HahahaNa kweli mambas ni khabari nyingine halafu mshari sana
Ila kwa badger au mongoose ndio balaa pia kuna ndege anitwa Secretary Bird huyu anapiga karate kama Jet Li
Jidanganye MkuuTrue ila huwa anaangali lips zinavyocheza halafu anajua ni ule wimbo wake.
Huyo mkakimani atakuwa nandamu ya ChademaHahahaha ni Secretary Bird nimejaribu kuangalia anaitwaje Google eti KATIBU yaani hivi huyu mkalimani nani alimruhusu?
Mwenye kumjua jina lake atatusaidia
Jamii ya .... Asante kwa ufafanuzi mkuuusio shark mkuu...sikumbuki ni samaki gani lakini sio shark,lol
Du kumbe ulikuwa unamwangalia SteveYes...Steve kuna siku niliona anacheza na croc. Mkubwa kinoma, yaani anamchezea kama mwanasesere vile!
Eti kaja kuuliwa na haka kasamaki[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hawa samaki wanaliwa na binadamu?
Alikuwa anajua atakuja uliwa na wanyama tuFakeni kweli! Arekodiwe huku anakata roho[emoji15] [emoji15] wazungu hamnazo kweli!
Yule si huwa anatembea na madokta? Ilikuwaje kafa kizembe hivyo?
Hahahaha una utani naoHuyo mkakimani atakuwa nandamu ya Chadema
Green Mamba huwa ni wadogo halafu hawana ukorofi kama Blacks haha. Kilatini anaitwa Mamba Negro.Wakuu naomba kuuliza ,hivi ni kwa nini
black mamba ndo anatajwa sana
kuliko green mamba au yule wa kijani
hana matata?
Kule saba saba kwenye mabanda
yao huwa wanao wale green mamba.
Stingray sio mchezo amashauwa watu na kujeruhi wengi hasa wavuvi,tatizo lake huwa hatabiriki kama alivyomshtukiza Steve Irwin.Kwa kweli hakuna alieamini maana jamaa tulikuwa tunajua kama atakufa atauwawa na nyoka au wanyama wakali lakini sio stingray
Huyu kwa kizungu anaitwa Puff adder. Kifutu.Hivi koboko ndio anaitwa kifutu kwa jina lingine?
Sasa huyu ana hatari gani mkuuView attachment 776580
Stingray
Ukimkanyaga anakuchoma kama mchoro unavyo onyeshaSasa huyu ana hatari gani mkuu
Duh.. Kwahiyo huyo irwin alichomwa kwenye moyoUkimkanyaga anakuchoma kama mchoro unavyo onyesha
View attachment 776675
Ukikutana na yule mkubwa damage yake ni kubwa kama huyu dogo alivyodungwa na kwenye paja
View attachment 776690
Taa wako wa aina nyingi sio samaki wa kubeza ni hatari sana sana kuutoa mwiba mara nyingi inahitaji upasuaji
Huu mwiba "Barb" umeingia deep.
View attachment 776700
Ingia kwenye hii website utawakuta wote. Types of Snakes With Pictures: You Should Totally Bookmark This!Kuna sehemu nipo huku mkoani Tabora sehemu nilikuwa nimekaa nikasikia watu wakimsimulia nyoka aina ya koboko ambaye inasemekana anapatikana Tabora ,Shinyanga,Singida na Kigoma.
Kuna mtu mmoja katika mazungumzo yake alikuwa akisema ni bora ukutane na simba au chui unaweza ukapona kuliko koboko. Nilipojaribu kumuuliza alisema hayupo tayari kumuongelea kiundani wala kumtaja kwasababu ukiwa ndani ya mkoa wa Tabora au Shinyanga ni marufuku kumtaja huyu nyoka jinsi alivyoniambia.
Sasa kwa wale wanaomfahamu hebu tuelezeeeni kwanini koboko anaogopeka kuliko simba au chui?
-----
Pia soma...
Kumbe mbaya sanaStingray sio mchezo amashauwa watu na kujeruhi wengi hasa wavuvi,tatizo lake huwa hatabiriki kama alivyomshtukiza Steve Irwin.
Hufi pale pale ila unaoza. Sumu yake haiendi kwenye ubongo kama black mamba au Cobra na hao wale wengine.Unamkosea heshima.
Puff ader ametoka kuzaliwa sasa hivi na sasa hivi akikung'ata ujue ndiyo safari hiyo.
Ana camouflage nzuri sana inayomsaidia mawindoni, huko kutulia unakokusema ni sehemu ya mbinu za akiwa mawindoni.
Force anayotoka nayo ili kushambulia windo inatosha kuua windo hata bila kutumia sumu.
Ana sumu mkiani. Steve alijifanya kumkaribia sana kumbe kamshtukiza. Hakuchukua hata nusu saa keshafariki.Kumbe mbaya sana
Mimi huwa naona watu wanamkaribia na kupiga picha na kumchezea