Kobelo Cha Pombe vs Masele Chapombe

Hao enzi zao sikuwaona bablai,So hapo nimewaweka ambao nimewaona.Zembwela nimeanza kumuona kwenye Uswazi EATV
Mkuu,kwani huwezi kuongea vizuri bila hayo maneno ya arusha huko ? Yani mtu akiyatumia inatoa perception mbaya,samahani lakini
 
Masele bado yupo juu...

Yule jamaa muda wowote ukikutana nae yeye ni kama mlevi...


Cc: mahondaw
 
Namkubali sana kobelo, masele anatumia nguvu nyingi huwa simuelew kwa kweli
 
Masele ameuvaa uhalisia kiasi kwamba ukisikia jina Masele image ya mlevi inakujia kichwani, Masele ni synonymous na Pombe , huyo kobelo wenu Bado sana kwa Masele..

Ni Sawa na Kumlinganisha Albert Einstein na Dokta Manyaunyau
 
Mie mpka kesho najua masele ni mlevi kufa hadi mtaani....unajua ni kwa nini?
 
Kwani huyu masele aliendaga wapi au kaachaga kuigiza.
Binafsi nawakubali pembe senga na (marehemu majuto) na braza k wa fuhuhi hao wengine simfagilii hata mmoja
Uwakubali usiwakubaki inattmegemea na kiwango cha bangi unachovuta.
 
Mkuu,kwani huwezi kuongea vizuri bila hayo maneno ya arusha huko ? Yani mtu akiyatumia inatoa perception mbaya,samahani lakini
Duuh yaani ilo neno Bablai tu ndo limeleta Perception mbaya Mkuu??Sawa bhana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…