Huwa unaota mwingine baada ya miezi kadha.Kwa hiyo huo mwiba anauachia moja kwa moja na baadae unaota mwingine au anayo mingi?
Mantaray huwa hawana Barb wala mkia.Hao wakubwa sana ni rafiki kwa binadamu naona
Na anatoa ina whisper soundKobla naskia akiingia ndani utamsikia tu maana huwa anagonga gonga chochote mbele yake..akiingia jikon utaskia masufuria yanavyogongwa akikuta umelala hajali anakugonga ivo ivo
Haha karibu sanaItabidi nikija nimle tu
Hakufuti mkuuPapa (Shark) mwenyewe huwa analiwa lakini hakufuti ukweli kuwa ni kiumbe hatari.
Hahahaaa ulikuwa umepita eneo la hatariMwenyewe nishapita msitu mnene nikasikia harufu tamuu ya wali nilishangaa kinyama
Hata mm hii story nimeisikia sanaNiliwahi sikia utotoni kuwa huyu nyoka kama akivamia makazi ya watu walikuwa wakikata majani ya katani anarushiwa na anapoling'ata, jani la katani linakauka hapo hapo mpaka yafika kama 15 ndio wanaona jani linarudi bichi sasa hapo wanaanza mshambulia na wao na kumuua
Hilo ndo tatizo letu sisi waafrika kuficja ficha mambo, wazungu wanaweka wazi ili na kizazi kijacho kinufaikeMkuu hakuna tiba ya nyoka huyo. Ukigongwa na koboko huwei hatachukua dakika 40. Unakufa umebadilika rangi. Nyoka huyu anaogopwa mno kwani, wazee wenye utaalamu wa kumtibu mtu aliyegogwa hawapatikani katika maeneo mengi. Mimi niliwahi kusimuliwa na mzee mmoja ambaye alikuwa anajua dawa hiyo, na alisema ni majani fulani porini, lakini aligoma kuniambia kabisa,
Kazi yake bado waliiendeleza. Binti yake anajitahidi kujifunza. Huwa kwenye TV za Southern Asia anaonekana ila hajawa famous ila org. ya steve bado ipo hai inafanya kazi kunusuru na kulinda wanyama. Alifanya watu wengi tukawa na interest ya kuangalia wanyama. Nakumbuka alivyotemewa mate na Swila Is it Cobra? Alikuwa na bahati vijana wa kimasai walimsaidia maji akanawa haraka. He was a daring guy but it costed him his life. Kwa shujaa kilio kwa mwoga kicheko.Kwa kweli kifo chake kililiza wengi sana wapenda wanyama
Hakuna alietegemea atakufa hivyo
Nilishtuka sana siku hiyo na nilipigiwa simu na jamaa wengi
Story ya Katani haina ushahidi.Hata mm hii story nimeisikia sana
Kuna mti kama mkwaju anapenda sana kupumzika kwenye huo mti, na sasa msimu wa mantonga tayari, wawe makini sanaHuu uzi umeniogopesha sana,ila naweza kukubaliana
na wale wanaosema huyu nyoka ni hatari lakini ni mpole
pale ambapo hajachokozwa au kujihisi hayupo salama.
sababu moja hii.
Mdogo wangu anaishi tabora na huwa anatabia ya kwenda
kwenye sehemu za pori,siku moja akaenda na rafiki yake
kupunga upepo maeneo hayo aliyozoea kwenda.
wakiwa maeneo hao wakasikia sauti ambayo mdogo wangu
anasema huwa anaisikia mara kwa mara akiendaga ila
huwa anaipotezea kwani hiyo sauti ni kawaida kuisikia
kijijini kwetu kila siku usiku,na tuliaminishwa kuwa
ni sauti ya wanyama wadogo wanaokulaga ndizi,yule rafiki yake
akamwambia tuondoke haraka maeneo haya,hiyo ni sauti
ya koboko.Akakubali wakaondoka mara moja.
Aliponijulisha habari hii nikagoogle ili nione
tabia za nyoka huyo hatari nikagundua anapenda
kukaa kwenye misitu yenye giza na ni nadra sana
kumuona kama hajapenda kujitokeza umuone.
Nikakumbuka kuna kimsitu jirani na nyumbani
kwetu,ni kidogo ila kina kigiza fulani hivi hata mchana
na sisi tulikuwa tunapenda sana kwenda humo
kutafuta kuni na matunda pori,ila hatujawahi
kumuona wala kufukuzwa japo usiku lazima
tusikie sauti hizo zikitokea humo msituni.
Ninapoendelea kusoma habari hizi
natamani niwajulishe ndugu zangu kule
nyumbani wasiwe wanaenda humo msituni
maana huwezi kujua ni lini huyu mdudu
anaweza kubadirisha utaratibu wa maisha.
japo ni miaka mingi tunaishi pale kwa amani.
Ni miaka ya nyuma sana ndo baba mmoja
aliumwa na nyoka wa aina hiyo alimrukia
kutokea kwenye mti na hakupona
ila mazingira ya mbali na hicho kimsitu.
Ndio maana wanawaoneaMantaray huwa hawana Barb wala mkia.
Kuke sikonge wanamuita kiwuri,Hapana ni Nyegere Also Known As Honey Badger
Nilimpenda sana kwa mbwembwe zake alikuwa anapenda kusema CrikeyKazi yake bado waliiendeleza. Binti yake anajitahidi kujifunza. Huwa kwenye TV za Southern Asia anaonekana ila hajawa famous ila org. ya steve bado ipo hai inafanya kazi kunusuru na kulinda wanyama. Alifanya watu wengi tukawa na interest ya kuangalia wanyama. Nakumbuka alivyotemewa mate na Swila Is it Cobra? Alikuwa na bahati vijana wa kimasai walimsaidia maji akanawa haraka. He was a daring guy but it costed him his life. Kwa shujaa kilio kwa mwoga kicheko.
Mantaray ndio fillter za bahari chakula chao ni microscpic planktons.Ndio maana wanawaonea
Wakimezwa duu maana ni mkubwa kama nyumba
Hizi kazi zinahitaji roho ngumu sana,2012 Muingereza Mark Oshea aligongwa na King Cobra akaponea chupu chupu sasa hivi simuoni sana.Alianza bado mdogo sana akicheza na mijusi na aliipenda kazi yake