Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Kwa Tanzania nyoka huyu hupatikana mikoa ya Dodoma,Tabora, na Shinyanga.This snake is a bad news....Deadly
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu anatulinda sana hayo manyoka Wengi wapo Mashambani mkuu kuna wasukuma walikuwa wanaua huyo nyoka aliuwa ng'ombe mwenye mimba.. ilikuwa mwanza mwaka juzi kama sikosei lakini alikuwa mrefu kuliko wa kwenye picha hapo.... hatari huyo bora ugongwe na gari sio huyoTanzania wanapatikana maeneo gani?
Google utapata maelezo yoteLete ushahidi kuwa black mamba ni cobra?
Mungu anatulinda sana hayo manyoka Wengi wapo Mashambani mkuu kuna wasukuma walikuwa wanaua huyo nyoka aliuwa ng'ombe mwenye mimba.. ilikuwa mwanza mwaka juzi kama sikosei lakini alikuwa mrefu kuliko wa kwenye picha hapo.... hatari huyo bora ugongwe na gari sio huyo
lakini nyoka hatari zaidi ulimwenguni ni Rattlesnake kwa ki swahili sijajuajua jina la huyuUrefu hutegemeana na umri pia
Duh ahsante kwa chaiNilimuaga koboko nikamla mzima mzima baada ya kugonda kondoo wangu niliopewa na babu mpaka leo nina hasira sana kama koboko.
Duh mkuu kama anakimbia km 12 kwa saa wewe ulikua unaendesha gari kwa speed gani?Uyoo nyoka na mfahamu vizuri sana nihatari kuliko ulivyoeleza niliwai kumkanyaga mkia na gari aliikimbiza gari uku anaigonga kwenye bord nilipata mawazo kama ninge kuwa kwa miguu ingekuwaje uyo mdudu ni hatari mno
Rattlesnake sio aina ya nyoka ni kundi la aina za nyoka wenye sumu wapo katika aina tofauti tofauti zinazokadiriwa kuwa ni 65-70. Ila nyoka mwenye sumu zaidi anaitwa Taipan amegawanyika katika aina mbili kuna coastal na inland nitawaelezea siku sio nyingi ingawa hawapo AfricaView attachment 344440
lakini nyoka hatari zaidi ulimwenguni ni Rattlesnake kwa ki swahili sijajuajua jina la huyu
Kweli mkubwa hasa mimi huku nilipo kila siku lazima nikutane na nyoka...Jana tu nimemuona anayefanana na majani makavu..na kuna mwingine huyo nahisi ni Nyamwilu ndio huwa karibia kila siku akiotea jua...Mungu anatulinda sana hayo manyoka Wengi wapo Mashambani mkuu kuna wasukuma walikuwa wanaua huyo nyoka aliuwa ng'ombe mwenye mimba.. ilikuwa mwanza mwaka juzi kama sikosei lakini alikuwa mrefu kuliko wa kwenye picha hapo.... hatari huyo bora ugongwe na gari sio huyo
Duu! mkuu humjui hata nungu nungu?Nguchiro ndio nungunungu!!??
Ila tunaishi nayo hapa dunianiSiyapend haya madudu
Nguchiro tofauti na Nungunungu POTI, anyway uko LINDO?Nguchiro ndio nungunungu!!??
Hapana Nungunungu anajihami kwa kutoa miiba katika mwili wake lakini Nguchiro yeye hana miiba ila ni mjanja sana na husimama kwa miguu miwiliNguchiro ndio nungunungu!!??
Lakini ni vema kuzijua kwasababu wanaweza kuwa wanaishi katika mazingira ya nyumba unayoishiHabar za majoka huwa naogopa sana