Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Brother mimi mwenyewe nipo [B[USHIROMBO[/B] mwaka wa 8 huu na nimetembea kote MNEKEZI,BULEGA, KAKOYOYO,LUREMBELA,NYAMPLALA, BUTUBRI Sijawahi kusikia koboko wala nini isipokuwa COBRA ,CHATU ndo wanapatpatikana sana sasa wewe naomba unieleze huyo koboko wako ulimuonea barabara gani hapa USHIROMBO
Utakuwa G4 wewe[emoji1]
 
Hiyo ya kioo kuna koboko aligonga windscreen ya Scania ile sumu ilitapakaa kioo kizima, watu wengi hawawezi kuamini lakini kile kioo kiliharibika maana kwenye jua huoni kabisa maana mwanga unakuumiza kama kioo kilichoharibika kwa mchanga mda mrefu
huyo nyoka kwa wanaomfahamu hawaweze kubisha,,mim nilikuwa siamini habar zake ila cku niliyoshuhudia mabalaa yake stak hata kumsikia kwanza koboko kadiri anavyozidi kugonga ndiyo na hasira zinamzidi ukikuta kagonga ng'ombe kumi bas huyo ngombe wa kumi mshndo akao kuwa kapigwa sio wa nchi hii kuna miti fulan hv huwa wanatumia kumuulia huwa ni xa kijan kabisa lakin huwa anaipiga mpaka inabadikika rangi inakuwa ya kahawia
 
huyo mtaalam... huwa hafanyi makosa akiwa kazini, kipind cha zaman kidogo.... wazungu walienda tabora... wakasikia habari ya kiumbe huyu( kama ilivyo marufuku kumtaja jina)... wakabisha sana juu ya habar zake... maana wao walikuwa wanaamin hakuna kama cobra..

shauku ilivyowajaa... wakatoa dau zuuri... kwa kijana atakayemkamata 'mtaalam' na kuwaletea..... ghafla akajitokeza masai mmoja kwa kujiamin.. kuwa wampe siku tatu... atakuwa ameshamkamata....

masai akazama vichakani.... katika kupitapita... akamkuta mtaalam anakula asali..... masai akamvalisha gunia mtaalam pamoja na mzinga wa asalii.....

aisee... itaendelea... nisije nikafungua uzi ndan ya uzi....
malizia basi
 
Mkuu hakuna tiba ya nyoka huyo. Ukigongwa na koboko huwei hatachukua dakika 40. Unakufa umebadilika rangi. Nyoka huyu anaogopwa mno kwani, wazee wenye utaalamu wa kumtibu mtu aliyegogwa hawapatikani katika maeneo mengi. Mimi niliwahi kusimuliwa na mzee mmoja ambaye alikuwa anajua dawa hiyo, na alisema ni majani fulani porini, lakini aligoma kuniambia kabisa,

Kwanza dakika 40 ni nyingi mno mda ni dakika 15 mpaka 20 unakua umekata kamba
 
Mkuu hakuna tiba ya nyoka huyo.
Ushahidi unaonyesha kuwa ukiwa na bahati unaweza kupona,kuna watu kama wawili hivi waliogongongwa na Koboko na kulazwa ICU na kuwekwa kwenye Life Support Machine bila ya Antivenin na kwa bahati nzuri walipona,tukio hili lilotokea huko Zimbabwe.
 
Niliwahi kutembelea Meserani snake park huko Arusha, sikuwa na idea na baadhi ya nyoka, je huyu mdudu anapatikana pale? Na pia kuna snake park moja pale Mapinga Bagamoyo ningependa kujua kama wapo ili nifanye utalii wa ndani tena
Yupo snake park Bagamoyo, black mamba, green mamba, puff adder, chatu, na wengine nimewasahau. Huyo green mamba yeye anaitwa nyoka mbea zaidi. Akiona kijiwe cha watu wanapiga story, naye anakuja anakaa karibu kusikiliza. Mara kadhaa hujisahau na kuanguka, hapo ndipo tafrani hutokea, kila mtu na njia yake.
 
Anti-snake venom sera contain immune globulins or their fragments purified from plasma after the donor animals have been immunized with snake venom, and are mainly used for the treatment of envenomation.1 The immunoglobulins in antivenom bind to the free toxins in the snake venom to neutralize the toxicity.2 However, there are some adverse reactions in the use of antivenom, such as immediate hypersensitivity (8%) and serum sickness (13%).3 It is a very rare condition that the patient was treated with the same antivenom. In this report, we present a case of envenomation treatment for an old male patient who did not have hypersensitivity in the first treatment, but developed immediate hypersensitive reaction during the second treatment with the same dose of serum after re-bitten by the same snake. We report the clinical manifestations, treatments, possible pathogenesis and preventative strategies.

Case report
Diagnosis and treatment
First visit
The patient, male, 75 years old, had no previous history of drug allergy, asthma or allergic rhinitis. In the morning of September 26, 2015, the patient was bitten at the back of the right hand by a venomous snake in the kitchen (adder, a common snake in his area). The patients felt local pain and swelling that extended to the right forearm. No obvious wound bleeding, disturbance of consciousness, dizziness, nausea, vomiting, chest tightness nor dyspnea was found. He visited the hospital 1 h after the bite and received full examination.

The temperature was 36.5 °C, pulse 80 beats/min, respiratory rate 21 times/min, and blood pressure 116/88 mmHg. There was swelling from the back of the right hand to the right forearm. Two teeth marks were seeded at the wound site. Opisthenar was blue and purple in color with swelling; the fingers were inflexible. Blood routine tests showed that white blood cell count (WBC) was 11.2 × 109/L, the neutrophil ratio rised to 87% and others were normal.

The patient was immediately given anti-adder venom (National Drug Approval No. S1082108, production lot number No. 20150501, Sailun Biological Technology, Shanghai, China) after skin allergy test showed negative result. The serum was intravenously infused with the dose of 6000 U and the patient showed no signs of allergy or other discomfort. The wound was debrided and topically applied with the powder of Jidesheng snake pill. Meanwhile, oral administration of the pill (8 g) and intramuscular injection of 15,000 U of refined tetanus antitoxin and 40 mg of methylprednisolone were done for anti-inflammation. Moreover intravenous drip of propacetamol (1 g) for pain relief and ceftazidime (2 g) for anti-infection was conducted. After one day of treatment, the swelling was subtotal subsided and opisthenar and fingers were flexible. The patient had no other discomfort and was discharged.

Second visit
On October 25, 2015, the patient was bitten again at the same site (the thumb and index finger of right hand) around 7:00. The snake was believed to be the same. The patient was severely painful with a small amount of bleeding in the wound. The patient had no dizziness, vertigo, numbness, heart palpitation, chest tightness, shortness of breath, nausea, vomiting, or abdominal pain. After treatment of the wound with ethanol by himself, the pain was not relieved. Thirty min later, the wound exacerbated with subcutaneous blisters appeared. The pain spread to opisthenar and extended to the upper limb. Opisthenar and the wrist were swollen, which did not subside after herbs application.

At 12 p.m., the patient visited the hospital. Physical examination showed that the temperature was 36.7 °C, pulse 82 beats/min, breathing 21 times/min and blood pressure 118/84 mmHg. The patient was conscious with smooth breathing and normal rhythm. The teeth marks of the snake were visible at the right thumb and index finger with local and dark-red swelling. There were some blisters and the swelling had extended to the upper arm from opisthenar. The circumferences 10 cm above the rasceta and olecranon were 23.5 cm and 30 cm, respectively. The same level of the sound limb was 21 cm and 26 cm, respectively. Opisthenar was heavily swollen with touch pain and normal skin temperature and slightly high tension. The five fingers were flexed with poor flexibility but normal feeling. Laboratory tests showed that WBC was 15.6 × 109/L, the neutrophil ratio 92.5%.

The patient was immediately given local debridement and rinsed with hydrogen peroxide, wound washing, oral administration of Jidesheng snake pill (8 g) and other anti-inflammation & anti-infection treatment as the first visit. Skin allergy test for antivenom was preformed again but the result was positive with erythema papula of 2.2 cm in diameter. Upon obtaining the informed consent, the patient was desensitized and infused slowly (1 mL/min) with 6000 U serum in 500 mL saline according to the protocols approved by the CFDA (China Food and Drug Administration). The patient was transferred to the emergency room to receive desensitization treatment for 15 min along with ECG and oxygen saturation monitoring. He then felt hot at both feet but no other discomforts. 5 min later, he complained of dizziness, malaise, itching of chest and back, chills and cold extremities. Examinations showed that the respiratory rate was 22 times/min, pulse 98 beats/min, and blood pressure dropped to 98/49 mmHg. He had pale face with large area of erythema, rashes on the chest and swellings on the back. These symptoms were considered as allergic reactions and the infusion was stopped immediately. He was given oxygen, the oxygen concentration was 5 L per minute. He was also given intramuscular injection of Promethazine (1mL) and intravenous injection of methylprednisolone (40 mg) and intravenous drip of 100 mL 10% glucose with 10 mL 10% calcium gluconate. Five min later, the patient achieved relief from the symptoms and his complexion restored gradually with no more chills.

The temperature was measured to be 36.7 °C, breathing 21 times/min, heart beating 88 times/minute, blood pressure 121/88 mmHg and blood oxygen saturation 99%. One hour later, the rashes on the back and chest gradually faded and disappeared 6 hour later without other discomforts. He was later treated for swelling, pain, anti-infection as well as oral administration and topical application of snake pills. After 5 days of treatment, the pains and swelling were obviously relieved. Examinations showed that WBC was 9.93 × 109/L, neutrophil ratio of 69.5%. The patient was uneventfully discharged
 
huyo mtaalam... huwa hafanyi makosa akiwa kazini, kipind cha zaman kidogo.... wazungu walienda tabora... wakasikia habari ya kiumbe huyu( kama ilivyo marufuku kumtaja jina)... wakabisha sana juu ya habar zake... maana wao walikuwa wanaamin hakuna kama cobra..

shauku ilivyowajaa... wakatoa dau zuuri... kwa kijana atakayemkamata 'mtaalam' na kuwaletea..... ghafla akajitokeza masai mmoja kwa kujiamin.. kuwa wampe siku tatu... atakuwa ameshamkamata....

masai akazama vichakani.... katika kupitapita... akamkuta mtaalam anakula asali..... masai akamvalisha gunia mtaalam pamoja na mzinga wa asalii.....

aisee... itaendelea... nisije nikafungua uzi ndan ya uzi....
Mkuu hembu kuwa mstaarabu malizia hii story
 
Huu uzi umeniogopesha sana,ila naweza kukubaliana
na wale wanaosema huyu nyoka ni hatari lakini ni mpole
pale ambapo hajachokozwa au kujihisi hayupo salama.
sababu moja hii.
Mdogo wangu anaishi tabora na huwa anatabia ya kwenda
kwenye sehemu za pori,siku moja akaenda na rafiki yake
kupunga upepo maeneo hayo aliyozoea kwenda.
wakiwa maeneo hao wakasikia sauti ambayo mdogo wangu
anasema huwa anaisikia mara kwa mara akiendaga ila
huwa anaipotezea kwani hiyo sauti ni kawaida kuisikia
kijijini kwetu kila siku usiku,na tuliaminishwa kuwa
ni sauti ya wanyama wadogo wanaokulaga ndizi,yule rafiki yake
akamwambia tuondoke haraka maeneo haya,hiyo ni sauti
ya koboko.Akakubali wakaondoka mara moja.

Aliponijulisha habari hii nikagoogle ili nione
tabia za nyoka huyo hatari nikagundua anapenda
kukaa kwenye misitu yenye giza na ni nadra sana
kumuona kama hajapenda kujitokeza umuone.
Nikakumbuka kuna kimsitu jirani na nyumbani
kwetu,ni kidogo ila kina kigiza fulani hivi hata mchana
na sisi tulikuwa tunapenda sana kwenda humo
kutafuta kuni na matunda pori,ila hatujawahi
kumuona wala kufukuzwa japo usiku lazima
tusikie sauti hizo zikitokea humo msituni.

Ninapoendelea kusoma habari hizi
natamani niwajulishe ndugu zangu kule
nyumbani wasiwe wanaenda humo msituni
maana huwezi kujua ni lini huyu mdudu
anaweza kubadirisha utaratibu wa maisha.
japo ni miaka mingi tunaishi pale kwa amani.
Ni miaka ya nyuma sana ndo baba mmoja
aliumwa na nyoka wa aina hiyo alimrukia
kutokea kwenye mti na hakupona
ila mazingira ya mbali na hicho kimsitu.
 
Huu uzi umeniogopesha sana,ila naweza kukubaliana
na wale wanaosema huyu nyoka ni hatari lakini ni mpole
pale ambapo hajachokozwa au kujihisi hayupo salama.
sababu moja hii.
Mdogo wangu anaishi tabora na huwa anatabia ya kwenda
kwenye sehemu za pori,siku moja akaenda na rafiki yake
kupunga upepo maeneo hayo aliyozoea kwenda.
wakiwa maeneo hao wakasikia sauti ambayo mdogo wangu
anasema huwa anaisikia mara kwa mara akiendaga ila
huwa anaipotezea kwani hiyo sauti ni kawaida kuisikia
kijijini kwetu kila siku usiku,na tuliaminishwa kuwa
ni sauti ya wanyama wadogo wanaokulaga ndizi,yule rafiki yake
akamwambia tuondoke haraka maeneo haya,hiyo ni sauti
ya koboko.Akakubali wakaondoka mara moja.

Aliponijulisha habari hii nikagoogle ili nione
tabia za nyoka huyo hatari nikagundua anapenda
kukaa kwenye misitu yenye giza na ni nadra sana
kumuona kama hajapenda kujitokeza umuone.
Nikakumbuka kuna kimsitu jirani na nyumbani
kwetu,ni kidogo ila kina kigiza fulani hivi hata mchana
na sisi tulikuwa tunapenda sana kwenda humo
kutafuta kuni na matunda pori,ila hatujawahi
kumuona wala kufukuzwa japo usiku lazima
tusikie sauti hizo zikitokea humo msituni.

Ninapoendelea kusoma habari hizi
natamani niwajulishe ndugu zangu kule
nyumbani wasiwe wanaenda humo msituni
maana huwezi kujua ni lini huyu mdudu
anaweza kubadirisha utaratibu wa maisha.
japo ni miaka mingi tunaishi pale kwa amani.
Ni miaka ya nyuma sana ndo baba mmoja
aliumwa na nyoka wa aina hiyo alimrukia
kutokea kwenye mti na hakupona
ila mazingira ya mbali na hicho kimsitu.
toa taarifa bro ase uyu mdudu ni shigidy japo Mungu anatulinda
 
Wapo wanaoacha meno pale alipogonga lakin kwa koboko ni habari nyingine. Kama ni uwanjani anaweza kugonga wachezaji wote wa timu zote mbili tena kwa kiwango kile kile cha sumu bila kupunguza. Mdomo wake ni jeneza mkuu
Hakika huyo ndo koboko tena yule aliekomaa
 
Huu uzi umeniogopesha sana,ila naweza kukubaliana
na wale wanaosema huyu nyoka ni hatari lakini ni mpole
pale ambapo hajachokozwa au kujihisi hayupo salama.
sababu moja hii.
Mdogo wangu anaishi tabora na huwa anatabia ya kwenda
kwenye sehemu za pori,siku moja akaenda na rafiki yake
kupunga upepo maeneo hayo aliyozoea kwenda.
wakiwa maeneo hao wakasikia sauti ambayo mdogo wangu
anasema huwa anaisikia mara kwa mara akiendaga ila
huwa anaipotezea kwani hiyo sauti ni kawaida kuisikia
kijijini kwetu kila siku usiku,na tuliaminishwa kuwa
ni sauti ya wanyama wadogo wanaokulaga ndizi,yule rafiki yake
akamwambia tuondoke haraka maeneo haya,hiyo ni sauti
ya koboko.Akakubali wakaondoka mara moja.

Aliponijulisha habari hii nikagoogle ili nione
tabia za nyoka huyo hatari nikagundua anapenda
kukaa kwenye misitu yenye giza na ni nadra sana
kumuona kama hajapenda kujitokeza umuone.
Nikakumbuka kuna kimsitu jirani na nyumbani
kwetu,ni kidogo ila kina kigiza fulani hivi hata mchana
na sisi tulikuwa tunapenda sana kwenda humo
kutafuta kuni na matunda pori,ila hatujawahi
kumuona wala kufukuzwa japo usiku lazima
tusikie sauti hizo zikitokea humo msituni.

Ninapoendelea kusoma habari hizi
natamani niwajulishe ndugu zangu kule
nyumbani wasiwe wanaenda humo msituni
maana huwezi kujua ni lini huyu mdudu
anaweza kubadirisha utaratibu wa maisha.
japo ni miaka mingi tunaishi pale kwa amani.
Ni miaka ya nyuma sana ndo baba mmoja
aliumwa na nyoka wa aina hiyo alimrukia
kutokea kwenye mti na hakupona
ila mazingira ya mbali na hicho kimsitu.
Hawa ni viumbe kama viumbe wengine kuna wakati wanapigwa na wakubwa wao na kuamua kusepa na kuishia kukaa karibu na watu kama ndio ndugu zao tena
Wapo wanaokuwa karibu na makazi ya watu bila kuwadhuru.
Maisha yao ya kuishi ni mpaka miaka 12 kwa hiyo kama hajadhuru mtu mda wote huo atakuwa kawapenda sana
 
Msichanganye vitu,

Koboko(black mamba) wako was aina moja na wote wanatabia zilezile

Ila

Puff adder( kifutu) wako aina wengi sana duniani.

Puff adder Wenye sumu Kali sana, ni wale wa Jangwani na maeneo yenye ukame sana.

Hawa wakikugonga, huchukui ddk 15 ile sehem ulogongwa inaanza kuoza.

Ijapokua hufi haraka.


Ila kwa black mamba, hakuna mbwembwe za kuanza kuoza.

Kinachotokea ni kuanza kubadilika rangi ya ngozi kua black/blue

Kisha ndani ya 10-20min baada ya kugongwa, Inakua ni kifo.

BLACK MAMBA AKIKUGONGA UTAKUFA HARAKA SANA,

ILA KIFUTU AKIKUGONGA, HUFI HARAKA,BALI UTATESEKA SANA.
Asante
 
Back
Top Bottom