Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Yeah, naweza hata kukupeleka kwake. Pia nakupeleka kwa huyo aliyegongwa na koboko ashuhudie mwenyewe aliyemtibu. Wote wapo hadi leo hii!
Huyo jamaa aliyegongwa ilimchukua muda gani kufika kwa mganga?..huyo mganga ni tunu aisse..
 
20180507_185657.jpg

Huyu koboko aliwamurupua hawa jamaa lakini walifanikiwa kumu ua.
 
Koboko (black mamba) ni nyoka mpole sana ila ukikutana nae usimpige wala kumtisha, nakuhakikishia atasepa atakuacha hata kama alikua karibu na wewe vipi; ila ukitaka uone show yake mchokoze tu, Hapo ndipo utajua kwanini akaitwa koboko.



Kuna kipindi nakumbuka enzi hizo kijijini nikiwa na uncle wangu; tulikuaga tukienda kurina asali porini usiku kwenye mapango ya mibuyu ukiingia unawakuta kibao wapo juu ya kuta za pango kwa juu, na hawana shida utatoa asali mpaka utaondoka yupo tu anakuangalia tena utakuta yupo juu kidogo tu ya kichwa; ila tu hawapendi kelele za ovyo, pia wanawika sana usiku na hupenda sana asali.


Kwaiyo ni wakawaida sana hawana Shida tatizo la waadhirika wengi wa black mamba huwakorofi wao.
Duuuuu mlikua mnacheza na kifo nje nje asee
 
Alijificha kwenye mashine ilyokuwa inavuja Hydroulic akawa kama anawashwa wakamtaimu na mafito.
Daah jamaa wanabahati sana. Yaani aliwaogopa mpk kujificha maana hilo dudu bna halikubaligi kushindwa
 
Daah jamaa wanabahati sana. Yaani aliwaogopa mpk kujificha maana hilo dudu bna halikubaligi kushindwa
Hapo ni mbili moja Koboko keshawagonga wawili na wamefia njiani hispitali hawajafika.
 
Kwa kweli hakuna alieamini maana jamaa tulikuwa tunajua kama atakufa atauwawa na nyoka au wanyama wakali lakini sio stingray
Maana asili yake huyu samaki ni mpole na watu huwa wanaogelea nae na kumsogelea kwa muda mrefu

Na Steve alikuwa anawaambia cameraman kwa lolote litalomtokea keep rolling msizime video
Kwa hiyo mpaka anatapatapa alikuwa anarekodiwa
So sad
Jamaa alikuwa mzuri sana kwa wanyama na entertainer pia RIP Steve
Naomba kumjua
 
Alikuwa anaitwa Steve Irwin alizaliwa mwaka 1962 Australia na alikuwa ni zoo keeper akijulikana kama Crocodile hunter
Alikuwa anajiamini na amekamata na kuchezea kila aina ya wanyama
Alikuja mpaka Africa na kukimbizana na Mamba na hata Viboko.
Ni mchekeshaji mzuri akiwa yuko kazini
Sadly Alikufa Mwaka 2006 huko Australia akiwa akimshika Taa na kurekodiwa katika moja ya vipindi vyake ndipo Taa akamchoma kifuani ( kwenye moyo) na haikuchukuwa muda akafa

Hapo akiwa na mke wake na nyoka mwenye sumu kali sana huko Australia
20180516_145539.jpeg

Cc mtu asiyejulikana
 
Back
Top Bottom