Mwenzio mmoja kapiga kelele usiku sshv anaona aibu kutoka nje kisa USB cable alipo kua anajigeuza akailalia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wana vituko sanaNajuta kusoma hii thread jana usiku, kwanza nimelala naota nyoka nimepiga kelele usiku mzima. Mpaka nimemuota mtesi wangu kaniletea nyoka kitandani huku namuona, sijawahi lala kwa shida kama leo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe hata kujinyea umejinyea [emoji23][emoji23]
Acha tuu hawa viumbe sio kabisa, mwenyewe kuna muda nimepiga kelele kwa nguvu mpaka nimestuka najijua nimepiga kelele.Mwenzio mmoja kapiga kelele usiku sshv anaona aibu kutoka nje kisa USB cable alipo kua anajigeuza akailalia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wana vituko sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu nimemwota kaniletea nyoka usoni kabisa kitandani nimepiga kelele kwa nguvu. Sijui ni mwanga kweli katembelea upepo wa woga wangu sijui.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwingine huyu uku
Kwenu wap mkuu..?
Duh!...koboko ndiyo huyo black mamba .
ana akiri sana
ana kula mti wa bhangi
ana ngata kichwa na shingo tuu
ana sumu kali
ana wika kama jogoo
aja wahi kutembeea kichwA chini yaani siku zote kichwa chake kipo juu kama kasimama vile
ana kwepa mawe
ana ruka kama panzi nk
Nakumbuka Marehemu Sitta aliomba bungeni, police wapelekwe Urambo wakapambane naoWatu wa Tabora wanamjua huyu nyoka, nikiwa mdogo huko Tabora nimesikia vifo vingi kutokana na huyu nyoka.
Kamsela kana Anti-venom huwa akikadunga sumu kanasizi kimtindo then kanaendelea kumshambulia mpaka kanamla,,, Noma sana nyegere.Huyu mchumba tu kwa Nyegere a.k.a honey badger
Wangekufa polisi wengi sana...Nakumbuka Marehemu Sitta aliomba bungeni, police wapelekwe Urambo wakapambane nao
Haikuwa rahisi hivyo
Huko wapo kibao
Yalikuwa ni maamuzi na mawazo ya kijinga sanaWangekufa polisi wengi sana...
Sifa moja wapo ya uanaume nikuwa jasiri sasa hapo kajoka kameingia ndani unakimbilia kwenu[emoji23][emoji23][emoji23] kwenda zako ungekuwa wewe ungeweza peke yako kuua na hujui kaingilia kona gani
Sifa moja wapo ya uanaume nikuwa jasiri sasa hapo kajoka kameingia ndani unakimbilia kwenu
Asume ndio upo na familia yako utaihamishia kwa mzee ??
Ulitakiwa upambane kiume na kutafuta mbinu za kumtoa huyo nyoka humo ndani
Wanasema ukichoma mpira nyoka anakimbia
mwanaume kukimbia matatizo huo ni umama[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sawa bruuuuuuKhaaa wew uwanaume wangu upo pale pale [emoji23][emoji23][emoji23]
sawa bruuuuuu
Sio hila ni ilaHila marcy i think ivi navyo kuhisi ndivyo ulivyo bila shaka
Sidhani. Uongo tu!Miezi michache iliyopita kuna mtu alimgonga na pikipiki. Akafanikiwa kukimbia ila pikipiki akaiacha hapo.
Baada ya mda akafanya kosa kuifata pikipiki. Tulikula ubwabwa