Koboko aka Black Mamba

Urafiki na nyoka tuwaachie wazungu. mimi akijichanganya hata kwa bahati mbaya akipona basi akaokoke kabisa. haijarishi ni nyoka wa aina gani nina matukio kadhaa ya hawa nyoka hawafai kabisa hata kidogo japo ni wapole mno ukimkuta katika hali yake ya kawaida Ole wako umkute kavukrugwa au umvuruge yangu ni hayo wewe kama unapendas manyoka kaishi porini lkn sio uraiani huku kufa atakufa tu kwa njia yoyote ile

Na wanatabia akiwa anapitaga hapo au kuota jua saa3 basi kila siku muda huohuo utamkuta ole wako umletee usubufu wowote
 
Ukifa mke wako ataolewaa tu
 
. Kuna dawa za asili za kuchanjia mwilini, nyoka yoyete yule akikuona atadhani ni nyoka mwenzie, hivyo hawezi kukufanya chochote.

. Bila kumsahau mamba pia kuna dawa za kuchanjia, hata ukiogolea na mamba sehem moja hawawezi kukudaka, watadhani na wewe ni mamba mwenzie.


NB: Majivu ya nyoka kazi yake kuu, hutumika kugandisha hasa wanaofanya uzizi na mke wa mtu au na mme wa mtu.
 
Mkuu si ungetupa link tukamcheki
Yule mwamba ana skill za kutosha pia ni jasiri, japo sometime pia huwa hadi anatetemeka anapoyakamata madubwana makubwa kama hili.

Huwa anasema ukikutana na black mamba usijaribu kupambana nae kwani hautamshinda cha kufanya stand still don’t move then ataendelea na mishe zake. Ni hatari
 
Linatisha hili dubwana, afu ni mkubwa kweli.
Kumbe tz yapo haya madude.

Najaribu kufikiria wamemuuaje huyu deadly snake mkubwa kiasi hiki maana hata mtu mwenye skills kwa mazingira na ukubwa wake huyu kiumbe nadhani angemtoa jasho.
Mkuu Tabora wapo wengi ila epuka sana story za humu nyingi ni fix tu.Ushuhuda wa watu wengi ni kwamba walishamuona ila kiuhalisia ni uongo.Huyu nyoka haonekani ovyo kabisa unaweza kumaliza hata miaka kumi ukawa umemuona mara moja tu.Na wenye bahati ya kumuona zaidi ni wachungaji wa ng'ombe.
 
JAMAA PROFESSIONAL YULE..
 
Tatizo la Black mamba ye hajui kama unafanya usamaria unampeleka kwenye makazi yake.

Lazima akunyime ushirikiano
Nasikia ana kisasi unaweza mrudisha akarudi kulipiza.
 
Bora iwe hivyo mkuu maana kwa stor ninazozisikia kama ingekuwa kweli basi kungekuwa na vifo vingi sana kila siku. Awe tu adimu kuonekana na watu maana hafai kuwa karibu na watu huyu kiumbe.
 
Nina mwanamke urambo
 
Siku moja tulikuwa site maporini huko tunafanya survey, ghafla tukakutana naye

Bahati nzuri tulikuwa na Wazee Fulani wa Kimila, walitema mate Chini ghafla yule Koboko akageuza njia haraka kutupisha na kutokomea maporini zaidi 🙌
Eti jamani 🤔
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyu atakuwa amekanyagwa na gari... au kategewa panya mwenye Sumu au mtego wa kubuni.

kumpiga kwa mawe na marungu si rahisi
 
Eti jamani 🤔
Mkuu huamini?

It was such happened, sijui kama yule nyoka alikuwa wakwao Kimila ama vipi.

Hivi hujawahi kusikia miradi imeshindwa kukamilishwa huko Kijijini eti kisa Wazee wa Mila hawajahusishwa?

Tembea uone Mkuu 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…