Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani


alivyotulia nadhani anasikilizia je utaleta ukorofi na ungeamua kupambana nae peke yako usingeweza nyoka ni hatari sana
 
Kuna nyoka wapo juu ya safu za milima ya Uluguru, akihema tu ni sumu, unakufa kwa kuvuta hewa yake,
 

Kwa kirangi ndio wanaitwa nini vile NKOBOKO au SATO.
 
Mmmmhhh aiseee hawa nyoka wanapatikana wapi hasa kwa hapa tz,makazi yao wanaopenda maana ni zaidi ya hatari,tiba ya haraka ya bite?

Vipo vingi tu vinapenda sana tumilio twa simu vimijusi tundege, kukuuma lazima uwe wenye "very close range"
Kana uwezo wa "ku-jump and vault" a bit like flying in the air

Hivi vimamba vinapenda sana kukaa kwenye miti ya mikwaju ya kizungu.

Taya za chini za nyoka zimegawanyika sehemu mbili, yaani kipande cha kushoto na cha kulia, hii inamfanya nyoka aweze kumeza kitu kikubwa zaidi ya ukubwa wa kichwa chake.

Nyoka anauwezo wa kugundua ongezeko dogo sana la joto la binadamu chini ya 0.01 kipimo cha sentigredi ndani ya mita kama kumi hivi.
 
Nawafahamu isale, wale siyo mambaz!! Isale tulikuwa tunawachezea sana enzi zetu kwenye mikungu na michongoma ya fensi. Nae akikasirika anakimbiza sana ila si mambaz
yule ni green mamba ule mweusi ni black mamba,hakuna nyoka mwingine wa kijani zaidi ya isale.
 
kweli inawezekana kukawa kuna utofauti,ntajaribu kulifuatilia zaidi!
 
nimwepes sana hakawii kukaa chiniya gari mkaenda nae hadi mwisho wa safari kasheshe atakae anza kushuka!
Ni kweli mkuu niliwahi ona documentary moja jamaa alitend kumkanyaga akajiingiza kwenye sehemu ya chini ya gari
kesho yake mwenye gari alipofungua boneti ya gari akangatwa.
 
yule ni green mamba ule mweusi ni black mamba,hakuna nyoka mwingine wa kijani zaidi ya isale.

Isale ni wadogo mno then wapole sana. Isale wana midomo myekundu while mambaz ni myeusi tii.

Wale isale urefu wao haufiki futi tatu, mambaz ni sita hadi tisa kutegemea na umri bro.

Isale hawezi kusimamia mkia ila ni kuning'inia kwenye miti anaweza. Mamba anasimamia mkia na anakuzidi urefu kiasi anakugonga kichwani akiwa ardhini. Upo brother??

Hujaona tofauti tu kaka??
 
Mkuu ujanja kwa nyoka sio huyo tu bali nyoka wote,ukitulia hakufanyi kitu sana sana atapunguza mukali na kushusha kichwa chake na kuondoka.Nyoka ana kibox karibu na ubongo wake kinaitwa ''jacobson'' hiki humsaidia pindi aonapo kitu uuelekeza ulimi wake wenye ncha mbili kuelekea kitu hicho kisha hugusisha kwenye kisanduku hicho,mara hupata taarifa kama hicho kitu kina madhara au la,sasa unapokutana na nyoka ukawaza kumdhuru anakutambua na hivyo huanza mbinu za kujihami ikiwemo hiyo ya kukurukia na kukuuma,ni vyema uwaonapo nyoka hawa usiwaze kuwadhuru ili ubakie salama.
 

Mkuu wewe unafaa kuwa mwanasiasa.
 
Aisee nimechek videos hao wadudu n hatari mpaka cobra wakubwa wanawagwaya...

Movie zao zinavutia Sana kuzitazama

Ni raha sana hata kenge anatumia stair hiyo hiyo mpak anamuua then anamla,ila paka sasa,,,ni mwendo wa kumpiga makofi na kumkwepa nyoka mpaka anachoka kabisa then anaburuza anakabithi watoto wake wachezee.hamli.

Nilishuhudia hii live miaka ya nyuma home nilishangaa sana nikaamini katika wanyama smart ni jamii ya paka yaan anaanza kama utani vile nyoka na ukali wake woote mfukoni.
 


Ha ha ha raha Sana mkuu

Hapa internet ya ofisi inalika kwa kuangalia hizo videos YouTube....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…