Honey badger akikutana nakoboko aliekomaa panakua hapotoshi anaweza kumwua ila nayey hachukuia roundNyoka wengi hua wana aibu na huwa wa kwanza kuretreat unless wawe cornered, koboko hajui kuretreat, ana accuracy, speed na bado yeye ndiyo ataanzisha ugomvi.
Iwe iwavyo ninachojua hachomoki mbele ya honey badger.
Ukiwa unamsogelea anatoa sauti ya kukuonya siyo kwamba anakua kajikausha kua anakuogopa.Ni kweli kifutu ni mvivu anatumia rangi yake kutulia mahali hata kama utamsogelea ndio maana anauma watu wengi sana
Wengine wakisikia unakuja wanakimbia lakini huyu unaweza kukaa karibu yake bila yeye kuondoka ila akiona ni tishio anatumia silaha yake hapo yanakuwa mengine
Na ukimsogelea huwa anakupa warning ya sauti ffuu!!!!usipoelewa unakula bite!Mzembe sana mkuu yani huyo nyoka usipo mkanyaga akugongi ng’ooo
Na kweli mambas ni khabari nyingine halafu mshari sanaNyoka wengi hua wana aibu na huwa wa kwanza kuretreat unless wawe cornered, koboko hajui kuretreat, ana accuracy, speed na bado yeye ndiyo ataanzisha ugomvi.
Iwe iwavyo ninachojua hachomoki mbele ya honey badger.
Unamkosea heshima.
Puff ader ametoka kuzaliwa sasa hivi na sasa hivi akikung'ata ujue ndiyo safari hiyo.
Ana camouflage nzuri sana inayomsaidia mawindoni, huko kutulia unakokusema ni sehemu ya mbinu za akiwa mawindoni.
Force anayotoka nayo ili kushambulia windo inatosha kuua windo hata bila kutumia sumu.
Mbona siyo kweli chief.View attachment 766068
Kifutu akikung'ata huyu unaanza kuoza,lakini kwa Koboko huyu anakuwa wa Dar.
Pia koboko ndo mgunduzi namtumiaji mzuri wabangiKuna sehemu nipo huku mkoani tabora sehemu nilikuwa nimekaa nikasikia watu wakimsimulia nyoka aina ya koboko ambaye inasemekana anapatikana tabora ,shinyanga,singida na kigoma.
Kuna mtu mmoja katika mazungumzo yake alikuwa akisema ni bora ukutane na simba au chui unaweza ukapona kuliko koboko nilipojaribu kumuuliza alisema hayupo tayali kumuongelea kiundani wala kumtajaa kwa sababu ukiwa ndani ya mkoa wa tabora au shinyanga ni marufuku kumtaja huyu nyoka jinsi alivyoniambia.
Sasa kwa wale wanaomfahamu hebu tuelezeeeni kwanini koboko anaogopeka kuliko simba au chuiii
Na ukimsogelea huwa anakupa warning ya sauti ffuu!!!!usipoelewa unakula bite!
Hahaha anaruka mateke si mchezo halafu wanasayansi mbinu yake ya kumbamiza nyoka wanaiita centrifugal slamNa kweli mambas ni khabari nyingine halafu mshari sana
Ila kwa badger au mongoose ndio balaa pia kuna ndege anitwa Secretary Bird huyu anapiga karate kama Jet Li
Halafu ninavyoupenda wimbo huoIla Koboko mwenye hasira akikubananiza, ukimuimbia ule wimbo Sina makosa wa Les Wanyika anakuacha.
wadogowadogo au wakubwa? nimeshangaa kwamba unamshika afu anakuangalia tu?Hahaha mkuu sisi tulikua tunawarudisha nyuma alipo toka yani kila akienda mbele sisi tunamvuta nyuma tukichoka tunamuulia mbali ila ukimkanyaga imekula kwako
Kutokuwa na fatalities hakumfanyi koboko kuwa sio Venomous ila sema Puff ader huwa anapenda mazingira ya karibu karibu na makazi ya watu zaidi kwa ajili ya panya.Mbona siyo kweli chief.
Kwa sababu koboko siyo miongoni mwa most venomous snakes na hana fatalities kubwa ukimlinganisha na puff ader.
hahahaa.. ila nyoka hasikiiIla Koboko mwenye hasira akikubananiza, ukimuimbia ule wimbo Sina makosa wa Les Wanyika anakuacha.
Hahaha umemuona ee inaonekana unapenda sana wanyama kama mimiHahaha anaruka mateke si mchezo halafu wanasayansi mbinu yake ya kumbamiza nyoka wanaiita centrifugal slam
Nyoka nimewasoma tu kwenye articles na statistics wachache sana nimeshare nao eneo.Mkuu huyo nyoka na mjua vizuri sana nimesoma uko tabora boys wapo wengi tu akisikia binadam anajongea sehem alipo hua anafoka kukujulisha nipo maeneo haya so usimzuru na unaweza pishana nae bila tatizo lolote.sisi tulikua tukiona ana vuka barabara tuna mchezea kwa kumvuta nyuma alipo toka anaishia kufoka tu ila hiyo mashine nyingine ilishawahi kuzingua watu makabulini akuna aliye baki nahisi ata marehem asinge kua ndani ya jeneza angekimbia
Ulikuwa unachezea moto huyu nyoka ndio anagonga kwa haraka sana kuliko koboko na fangs zake ni kubwa kuliko koboko.Hahaha mkuu sisi tulikua tunawarudisha nyuma alipo toka yani kila akienda mbele sisi tunamvuta nyuma tukichoka tunamuulia mbali ila ukimkanyaga imekula kwako
Camouflage ya puff ader haifanyi kazi kwenye makazi ya watu ukigongwa na puff ni wewe ndiyo ulimfuata maeneo yakeKutokuwa na fatalities hakumfanyi koboko kuwa sio Venomous ila sema Puff ader huwa anapenda mazingira ya karibu karibu na makazi ya watu zaidi kwa ajili ya panya.