Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Hivi na ndumila kuwili yale hayana kichwa nao ni vipi? Sijasikia akitajwa hapa
 
Yes...Steve kuna siku niliona anacheza na croc. Mkubwa kinoma, yaani anamchezea kama mwanasesere vile!

Eti kaja kuuliwa na haka kasamaki[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hawa samaki wanaliwa na binadamu?
Du kumbe ulikuwa unamwangalia Steve
Yaani alikuwa anawachokoza mamba na wenye watoto na kukimbia hahaha yaani jamaa alikuwa comedy kweli
Na yes taa analiwa vizuri tu huko Singapore na malaysia lakini kwetu sijui lakini ni mboga tamu

Alichomwa direct kwenye moyo yaani sindano iliingia palepale na kufa
 
Fakeni kweli! Arekodiwe huku anakata roho[emoji15] [emoji15] wazungu hamnazo kweli!

Yule si huwa anatembea na madokta? Ilikuwaje kafa kizembe hivyo?
Alikuwa anajua atakuja uliwa na wanyama tu
Kila wakati alikuwa anasisituliza waendelee kurekodi tu
Mpaka siku anachomwa na taa video yake ipo unaweza kuiona ingawa mwanzo waliificha
 
Wakuu naomba kuuliza ,hivi ni kwa nini
black mamba ndo anatajwa sana
kuliko green mamba au yule wa kijani
hana matata?
Kule saba saba kwenye mabanda
yao huwa wanao wale green mamba.
Green Mamba huwa ni wadogo halafu hawana ukorofi kama Blacks haha. Kilatini anaitwa Mamba Negro.
 
Hivi koboko ndio anaitwa kifutu kwa jina lingine?
Huyu kwa kizungu anaitwa Puff adder. Kifutu.
puff-adder-closeup.jpg
 
s-l300.jpg

Barb kama hii ndio iliyoyomuua Steve,ilimuingia kifuani ikaaenda kuutoboa moyo,na kutokana na umbali aliokuwa anafilm ilikuwa ni vigumu kuwahishwa Hospitali aliacha watoto wa wili wa kike na kiume.
 
Sasa huyu ana hatari gani mkuu
Ukimkanyaga anakuchoma kama mchoro unavyo onyesha

Untitled-1-297x300.jpg


Ukikutana na yule mkubwa damage yake ni kubwa kama huyu dogo alivyodungwa na kwenye paja
jpeg;base64ac7282a9e1962f86-1.jpg

Taa wako wa aina nyingi sio samaki wa kubeza ni hatari sana sana kuutoa mwiba mara nyingi inahitaji upasuaji
Huu mwiba "Barb" umeingia deep.
1-s2.0-S1043067917300412-ystcs948-fig-5001.jpg
 
Kuna sehemu nipo huku mkoani Tabora sehemu nilikuwa nimekaa nikasikia watu wakimsimulia nyoka aina ya koboko ambaye inasemekana anapatikana Tabora ,Shinyanga,Singida na Kigoma.

Kuna mtu mmoja katika mazungumzo yake alikuwa akisema ni bora ukutane na simba au chui unaweza ukapona kuliko koboko. Nilipojaribu kumuuliza alisema hayupo tayari kumuongelea kiundani wala kumtaja kwasababu ukiwa ndani ya mkoa wa Tabora au Shinyanga ni marufuku kumtaja huyu nyoka jinsi alivyoniambia.

Sasa kwa wale wanaomfahamu hebu tuelezeeeni kwanini koboko anaogopeka kuliko simba au chui?


-----

Pia soma...
Ingia kwenye hii website utawakuta wote. Types of Snakes With Pictures: You Should Totally Bookmark This!
 
Unamkosea heshima.

Puff ader ametoka kuzaliwa sasa hivi na sasa hivi akikung'ata ujue ndiyo safari hiyo.

Ana camouflage nzuri sana inayomsaidia mawindoni, huko kutulia unakokusema ni sehemu ya mbinu za akiwa mawindoni.

Force anayotoka nayo ili kushambulia windo inatosha kuua windo hata bila kutumia sumu.
Hufi pale pale ila unaoza. Sumu yake haiendi kwenye ubongo kama black mamba au Cobra na hao wale wengine.
 
Back
Top Bottom