Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Afu naomba ukome kunifuatililia.
Kule juu nimekukwepa....huku tena unanifuata...UNIKOME WEWE.
TENA UKOME KUNI-QUOTE KATIKA THREAD YOYOTE ILE UKINIKUTA.

mmhhhh nawe hebu bana acha zako
 
Huyu nyoka namuuza $350 kila kichwa, Florida. Mwenye uwezo wa kumpata pamoja na document za Wizara ya Maliasili anijulishe.
 
Chabutwa nilishafika. Enzi hizo wanafahamika kwa mcheza ngoma Manywele.

Nilifika hadi ndani kabisa wanaita Kumwa Nkeki. Nikaenda kuangalia kwa mara ya kwanza migomba ya Kiguruwe, machungwa na machenza kwa wingi pamoja na nguruwe wa Kizungu kwa akina Yongolo.
Babu yangu alikuwa akiishi hapo na alizikiwa hapo. Ila sikuona Koboko huko zaidi ya kuona mmea wa Bangi kwa mara ya kwanza, teteteteeee....

Mpaka Nkeki ulifika? Basi we ni mwana sikonge mwenzangu halisi, hawa koboko ni wengi sana na hasa kwenye mashamba hayo ya bamgi uliyoyaona, inasemekana anakula ghanja huyu snake ndio maana mkorofi
 
Umeniharibia siku yangu nimekumbuka kijijini aliwahi nikurupua chooni nikatoka napiga kelele kwanza sikupitia mlangoni nilivunja sehemu ya nyuma
 
Mpaka Nkeki ulifika? Basi we ni mwana sikonge mwenzangu halisi, hawa koboko ni wengi sana na hasa kwenye mashamba hayo ya bamgi uliyoyaona, inasemekana anakula ghanja huyu snake ndio maana mkorofi

Mkuu nyoka toka lini akala majani kama sio kutuongopea mchana kweupee?
 
Mpaka Nkeki ulifika? Basi we ni mwana sikonge mwenzangu halisi, hawa koboko ni wengi sana na hasa kwenye mashamba hayo ya bamgi uliyoyaona, inasemekana anakula ghanja huyu snake ndio maana mkorofi

Ebanaeeeeeh.....!!!
 
dah, leo nilienda shambani nimekutana na nyoka mweusi kashiba! wenyeji wanamwita swila japo siyo kobra. wakaanza kunipa stori za watu kukatwa miguu baada ya kung'atwa na kifutu. kitu kizuri ni kuwa koboko (wanamwita mhando) huku nasikia hayupo.
 
dah, leo nilienda shambani nimekutana na nyoka mweusi kashiba! wenyeji wanamwita swila japo siyo kobra. wakaanza kunipa stori za watu kukatwa miguu baada ya kung'atwa na kifutu. kitu kizuri ni kuwa koboko (wanamwita mhando) huku nasikia hayupo.

Swira ukimwagia mafuta ya taa anahama kijiji.
Hio nilifundishwa na babu.
Jaribu Uone mbio zake.
Lkn kuwa makini asije pitia pua.
Ukaanza kuita mamaaaaaa!
 
Kuna kijiji umetaja hapo du !! . Kumbe watu wametoka mbali ndo maana hata majibu humu JF wakati mwingine !!!
 
Swira ukimwagia mafuta ya taa anahama kijiji.
Hio nilifundishwa na babu.
Jaribu Uone mbio zake.
Lkn kuwa makini asije pitia pua.
Ukaanza kuita mamaaaaaa!

Vipi huyo black mamba nae ukimwagia mafuta Ya taa Inakuwaje?
 
Vipi huyo black mamba nae ukimwagia mafuta Ya taa Inakuwaje?

Mkuu wakati niko porini kwa sababu black mamba ana uwezo wa kuruka tulikuwa hatusogei karibu. Akitokea ghafla ni mawe na Vipande vya magogo tu.
Kwahio tukielekea Porini tukakuta kichuguu humimina mafuta ya taa ndani yake na kukaa mbali.
Basi nyoka yyt aliomo humo ndani mbio atakayotoka humo si ya kawaida.

Koboko (black mamba) huwezi kumsogelea bila kuwa Mtaalamu wa Nyoka. Na sababu kuu ni ule Urefu wake. Anaruka ka bullet. Na sisi wengine Viazi na ugali kila siku tulikuwa Wazito sana kwa hio we never take a chance!
Na kingine hawa Koboko sumu yao ilivyo kali huwa inapanda Mwilini fasta sana na kusimamisha moyo faster than you think.

Kuna Bubu mmoja aligongwa na Huyu Koboko kaja mbio kambini anapiga kelele tumeshindwa kuelewa nini anasema amekufa chini ya dakika 10!
Sura yake na macho yake yalibadili rangi ajabu kabisa.

Huyu Nyoka ukikutana nae ni kurudi nyuma na Kumtazama mpaka apotee. Ukimpa mgongo tu umeondoka.
Hatari kuliko kupiga kofi Polisi wa bongo mwenye njaa!
 
Back
Top Bottom