Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Huyu laanakum ukimwona we zuga hujamwona afu ondoka kwa amani. Akihisi umemwona na una mpango wa kumdhuru... Ule wimbo wa "Niagieni, niagieni" utakuhusu.Ni kosa kosheria?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu laanakum ukimwona we zuga hujamwona afu ondoka kwa amani. Akihisi umemwona na una mpango wa kumdhuru... Ule wimbo wa "Niagieni, niagieni" utakuhusu.Ni kosa kosheria?
Anakula hiyo snake akianza na kichwa, kweli kila kitu na mbabe wake.Huyu mchumba tu kwa Nyegere a.k.a honey badger
Huyooooo muoga mwingine huyu uku Marcy 😂😂😂😂😂 maneno mengi kumbe unaogopaThread gani hizi usiku huu na umeme hakuna
DAH koboko dude HATARI SANA kama CCM ya jiweMjue Nyoka Aina Ya Coboko*Au Black_Mamba
nyoka huyu ni miongoni mwa nyoka wenye sumu kali zaidi duniani, ni nyoka anaependa sehemu tulivu isiyo na kelele, na ni mwepesi kubaini hatari yoyote pindi anapokuwa mawindoni na kuwa tayari kwa lolote, hata kama yuko mbali atajaribu kufika eneo analodhani ni hatari kwa uhai wake na kukabiliana nalo kikubwa ahakikishe yuko salama kwa asilimia mia moja, ana uwezo wa kuwagonga ng'ombe ishirini kwa dakika zisizo zidi tano, ni mwepesi wa kutoroka pindi anapoona kazidiwa na adui, na sehemu anayoishi haruhusu kiumbe chochote kuwa karibu, lakini pamoja na ubabe wake wote huo hana ujanja kwa ndege wanaoitwa bundi na mwewe weusi wakubwa huwa ni chakula pendwa kwa ndege hao, na ndiyo maana mawindo ya nyoka huyu huwa asubuhi kuanzia saa tatu mpaka saa tano na hurudi sehemu anayoiamini ni salama kwake ( kwenye pango au kwenye vichuguu) na mchana hutoka pindi jua limepoa na hufanya mawindo yake mpaka jua linapo anza kuzama tayari huwa katika sehemu salama, pia ni kiumbe asiyependa unyevu nyevu hivyo hulazimika kuhama pindi inapofika masika huhamia kwenye mapango ya miti na kiangazi hurudi kwenye vichuguu, kuna koboko wenye rangi tofauti tofauti lakini hawa wawili wa kijivu na rangi ya brown (kahawia) ni hatari sana.
Nb. Nyoka hawa huuma pindi utakavyo washtukiza ila kama watakuona umbali wa mita tano na hujamuona husimama urefu wa mita mbili na kukugonga kichwani, urefu wa hawa nyoka hufikia hadi futi kumi na mbili.View attachment 2498561
Nilisikia habari zake nikamfuatilia kwenye documentaries... We ogopa kitu unakiangalia kwenye screen lakini unahisi kiko pembeni yako.Vp mkuu ushawahi kukutana nae?
Wewe huo muda wa kuzuga unatoka wapi wakat uho akili ishakutumuma kimbia haraka sanaHuyu laanakum ukimwona we zuga hujamwona afu ondoka kwa amani. Akihisi umemwona na una mpango wa kumdhuru... Ule wimbo wa "Niagieni, niagieni" utakuhusu.
Share na wewe basi sio unam offend mwenzioUmekurupuka sana, hamna koma wala nukta, pia nilitaraji kukutana na melezo mapya kumuhusu huyu kiumbe, ila ninayo yajua ni mengi kuliko niliyo yakuta humu
Na unatakiwa ukimbie kwa adabu. Maana lilivyo na akili ya kiidikteta linaweza kudhani unakimbia kwenda kuchukua silaha... Basi linakufukuza kukushughulikoaWewe huo muda wa kuzuga unatoka wapi wakat uho akili ishakutumuma kimbia haraka sana
Haoana mkuu mimi sioendi tembea porini wala sehemu nikihisi kuna nyoka umhuwa natembea kwa adabu snaNa unatakiwa ukimbie kwa adabu. Maana lilivyo na akili ya kiidikteta linaweza kudhani u akimbie kwenda kuchukua silaha... Basi linakufukuza kukushughulikoa
Kesho majirani wanakuwa wanafunga maturubai huku wengjne wakisema umeumaliza mwendo, vita umevishinda.... wengine wakisema Mungu amekupenda zaidi
Unaweza usitembee porini lakini nyoka wakakufuata nyumbani kutokana na wanyama kama panya ambao ni chakula cha nyoka, pia kipindi cha mvua nyoka hupenda kuingia ndani ya nyumba kufuata jotoHaoana mkuu mimi sioendi tembea porini wala sehemu nikihisi kuna nyoka umhuwa natembea kwa adabu sna
Mf: kinacho mpa ilo jina mpaka kuitwa black mambaTujuze chalii achana nae huyo
Mf: kinacho mpa ilo jina mpaka kuitwa black mamba
Ni kutokana na ndani ya mdomo wake kuwa na rangi nyeusi na sio rangi ya ngozi yake hapa watu wengi huchanganyaMf: kinacho mpa ilo jina mpaka kuitwa black mamba
Hahahaa aiseeNilisikia habari zake nikamfuatilia kwenye documentaries... We ogopa kitu unakiangalia kwenye screen lakini unahisi kiko pembeni yako.
Senge lina kisirani na kisasi cha ajabu. Afu sumu yake linaweza kuua mtu hata 10 keimamae zake...
Ipi hiyoHa ha ha dawa ya nyoka ipo nakuwa anakukimbia kila siku
😁😁😁 Tulia wewe huyo adui yetu toka enzi za adamu na hawaHuyooooo muoga mwingine huyu uku Marcy 😂😂😂😂😂 maneno mengi kumbe unaogopa
[emoji16][emoji16][emoji16] Tulia wewe huyo adui yetu toka enzi za adamu na hawa