Kheri Hansen
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 1,025
- 1,238
Good idea kope zenyewe hana.Koboko ukikutana nae usikimbie...ganda hapohapo huku unamlia timing ya kuzoa mchanga...macho yake hayapatani na mchanga, kakiingia hata kajiwe kamoja ka mchanga jicho lina yeyuka..huwa ni kama la majimaji.
Ni kwelimkuuUkishamtoa venom glands kinachobakia ni mnofu tu ni kuutafutia unga.
Kweli binaadamu tuko tofauti sanaUle utafiti wa bangi kukaa kichwan miaka 7 nahisi Upo sawa
Ngoja niongee kwa kiinglishi kuonesha msisitizo DONT DARE kuinama hata kujikuna wala kujifanya una ujanja wa kutaka kumdhuru Kama huwezi fanikiwa kwa koboko(black mamba) ni nyoka yuko faster kulko nyoka yeyote unamjua au ulishawahi kumuona. DONT DARE YOU WONT SUCCESSED.Koboko ukikutana nae usikimbie...ganda hapohapo huku unamlia timing ya kuzoa mchanga...macho yake hayapatani na mchanga, kakiingia hata kajiwe kamoja ka mchanga jicho lina yeyuka..huwa ni kama la majimaji.
Mimi nafikiri Swila ni Cobra kiswahili.Swila- SPITTING COBRA
Duuuuu alijuaje kuwa hiki chumba ndio kalala jamaa?Kingine kuhusu KOBOKO,
Ni mojawapo ya nyoka wenye kumbukumbu sana na wepesi wa kulipa visasi.
Ukiona umemjeruhi alafu hukumuua.
Basi jiandae kwa revenge, wakati wowote akishatia timu.
Mf:
Kuna jamaa kule Tabora alimkuta KOBOKO jikoni kwake alkokua anawalaza kuku wake usiku.
Basi jamaa akakuta kuku 5 wamekufa.
Basi akafanya msako, akamlia ambush,akamjeruhi kwa kwanja mkiani (alimkata mkia)
Basi KOBOKO alipozidiwa akatokomea vichakani.
Jamaa akabaki na mkia wa KOBOKO.
Baada ya Muda yule koboko aliota mkia mwingine mpya
( kama kawaida yao Reptiles)
Yule koboko baada ya miezi 3, Yule koboko alirudi pale nyumbani kwa jamaa
Alienda zizini akawagonga ngombe wawili.
Kuna mbwa alkua analinda pale nyumban, nae asbuh walkuta anatoa damu machoni kalala chini hoi bin taabani.
Baada ya mda nae akafariki.
Usiku ule ule kumbe alikua keshamfata jamaa kitandan, na kumgonga mguuni.
Asbuh,
jamaa anaamshwa aone kilichowapata mbwa wake na ngombe.
Wanastuka MTU haamki, Kuangalia wanaona jeraha LA meno kwny mguu.
Na ngozi ya mwili wake ishabadilika kua blue black
PEMBENI
WANAONA GAMBA LOTE ALILOJICHUNA BLACK MAMBA MULE MULE CHUMBANI KWAKE.
Wananchi walighadhabika mno;
Msako wa wiki 2 ulifanyika kumsaka kila kona bila mafanikio.
Tulizuiwa mpaka kumwongelea, yaani ukimtaja tu unakula viboko/makofi
Msalani; ikifika usiku MTU anasindikizwa na watu 3-4 wenye silaha.
Dah,
nkikumbuka lile tukio mwili unanisisimka.
NAJIKUTA NAMWOGOPA SANA HUYU NYOKA.
Duh,Duuuuu alijuaje kuwa hiki chumba ndio kalala jamaa?
Cobra wako wengi,Mimi nafikiri Swila ni Cobra kiswahili.
Tembea Na pilipili kavu mifukoni, nyoka aina yoyote hatokusogelea
Swila atemae mate na Swila asiyetema mate Swila mweusi Swila wa njanoCobra wako wengi,
ukitaka kumweza koboko vaa helmet inasemekana kuwa anashambulia kichwa tu ndio maana victim wake ni shida kuponaKuna sehemu nipo huku mkoani tabora sehemu nilikuwa nimekaa nikasikia watu wakimsimulia nyoka aina ya koboko ambaye inasemekana anapatikana tabora ,shinyanga,singida na kigoma.
Kuna mtu mmoja katika mazungumzo yake alikuwa akisema ni bora ukutane na simba au chui unaweza ukapona kuliko koboko nilipojaribu kumuuliza alisema hayupo tayali kumuongelea kiundani wala kumtajaa kwa sababu ukiwa ndani ya mkoa wa tabora au shinyanga ni marufuku kumtaja huyu nyoka jinsi alivyoniambia.
Sasa kwa wale wanaomfahamu hebu tuelezeeeni kwanini koboko anaogopeka kuliko simba au chuiii
wachana na romanticized statics ...sisi wawindaji huku vijijini ndo tunajua shughuli ya huyo mzee.Nyoka nimewasoma tu kwenye articles na statistics wachache sana nimeshare nao eneo.
Takwimu zinasema puff ader ana fatalities nyingi kuliko black mamba, na rekodi zinasema black mamba ana sumu kali lakini siyo most venomous snake.
Kweli kiongozi ulikuwa Tabora tulikwendaga tukawakutaga wanakulaga ntalali ila HAWAPENDAGI nfulu.Jamaaa wameniambia huyo nyoka huku watu hawapendagi kumuongelea wala kumtajaa ila hawajanielezea kwanini
Aaah unaroho mzee, mimi sichagui chochote kabisa kama kuna wauaji wameniambia kuchagua nawaambia watachagua wenyewe si wameamua.simba na chui na koboko.. mimi nachagua koboko.. bora kifo cha haraka kuliko kifo cha maumivu makali
unakung'ata mng'ato wa mbwa koko.Jinsi ya kumkepa huyo nyoka
Ukikutana nae akiwa kwenye hasira ulia kama tairi linalotoka upepo
Simamaa tulii muangalie tu uku ukionesha upole