imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Wanyamwezi wanamjuaHao nyoka wanavichaaaa, maana ukimbize basi lenye abiria, huo ukichaaa aliopitiliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanyamwezi wanamjuaHao nyoka wanavichaaaa, maana ukimbize basi lenye abiria, huo ukichaaa aliopitiliza
Utaenda kupata lawama mtaani, maaana umewapelekea hekahekaYaani ileeeeeeeee paaaaap unafika home kitu unakiona nacho ndio kinashuka chini ya gari sipati picha mbio utakazoziacha hata Usain Bolt atashangaa
Angalia hiyo video halafu jifunze kufanya utafiti kwanza kabla ya kuanza ubishi.
Sio kweli huyo nguchiro alikuwa anapima kama msosi unalika.Hapo presenter anasema mongoose anamwonya black mamba asije kwenye himaya yake na meseji imemfikia .
angalia video nyingi utakuta mongoose Ana win
Bora ukutane na wasiojulikana kuliko huyu kwanza yeye good morning wala good afternoon hajui yeye ni goodbye tuKhaa!! Yaani ndo Koboko mwenyewe huyu?! Mi nilidhani ni lijijoka flani hivi linatisha ile mbaya!
Oh Lord!! Yaani hivi alivyo alivyo kama ndo ningekutana nae hivi am sure ningemchukulia poa sana... wallah kama ndo angenitisha hivi halafu akaamua kusepa zake, huenda ningemtafutia bakora ili nikamtandike nayo kichwani... manake nasikia ukitaka kumuua nyoka kirahisi; basi mtandike kichwani!!
Kwahiyo wadau mnasema ningejifanya kumdindia ingekuwa ni sawa na kudandia mabasi ya BRT yanayoelekea kuzimu?!
Halafu hiyo kutomtaja jina ndo kwamba ukimtaja tu, Mwana anaweza kuwaibukia; au?!
MAELEZO YAKO HAYA NDIO KOBOKO MWENYEWE HUYUHapana mkuu umechanganya kidogo, huyu koboko ni puff adder kama sijakosea huwa ni mfupi na mnene. Black mamba ni mrefu na mwembamba ndie huwa anaitwa kiss of death
Duh!! Kumbe nilikuwa simfahamu hata kidogo huyu mwamba!!Hapa kamkuta Simba kafa lakini alivyo na roho mbaya anaamua kung'ata tena sio Mara 1 bali mara 2
View attachment 768337View attachment 768339
Aisee usije thubutu tena kujaribu kumgonga huwa wanarukia gari unaenda nae utakaposhuka anawewe.ukienda mbugani mfano serengeti unaambiwa kabisa.Ni balaa hicho kifaa kinaweza kuua watu mia in 5min acha tu,huku kwetu ushirombo ndo vipo,kuna siku nimekutana nacho kinavuka barabara ya vumbi,nikasimama nikarudi nyuma na corola yangu nikakipitia shaaaaaah kumbe sikukigonga kikanasa chini ya gari,bahati nzuri nilikua naenda mwendo mrefu,kufika lami nikaona kitu kimeanguka kwa nyuma dah nikashukuru sana,nikawaza ni vp ninheenda nacho home?
Labda inawezekana maana kuna jamaa walikuwa ni wakata magogo mambas walikuwa wanaishi maeneo hayo hayo tena wengi tu ila walikuwa wanaishi kwa amani tu kila mmoja na hamsini zakeKuna kitu ambacho nimekiona sana katika fuatilia yangu kuhusu huyu jamaa wazungu huwa kwa kiasi fulani huwa wanapotosha.nadhani kwa sababu huyu mnyama waafrika huwa wanamhusudu sana.
Hapana Cobra ni Swila yule anatanua shingo na kutema mateDuh!! Kumbe nilikuwa simfahamu hata kidogo huyu mwamba!!
Huyu jamaa ndo yule anaitwa Cobra au ni jomba wawili tofauti?!
Unasema kweliKina mfipa 1 tabora anawaua sana na ni bwana mdogo tu, tulipokuwa wadogo niliwahi sikia story kuwa kama ukitaka muua nyoka mwanamke ashike matiti na mwanaume ashike magoti mwingine awe anampiga nyoka anakuwa hakimbii, anabiringita hapo hapo, niliwahi iona hii ukerewe nikiwa nalima na bibi na kweli nilimuua kifutu huku bibi akiwa ameshika matiti, huwa mpaka leo najiuliza wanaposhika hivyo kuna logic yoyote na inafanya kazi
Ni tofauti na Cobra ila sifa zao kama zinafanana ila huyu ni hatari sana...Cobra hawapatikani kivile nchi za AfricaDuh!! Kumbe nilikuwa simfahamu hata kidogo huyu mwamba!!
Huyu jamaa ndo yule anaitwa Cobra au ni jomba wawili tofauti?!
Dah!! Basi miaka yote hii nilikuwa nadhani Koboko ndo Cobra... halafu nakumbuka enzi hizo tulikuwa tunamuita Koboko Mate... kumbe tulikuwa tunalishana matango pori!Hapana Cobra ni Swila yule anatanua shingo na kutema mate
Ila huyu ni tofauti yeye hatemi mate ila ana sumu mbaya sana ambayo inauwa kwa dkk 30 tu kama hawajakuwahi
Kuna kisa kimoja cha mzungu na koboko huko Botswana ninakitafuta ilinikthibitishe halafu nikilete hapa.Labda inawezekana maana kuna jamaa walikuwa ni wakata magogo
Hahahahaha Walahi nimecheka sana eti koboko mateDah!! Basi miaka yote hii nilikuwa nadhani Koboko ndo Cobra... halafu nakumbuka enzi hizo tulikuwa tunamuita Koboko Mate... kumbe tulikuwa tunalishana matango pori!
Sawa tunasubiri uwe na amaniKuna kisa kimoja cha mzungu na koboko huko Botswana ninakitafuta ilinikthibitishe halafu nikilete hapa.