Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Nawapenda sana nyoka hata nikienda zoo lazima kwanza niulizie walipo
Ila huyo mwamba ni zaidi ya shetani yaani ana hasira za kipumbavu kama yule mwalimu mkuu
Natoka sehemu wanakozaliana sana huwa naomba nisije kukutana nae huyu kiumbe
Anaweza kuanza kukumbiza bila sababu, na ukiwa na Gari anasimama makusudi mbele, sasa jichanganye na wewe kama kawaida yetu kushangaa shangaa kwa kila kitu
Utamkuta chumbani kwako usiniulize kafikaje huko labda ulimpa lift
Maana anaona lazima una familia ndio maana anakufuata akawamalize wote
Hasidi mkubwa huyu
Ila huyo mwamba ni zaidi ya shetani yaani ana hasira za kipumbavu kama yule mwalimu mkuu
Natoka sehemu wanakozaliana sana huwa naomba nisije kukutana nae huyu kiumbe
Anaweza kuanza kukumbiza bila sababu, na ukiwa na Gari anasimama makusudi mbele, sasa jichanganye na wewe kama kawaida yetu kushangaa shangaa kwa kila kitu
Utamkuta chumbani kwako usiniulize kafikaje huko labda ulimpa lift
Maana anaona lazima una familia ndio maana anakufuata akawamalize wote
Hasidi mkubwa huyu