DUuu nomaa na je wenzetu wa america kusini nao kuna anaconda ni nyoka wakubwa sana kwenye misitu ya amazonNI NYOKA WENYE SUMU KUBWA SANA,MFANO TUU BLACK MAMBA AMBAYE HUKU NDIO TUNAMWITA KOBOKO ANAUWEZO WA KUKUGONGA MARA 120 BILA KUCHOKA WALA KUPUNGUZA KIWANGO CHA SUMU ANAYOTEMA KILA ANAPOKUGONGA,SUMU AMBAYO INAKWENDA KUHARIBU NEVA ZA FAHAMU,PIA CHEMBE ZA KUGANDISHA DAMU ILI USITOKE KWENYE JERAHA YAANI PLATELETS HUWA HAZIWEZI ZUIA DAMU ISIACHE KUTOKA,NA PIA HUATHIRI MFUMO MZIMA WA DAMU,NI NYOKA HATARI SANA,
kwa hiyo huyo ni nyoka jogoo? mbona hapa wengine wanamwita yule tunao mfaham black mambaNasikia usiku anawika kama jogoo kwenye mapori manene
Wacha uoga! Hizi picha wakongo wanaona mboga tu.aaaghhhh ...daahhh una moyo picha zina sisimua mnoo hzo aiseee
hahahaUmeamua kutuuwa haraka haraka
Utaacha matapeli waanze yao kama aliebebeshwa mzigo eti umenata
Ndio huyo huyo anaewikakwa hiyo huyo ni nyoka jogoo? mbona hapa wengine wanamwita yule tunao mfaham black mamba
Nmeshawaua sana hawa wadudu, pia kuna siku nilitaka kumpoteza huyo mnayemwita koboko sema Bahati nzuri kwake alikimbia kabla sijaletewa fimboView attachment 766068
Kifutu akikung'ata huyu unaanza kuoza,lakini kwa Koboko huyu anakuwa wa Dar.
Masecretary tumeingiliwa mpk vindege vinaitwa hivyoAnaitwa secretary bird
Hahahah Utofauti wa nyie na yeye yeye anagawa kipigo kwa nyoka nyie nyoka ndo wanawapa vipigo.Masecretary tumeingiliwa mpk vindege vinaitwa hivyo
Nmeshawaua sana hawa wadudu, pia kuna siku nilitaka kumpoteza huyo mnayemwita koboko sema Bahati nzuri kwake alikimbia kabla sijaletewa fimbo
Huyu nimeshawahi kukutana nae juu ya muembe alikua na urefu wa mita mbili.........asee acha kabisa nlikua kileleni nafuata maembe kumbe yalipo maembe ndipo alipo yeye ....ila uzuri alianza kuniona yeye sasa wakati me naweka mkono kwenye embe bwana we natupa jicho vizuri kajaa yeye nilishuka kwa speed ya jet halafu ye wala hakua na habari na Mimi alitulia tu.........nlivofika chini nikaita wanaume wakauaWatu wengi hujidanganya kuwa huyu nyoka huwa hana sumu,lakini sio kweli huyu nyoka Boomslang ana sumu kali lakini yenye kuua polepole.kama akikun'ata asubuhi hutosikia dalili zozote mpaka usiku ndio ukilala huamki.View attachment 767836
HahahahahaHahahah Utofauti wa nyie na yeye yeye anagawa kipigo kwa nyoka nyie nyoka ndo wanawapa vipigo.
ha hahaa waweza kukuta na wew ni Mkongo"" tunaomba card la kuzaliwa la babu mzaa bibi ykoWacha uoga! Hizi picha wakongo wanaona mboga tu.
Mimi ni mmanyema.ha hahaa waweza kukuta na wew ni Mkongo"" tunaomba card la kuzaliwa la babu mzaa bibi yko
Huyu Boomslang mara nyingi huwa anang'ata anaposhikwa kwa sababu meno yake yako kwa ndani.Huyu nimeshawahi kukutana nae juu ya muembe alikua na urefu wa mita mbili.........asee acha kabisa nlikua kileleni nafuata maembe kumbe yalipo maembe ndipo alipo yeye ....ila uzuri alianza kuniona yeye sasa wakati me naweka mkono kwenye embe bwana we natupa jicho vizuri kajaa yeye nilishuka kwa speed ya jet halafu ye wala hakua na habari na Mimi alitulia tu.........nlivofika chini nikaita wanaume wakaua