Una maanisha kwamba hahongeki.ukikutana nae sali sala zako au piga simu kwenu chap uwaage waikute maiti yako
Lile aina fulani ya jiwe, na likitumika likiisha nguvu, linachemsha, lichaji tena.Kuna ile iliyokaa kama mkaa, ukitaka kujua kama ni real unaiweka kwenye ulimi, inaganda kama sumaku, mpaka uigandue
Mm nilipona na sina ulemavu niliumwa shuleni igunga. Sema niliwaishwa nkinga dokta wa shuleni akipomuona nyoka akasema huyu akilala hapa kesho hamumkuti haiNi kweli mkuu kuna tiba ya asili ya mtu alieng'atwa na kifutu. Ni nzuri haupati ulemavu kama utaipata kwa wakati.
Baba yangu mzazi aling'atwa na kifutu na kupona bila alama yeyote.
Lakini nimeona watu kadhaa waliopata ulemavu sababu ya kifutu. Ni kama mdau mmoja hapo juu alisema uking'atwa na kifutu ukichelewa kidogo tu tiba sahihi unaanza kuoza. Na hatari niliyo iona kuna mzee amelemaa hadi mfupa, yaani mguu umejikunja kabisa mahali alipong'atwa na kuwa mdogo kama ulemavu wa polio
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Kuna jamaa alikuwa anaapa kabisa kuwa Koboko anaweza kuligonga jeshi zima la wananchi..hahaha..
Unene sio km nguzo huyo ni chatu. Koboko kawaida ni mita 12 mkp 14 aliekomaa. Ukipigwa bite nikusubiri kufa tu baada ya 20 mpk 30Katika uzi ambazo nimezisoma na kuzifuatilia kwa ukaribu zaidi ni huu uzi, ila kuna kitu ambacho naona wadau wote hakuna mtu alietoa tahadhari kwa kina incase ukila bite ya koboko ufanye vp kusurvive kwa huo md mfupi kabla hujafika hospitali?..
Vile vile nauliz koboko aliyekomaa anaweza kua na unene wa msitimu/ nguzo ya umeme?, na urefu wake maximum ni meter ngapi??.
Nimejaribu kufuatilia zaidi kumbe kuna nyoka mwenye sumu zaidi ya koboko anapatika hasa Australia ila mostly anaishi baharini.
Yaah hujakosea ni the most longest, fastest and deadliest animal in africaIla nilicho confirm kwenye pitapita yangu ni kwamba koboko/black mamba is most fastest snake in the planet of earth
Una fix kweliUnajua kilichowashangaza watu ni kuwa huyu nyoka ni wakufugwa na huwa wanajua saa ngapi ana njaa ndio wanamuwekea msosi kwa mshangao wao badala ya kumla akamfanya rafiki ilibidi baadae wautoe msosi huo wakauleta mwingine ukaliwa.
Helmet haitamdhuru na lengo ni nae adhurikeHalafu unakuta kuna watu wana amini kuwa koboko anagonga kichwa tu na sio kwingine.
Ndio maana ukawasikia wanasema tembea na chungu cha uji wa moto
Sasa kwa siku hizi naona wangejiongeza tu wavae helmets kila saa
Hakuna ushahidi wa kisayansi unao onyesha kuwa huwa linanyonya sumu,sumu ikishaingia kwenye damu inachanganyika na damu,ili uinyonye itabidi unyonye damu.Wakuu lile jiwe la kutolea sumu vipi?
Yalikuwa yanatengenezewa wapi?
Ni madini gani yale?
Hivo vijiwe vinanyonya sumu za nge tu. Ya koboko kanapasuka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakuu lile jiwe la kutolea sumu vipi?
Yalikuwa yanatengenezewa wapi?
Ni madini gani yale?
Samaki anachora tatoo[emoji1] [emoji1]View attachment 777034
Kitu hicho na wahanga wake hapo chini.View attachment 777035
Huyu Mchina alijipendekeza aliponea chupuchupu
Baada ya kukaa kwenye Coma wiki moja.
View attachment 777036
Huyu muaustralia yuko kwenye Coma baada ya kumshika Box jellyfish.
KomandoKoboko ni level nyingine kabisaa yaani sio simba,chui,chatu, cobra wote unawajua wewe ni wachumba mbele ya koboko.
Simba au chui mkiwa watu wawili au watatu mmeshika mawe au mna silaha za jadi simba mwenyewe anakimbia mkimbia lakini sio koboko.....
Yaani hata muwe watu 100 na mna silaha za moto na mabomu ya machozi mbele ya koboko ni sawa mnajisumbuaaa buree kwa sababu ana uwezo wa kupambana na jeshi zaidi ya miaa na akawauwa watu woteee na hakuna atayebakia salama
Kwa kifupi tuu koboko ni jeshi la mtu mmoja
Sio ndumilakuwili huyu?Nani anamjua nyoka mtema uji[emoji115]
Hana macho na akikung'ata unavimba miezi tisaa[emoji16][emoji16]
Binadamu 26 by single bite una maana gani?Huyuu balaa sumu yake ni kali 1200 times ukali wa Cyanide... Anauwezo wa kuua binadamu 26 by single bite ndani ya dak 2 tu dadekii
Ukinywa hiyo ngoka wa chini ya kitovu anakua na sumu kali sana na ana uwezo wa kuingia shomoni na kutoka mara nyingi zaidi bila kuchokaNchi za wenzetu wanajua kuchangamkia fursa wakati nyoka wenyewe ni urithi wetu.
View attachment 777152
Hilo unachukua unalambaSumu ya Viper tone hilo ni tosha kukuharibia uhai.
View attachment 777153
Huyo ndio viper?View attachment 777243
Ukiangalia vizuri chini ya pua kidogo utaona matundu na hayo matundu ni moja ya maajabu ya uumbaji wa mungu.