ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Simple stuff.
Jamaa alitweet siku ambayo kobe alimpakia mchezaji mwenzie kwenye helicopter na kumpa a ride of his life. It was on the news
Aliyetweet akaona ajipostie tu.
Ni sawa na wale wachezea magari waliokufa Arusha, one would have been right to tweet years before that jamaa atakujq afe kwenye hiyo gari. Does not make it a prediction.
Kila siku tunapredict vifo vya watu ila hatuvitweet ndio maana hatukumbuki.
Jamaa alitweet siku ambayo kobe alimpakia mchezaji mwenzie kwenye helicopter na kumpa a ride of his life. It was on the news
Aliyetweet akaona ajipostie tu.
Ni sawa na wale wachezea magari waliokufa Arusha, one would have been right to tweet years before that jamaa atakujq afe kwenye hiyo gari. Does not make it a prediction.
Kila siku tunapredict vifo vya watu ila hatuvitweet ndio maana hatukumbuki.