Huyo jamaa aliyegongwa ilimchukua muda gani kufika kwa mganga?..huyo mganga ni tunu aisse..Yeah, naweza hata kukupeleka kwake. Pia nakupeleka kwa huyo aliyegongwa na koboko ashuhudie mwenyewe aliyemtibu. Wote wapo hadi leo hii!
Unataka kusema nn2003 ulikuwa la tano
Wana bahatiView attachment 778952
Huyu koboko aliwamurupua hawa jamaa lakini walifanikiwa kumu ua.
Story inasema huyo koboko alishawagonga wenzao wawili na kuwauwa,kwa sababu hawa jamaa walikuwa wa ni wajenzi wa daraja dogo huko kwenye mapori ya Msumbiji.Wana bahati
Labda alikuwa mgonjwa huyo maana sio kwa ukubwa huo
Anatisha
Duuuuu mlikua mnacheza na kifo nje nje aseeKoboko (black mamba) ni nyoka mpole sana ila ukikutana nae usimpige wala kumtisha, nakuhakikishia atasepa atakuacha hata kama alikua karibu na wewe vipi; ila ukitaka uone show yake mchokoze tu, Hapo ndipo utajua kwanini akaitwa koboko.
Kuna kipindi nakumbuka enzi hizo kijijini nikiwa na uncle wangu; tulikuaga tukienda kurina asali porini usiku kwenye mapango ya mibuyu ukiingia unawakuta kibao wapo juu ya kuta za pango kwa juu, na hawana shida utatoa asali mpaka utaondoka yupo tu anakuangalia tena utakuta yupo juu kidogo tu ya kichwa; ila tu hawapendi kelele za ovyo, pia wanawika sana usiku na hupenda sana asali.
Kwaiyo ni wakawaida sana hawana Shida tatizo la waadhirika wengi wa black mamba huwakorofi wao.
Alijificha kwenye mashine ilyokuwa inavuja Hydroulic akawa kama anawashwa wakamtaimu na mafito.Daah walimtaimu vipi? Na kumuua
Daah jamaa wanabahati sana. Yaani aliwaogopa mpk kujificha maana hilo dudu bna halikubaligi kushindwaAlijificha kwenye mashine ilyokuwa inavuja Hydroulic akawa kama anawashwa wakamtaimu na mafito.
Usiwaze dogoUnataka kusema nn
Hapo ni mbili moja Koboko keshawagonga wawili na wamefia njiani hispitali hawajafika.Daah jamaa wanabahati sana. Yaani aliwaogopa mpk kujificha maana hilo dudu bna halikubaligi kushindwa
King Cobra na ujanja wake wote hawezi kumfikia Koboko aliyekomaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Urafiki wa mashaka huu
Naomba kumjuaKwa kweli hakuna alieamini maana jamaa tulikuwa tunajua kama atakufa atauwawa na nyoka au wanyama wakali lakini sio stingray
Maana asili yake huyu samaki ni mpole na watu huwa wanaogelea nae na kumsogelea kwa muda mrefu
Na Steve alikuwa anawaambia cameraman kwa lolote litalomtokea keep rolling msizime video
Kwa hiyo mpaka anatapatapa alikuwa anarekodiwa
So sad
Jamaa alikuwa mzuri sana kwa wanyama na entertainer pia RIP Steve
Duh watoto wa mjini kazi ikoKwanini nyoka anavua gamba?
Akikuchoma anabaki nao au unabaki kwenye jeraha?Inaaminika kuwa picha hii ni moja ya Irwin autopsy
View attachment 776775
Kwanini nyoka anavua gamba?
Huyu ni balaaStory inasema huyo koboko alishawagonga wenzao wawili na kuwauwa,kwa sababu hawa jamaa walikuwa wa ni wajenzi wa daraja dogo huko kwenye mapori ya Msumbiji.
Naomba kumjua