Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko ukimtajataja sana anatia timu.hiyo ni fact lakini sijui ni kwa nini?! Hapa inabidi utafiti.
Kinachochekesha ni kwamba pamoja na sumu yake yote akimng'ata nguchiro anazimia tu hafi. Hahahahahaha, nilivyosikia NAT GEO Wild nilicheka kweli, Mamba kajipiga akakang'ata kakalala baada ya muda kakamdaka yeye.
 
Ukiona mzungu anakwambia most dangerous snake in Afrika ujue inawezekana yuko Afrika ndo maana wanamweka namba nne Duniani kwa sumu angekua ulaya angekua namba moja wazungu sometimes ni hawakubali ukweli
Nyoka hatari na sumu kali duniani wapo Australia.
 
Kinachochekesha ni kwamba pamoja na sumu yake yote akimng'ata nguchiro anazimia tu hafi. Hahahahahaha, nilivyosikia NAT GEO Wild nilicheka kweli, Mamba kajipiga akakang'ata kakalala baada ya muda kakamdaka yeye.
Kuna clip niliyoiona ni kifutu na nyegere, kifutu alipoliwa kichwa nyegere akaficha moto kwa muda aka amka akaendelea na msosi wake.
 
Na swila ndo yupii jaman nazidi kuchanganyikiwaa
Swila ni Cobra
20180505_072512.jpeg
 
Niliyowahi kushuhudia ya nyoka huyu Chunya mbeya acha ninyamaze tu asije fika hapa nilipo!.
Alifunga kijiji kizima baada ya kukorofishwa na vijana wa kisukuma na wawili wali-rest in peace before hawajamuona dokta.
Nitakuja na story kamili nikipata muda jinsi kijiji kilivyopata shida siku 3 kumuwinda mpaka kumuua lkn ni simulizi mpaka leo toka mwaka 2011
Aisee leta stroy iyo
 
Ukifata sifa zake ukaw unatumia sifa zahuyu koboko utafanikiwa
tapatalk_1521920514239.jpeg
tapatalk_1521920453454.jpeg
 
Hajakosea, black mamba ni koboko na puff adder ni kifutu. Na ni kweli amepata jina la black mamba kwa sababu kinywa chake ni cheusi. Ngozi yake ni kijivujivu sio nyeusi
Ok kama ni hivyo ndio maana wanamuogopa coz black mamba is among the most venomous snakes in africa. With no antivenom,once bitten death is assured in less than 30 minutes
 
Back
Top Bottom