Kwa Jinsi Mlivyoniogopesha Sasa Naandika Huku Miguu Yangu Nimeipandisha Mezani Na Nilikuwa Nina Mpango Wa Kwenda Kuoga Lakini Nimeusitisha Kidoooooooooooooogo Hadi Nijipange Upya Tena.
Nilikuwa na safari ya kwenda Msata kutafuta madini na siendi tena. Nimeambiwa haya majoka yamejaa huko
unaanza kuimba soprano.Huyo nae ni habari nyingine, anaweza akabadili historia ya maisha yako kama wewe ni mwanaume within seconds
inatakiwa kutulia, ukitembeatembea au kukimbia sumu husambaa haraka. inatakiwa kijitahidi kumtambua nyoka, maana kila nyoka ana antivenom yake. kufunga kamba kuzuia damu kusambaa. kama unajiwe la nyoka unaweza kutumia. mtu anaweza kukunyonya damu/sumu na mdomo.Ikitokea amekugonga nini cha kufanya kudhibiti kutokana na nature ya sumu yake inayosambaa haraka?
Kuna video moja niliiona,alizinguliwa na mongoose mmoja mpaka akaliwa,ila anachokifanya mongoose ni kumvizia na kumdaka shingoni,mongoose ni mjanja sana kukwepa strikes za koboko kwasababu zikimpata zinaweza kumdhuru.Ni kweli mkuu wangu nilikuwa natazama Dstv channel ya wanyama wanasema sifa kubwa ya Honey barger ni ngozi ngumu so inakuwa vigumu sana meno ya Koboko kupenya na kumwachia sumu.Nilio hata Nguchiro wakimtoa jasho Koboko kwa kutumia wingi wao wanamzunguka akitaka kumgonga Nguchiro mmoja mwingine anamkusa mkia akigeuka mwingine anamgusa tumbo mchezo unaendelea hadi akachokoa na kutimia mbio.
Wewee!anaondoka na testicles zako,shauri yako.unaanza kuimba soprano.
Unishindi mimi hata wale wanaokula panya nikisikia kaingia ndani nahamia guest house mpaka nihakikishiwe kauwawa na nyumba lazima ifanyiwe fumigation ya maana.
We mtoto una laana! Yaani ngenye mpaka kwenye nyoka?
Mnfssssssssss!
Ishia zako wewe, unajua kupigana na nyoka wewe!!
huyu anatema sumu kama maziwa hatari yake ni kushiba miezi tisa
Ana uwezo wa kuuwa watu 12 kwa sekunde chache tu, sio nyoka hata wa kumuota huyo ni balaa na very aggressive akikuona lazima akukimbize na ana speed sana, nilimuona akifukuza panya kwenye matuta yeye alikuwa anapita juu ya matuta imagine that
Ni kweli mkuu,nyoka hawa wakikugonga chini,unavimba juu!!
Weka picha
Jipange tu.
Mbali na Chatu, Nyoka yyt haui mtu kwa kumvizia. Hufanya hivyo km self defense.
Kaa mbali na vichaka na kukaa chini ya miti.
Epuka kutembea peke yako na mara zote tembea na Jiwe la sumu ya Nyoka kamba na Wembe mpya just incase ukigongwa na nyoka hii itaokoa maisha yako.
Hizi ni techniques tulizikuta kwa wenyeji huko porini na zinatumika mpaka leo.
Mkuu unataka kitajirika Fasta?😂
Mkuu hilo jiwe la sumu ya nyoka ndio nini tena, ufafanuzi kidogo.
Njoo Wasap nikuoneshe, ila usikimbie tu
Mwaka 2013 mwezi 12 tarehe sikumbuki ila usiku wa saa nane nikiwa kazini shift ya usiku.nilikuwa Nina fuatilia likeji ya maji Kwenye matanki makubwa kabisa ndipo nilikutana na hiyo kizaazaa cha Mwaka.nilifanikiwa kumua.ila shughuli ili kuwa pevu.na alikuwa Ana urefu mita 1 na nusu.uzito kilo Tatum.