Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani


Honey Badger na Mongoose wanakula nyoka kama soseji vile
 
Very nice analysis ingawa hujasema mazingira yapi anapenda kuishi(baridi, joto sana,misituni au katika mbuga) na je harufu au mavi ya ng'ombe yanathari kwake? Kisha naomba kufahamu kama wale nyoka wa majini nao ni aina ya koboko( black mambas)

Nyoka huyu anapatikana katika hali za hewa nyingi nusu jamgwa yupo, ikweta kwenye mvua nyingi yupo na maeneo yenye joto kama Namibia pia anapatikana. Kuhusu kinyesi cha Ng'ombe sinauhakika sana lakini kuna kesi nyingi tu za nyoka huyu kuuwa Ng'ombe wengi tu huko Shinyanga
 
Jina lake kwa kiingereza anaitwa cobra kuna aina zaidi ya hamsini za cobra mojawapo ni black mamba, kwa hiyo black mamba ni moja ya aina za cobra
 
Jina lake kwa kiingereza anaitwa cobra kuna aina zaidi ya hamsini za cobra mojawapo ni black mamba, kwa hiyo black mamba ni moja ya aina za cobra
Mkuu kuna king cobra na black mamba ni nyoka wa aina mbili tofauti kabisa
huyu ni king cobra na huyu
ni Black mamba
 
Asante kwa darasa ila Nguchiro na Nyegele ninoma sana.
 
Mkuu kuna king cobra na black mamba ni nyoka wa aina mbili tofauti kabisa
huyu ni king cobra na huyu
ni king cobra
King cobra na black mamba ni aina mbili kati ya zaidi ya aina hamsini za cobra
 
Kuna documentary moja ninayo mwanzo mtangazajia anasema kama ukikutana na huyu nyoka usithubutu kufanya chochote hatari sana
Hiyo documentary haisemi ukweli au hukuielewa vizuri. Nakushauri ingia sasa kwenye search engines kama Google utapata Taarifa sahihi
 
Asante kwa Tanzania ninewaona Chunya, Mpanda, Tabora na Handeni Tanga ila Handeni wengi ni Green mambas ambao hupenda sana kukaa kwenye miti hafu ni wapole inapita wako juu ya mti hata wametulia tu, kwa Mpanda wana rangi ya kijivu ni wakali balaa.
Hafu huwa wanasema kuwa Black mambas akitaga mayai huweka zone ambapo ukipita ndani ya hiyo zone lazima akushambulie je ni kweli?
 
Hahahahahhhaha Kila Mtemi ana mtemi wake kumbe, kwahio na speed zake zooote ila kwa hao jamaa hachomoi
 
Pamoja na kusimulia kwa mtiririko unaofaa, lakini wajua kuwa umeharibu sana!!!
1. Unajua kweli maana ya "KITOWEO"
2. Unaposema "kwa kiingereza anaitwa black mamba" sisi kwa kiswahili tunamwita "koboko" sasa imekuaje umeandika nnsha yako kwa kiswahili na umelionea aibu jina "KOBOKO"?


Mwisho nikuulize huyu ndiye hugonga kichwani pekee? Kama siye basi hujamsimulia aliye hatari kuwazidi wote.
 
mimi shambani kwangu kuna hao nguchiro wengi sana hua wanatembea kikundi sijui kuna hao nyoka mita hiyo mpaka naogopaga na hao nguchiro hachezi mbali du kwahiyo ni walinzi wazuri kwa nyoka kumbe safi sana
 

Kitoweo imewekwa kunogesha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…