Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Kama akiingia nyumbani watu wanachanganyikiwa sana na hapo anahamaki na yeye

Kawaida yetu wa Africa na Asia pia nimeona tukiona nyoka hata kenge tutapiga kelele utafikiri kelele ndio zinauwa

Kama hauna uwezo wa kumkamata na kumpeleka porini basi kumuuwa ni sawa maana yupo ndani
Lakini umemkuta porini halafu unaanza kupambana nae kama ndio kilichokupeleka huo ni uonezi
Huwa nawaza mengi sana
Ana familia na hata watoto mjue hahaha
Ni kweli, yuko kwenye mishe zake muache aendelee na maisha yake. Wengi wa Hawa viumbe ni waoga ukiachilia mbali huyu koboko. Wengi huwa wakisikia vishindo au dalili za hatari wanajificha. Ila unakuta mtu anaacha shughuli zake anaanza kupambana nae.
 
Na unaweza kuta mtu hadi anakufa wala hajarithisha mtu hata kuwafundisha wengine, imagine Mwanamalundi alipokufa na hadithi yake ikaishia hapo.
Hilo ndio tatizo wengi wao wanarithishana kama uchawi wakati ni elimu kama elimu zingine tu
Ila sisi tunafanya makubwa sana
Unakuta mtu anajua kutibu mfupa uliovunjika bila kushika sehemu hiyo lakini hana msaidizi kabisa.

Kuna watu wana ujuzi sana Africa ila hatuoni umuhimu mpaka tuone inauzwa pharmacy
 
Hilo ndio tatizo wengi wao wanarithishana kama uchawi wakati ni elimu kama elimu zingine tu
Ila sisi tunafanya makubwa sana
Unakuta mtu anajua kutibu mfupa uliovunjika bila kushika sehemu hiyo lakini hana msaidizi kabisa.

Kuna watu wana ujuzi sana Africa ila hatuoni umuhimu mpaka tuone inauzwa pharmacy
Loh, tena hii ya mfupa yaan umenikumbusha mbali. Kuna kipindi nilipata ajali nikaumia sana. Hosp nilikaa miezi nilivyotoka nikawa siwezi kutembea vzr. Alikuwa mama mmoja alivyoniangalia tu akasema kesho ntakuja kukuona tena, kesho yake akaja yaan akawa anapekecha tu mikono yake huku mie nasikia mifupa inavyokaa, baada ya muda nikaanza kutembea vzr tu
 
Kuna sehemu nipo huku mkoani Tabora sehemu nilikuwa nimekaa nikasikia watu wakimsimulia nyoka aina ya koboko ambaye inasemekana anapatikana Tabora ,Shinyanga,Singida na Kigoma.

Kuna mtu mmoja katika mazungumzo yake alikuwa akisema ni bora ukutane na simba au chui unaweza ukapona kuliko koboko. Nilipojaribu kumuuliza alisema hayupo tayari kumuongelea kiundani wala kumtaja kwasababu ukiwa ndani ya mkoa wa Tabora au Shinyanga ni marufuku kumtaja huyu nyoka jinsi alivyoniambia.

Sasa kwa wale wanaomfahamu hebu tuelezeeeni kwanini koboko anaogopeka kuliko simba au chui?


-----

Pia soma...
Namm sipo tayar kumuongelea
 
Honey badger akikutana nakoboko aliekomaa panakua hapotoshi anaweza kumwua ila nayey hachukuia round
Honey badger hafagi mkuu huwa anakata moto kwa muda kisha akiamka anaendelea kula mzoga wake wa black mamba.huyu mdudu alivyo wa ajabu akiishamuuwa nyoka hata kama ana sumu ya aina gani ataanza kumla kuanzia kichwani inakotokea sumu.
 
Loh, tena hii ya mfupa yaan umenikumbusha mbali. Kuna kipindi nilipata ajali nikaumia sana. Hosp nilikaa miezi nilivyotoka nikawa siwezi kutembea vzr. Alikuwa mama mmoja alivyoniangalia tu akasema kesho ntakuja kukuona tena, kesho yake akaja yaan akawa anapekecha tu mikono yake huku mie nasikia mifupa inavyokaa, baada ya muda nikaanza kutembea vzr tu
Hiyo naijua sana na nimemuona mfanyakazi wangu mmoja alivunjika akakataa kwenda hospital badala yake akaenda kijijini.
Jamaa alipona vizuri ila anasema unahisi kabisa mifupi inaunga
 
Huyu Nyoka Kifutu, na nyoka ambae wamakonde humwita Namalutu, ndiyo nyoka wanaongoza kwa kuwagonga watu huko Mtwara, hususani wilaya ya Newala na Tandahimba.
Ni nyoka ambao akikugonga wana tiba mzuri tu ya kienyeji, na hakuna ulemavu.
Pia kuna kinga ya nyoka, ukipewa inafanya kazi kwa muda fulani aidha, inakulinda kwa miaka mitatu, alafu inaisha nguvu, mpaka uchanjwe tena.

Ipo ambayo nyoka akikugonga, sumu haikudhuru, na ipo nyingine, unapokaribia eneo ambalo nyoka yupo, ama nyoka anapokukaribia, hukia harufu, ya kihadui hadui ambae hamuoni, hivyo anachofanya ni kuondoka eneo hilo kwa haraka.
Ni kweli mkuu kuna tiba ya asili ya mtu alieng'atwa na kifutu. Ni nzuri haupati ulemavu kama utaipata kwa wakati.

Baba yangu mzazi aling'atwa na kifutu na kupona bila alama yeyote.

Lakini nimeona watu kadhaa waliopata ulemavu sababu ya kifutu. Ni kama mdau mmoja hapo juu alisema uking'atwa na kifutu ukichelewa kidogo tu tiba sahihi unaanza kuoza. Na hatari niliyo iona kuna mzee amelemaa hadi mfupa, yaani mguu umejikunja kabisa mahali alipong'atwa na kuwa mdogo kama ulemavu wa polio
 
I see
Halafu watu kama hawa mpaka wanakufa na elimu yao
Huyu ingekuwa binadamu wanaojielewa Leo angekuwa kaandika na vitabu na anaheshimika kwa uvumbuzi wa tiba hizi

Inasikitisha sana tunavyopoteza ujuzi
Bora Africa isingefuata mifumo hii ya wazungu tukaishi bila Rais na serikali maana haisaidii watu kama hawa
Mbaya zaidi hakuchaji zaidi ya elfu 15 akikuuzia dawa yake, ni dawa ya mimea hii asilia anaingia porini anatafuta mmea unaohusika anatengeneza dawa, kisha anakuuzia na kukupa maelezo namna ya kuitumia, na ukitembelea kijijini kwetu asilimia kubwa ya nyumba ukiingia hakukosi dawa ya nyoka, na huwa nazo za aina mbili,

moja ya kupaka kwenye jeraha hii husaidia kuvuta sumu itoke kwa njia ya damu kabla haijafika mbali

Ya pili ni ya kunywa hii husaidinia kuzuia sumu isifanye kazi ndani ya mwili,

kiukweli jamaa yupo vizuri ila ni masikini tu anaishi kijijini huko msimu huu wa kilimo yupo mashambani kumuona kuanzia saa 12 jioni
 
Mbaya zaidi hakuchaji zaidi ya elfu 15 akikuuzia dawa yake, ni dawa ya mimea hii asilia anaingia porini anatafuta mmea unaohusika anatengeneza dawa, kisha anakuuzia na kukupa maelezo namna ya kuitumia, na ukitembelea kijijini kwetu asilimia kubwa ya nyumba ukiingia hakukosi dawa ya nyoka, na huwa nazo za aina mbili,

moja ya kupaka kwenye jeraha hii husaidia kuvuta sumu itoke kwa njia ya damu kabla haijafika mbali

Ya pili ni ya kunywa hii husaidinia kuzuia sumu isifanye kazi ndani ya mwili,

kiukweli jamaa yupo vizuri ila ni masikini tu anaishi kijijini huko msimu huu wa kilimo yupo mashambani kumuona kuanzia saa 12 jioni
Mimi hizi dawa za nyoka, mjomba wangu, anazo, ila mimi sijahi hitaji kwa kujivunia tu tunaishi mijini.
 
Mbaya zaidi hakuchaji zaidi ya elfu 15 akikuuzia dawa yake, ni dawa ya mimea hii asilia anaingia porini anatafuta mmea unaohusika anatengeneza dawa, kisha anakuuzia na kukupa maelezo namna ya kuitumia, na ukitembelea kijijini kwetu asilimia kubwa ya nyumba ukiingia hakukosi dawa ya nyoka, na huwa nazo za aina mbili,

moja ya kupaka kwenye jeraha hii husaidia kuvuta sumu itoke kwa njia ya damu kabla haijafika mbali

Ya pili ni ya kunywa hii husaidinia kuzuia sumu isifanye kazi ndani ya mwili,

kiukweli jamaa yupo vizuri ila ni masikini tu anaishi kijijini huko msimu huu wa kilimo yupo mashambani kumuona kuanzia saa 12 jioni
Duu aisee vipaji vinapotea
Hivi hamuwezi kumsaidia kwa kuiboresha kama packaging nzuri na kuipeleka sehemu za mijini.
 
Mimi hizi dawa za nyoka, mjomba wangu, anazo, ila mimi sijahi hitaji kwa kujivunia tu tunaishi mijini.
Hata mjini wapo wengi tu tena wengine watembezi sana wanakuja toka India na China kwa meli
Unafungua container anasepa taratibu bila visa
Sasa ukutane nae huyo ndio utajua dawa ina umuhimu kijijini tu au hata New York
 
Kifaru na ukubwa wake lakini alioza mguu wote
Kifutu mbaya nae ila kama kuna tiba safi
Ni kweli mkuu kuna tiba ya asili ya mtu alieng'atwa na kifutu. Ni nzuri haupati ulemavu kama utaipata kwa wakati.

Baba yangu mzazi aling'atwa na kifutu na kupona bila alama yeyote.

Lakini nimeona watu kadhaa waliopata ulemavu sababu ya kifutu. Ni kama mdau mmoja hapo juu alisema uking'atwa na kifutu ukichelewa kidogo tu tiba sahihi unaanza kuoza. Na hatari niliyo iona kuna mzee amelemaa hadi mfupa, yaani mguu umejikunja kabisa mahali alipong'atwa na kuwa mdogo kama ulemavu wa polio
 
Nyoka huyu ana kasi, anaona sana,yupo kwenye kundi la nyoka wanaoitwa elapids wakali mno, huyo ni moja ya nyoka hatari mwenye sumu aina ya Neurotoxic inaadhiri kwa kasi mishipa ya fahamu na moyo 1.5cc ya sumu akikudunga inachukua dk 20-30 kiumbe kupoteza maisha,
 
Mbaya zaidi hakuchaji zaidi ya elfu 15 akikuuzia dawa yake, ni dawa ya mimea hii asilia anaingia porini anatafuta mmea unaohusika anatengeneza dawa, kisha anakuuzia na kukupa maelezo namna ya kuitumia, na ukitembelea kijijini kwetu asilimia kubwa ya nyumba ukiingia hakukosi dawa ya nyoka, na huwa nazo za aina mbili,

moja ya kupaka kwenye jeraha hii husaidia kuvuta sumu itoke kwa njia ya damu kabla haijafika mbali

Ya pili ni ya kunywa hii husaidinia kuzuia sumu isifanye kazi ndani ya mwili,

kiukweli jamaa yupo vizuri ila ni masikini tu anaishi kijijini huko msimu huu wa kilimo yupo mashambani kumuona kuanzia saa 12 jioni
Huyu anajitolea zaidi hayuko kibiashara
 
Loh, tena hii ya mfupa yaan umenikumbusha mbali. Kuna kipindi nilipata ajali nikaumia sana. Hosp nilikaa miezi nilivyotoka nikawa siwezi kutembea vzr. Alikuwa mama mmoja alivyoniangalia tu akasema kesho ntakuja kukuona tena, kesho yake akaja yaan akawa anapekecha tu mikono yake huku mie nasikia mifupa inavyokaa, baada ya muda nikaanza kutembea vzr tu
Hiyo hata mm natibu mkuu..ulithi wa babu tu na simple kabisa.
 
Back
Top Bottom