe wa SAsa mbona awabadiliki kuwa wanadamu sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…