Ooh sorry, ni yeye aisee akiwa ameachamaCoffin shaped head cheki vizuri
Ni kweli mkuu, Mungu kaumba hao viumbe hatari, lakini kwa Kuwa anatupenda sana, ametupa maarifa jinsi gani ya kukabiliana n'a viumbe hao bila kuzuriana.kuna kipindi fulani Nilikuwa Sumawanga kikazi, sehemu inaitwa Namasi n'a Sopa . Sehemu hao viumbe wako wengi muno, Ila wana dawa zao ukiitembea nayo umeiweka mfukoni mwaka, hao viumbe wanakutambua haraka na kukukimbia. Hata kama ni Koboko naye anatimua mbio, au akizubaa, Umemkamata mzima mzima. Kama kuna ndugu zangu hapa jukwaani tokea pande hizo, Sopa, Kasitu, Namasi, Kaengesa, mkunda n'a Kalambazite /Ikozi wanaweza thibitusha ninachoongea hapa.Njooni kwetu mpate dawa za nyoka uyo koboko unamkamata na mkono
Kuna viumbe wa ku study lakini sio hawa washenzi aseeeKuna haja ya kuwastudy viumbe hawa ili tuwajue vizuri kwa sababu wanahusudiwa dunia nzima.
Huko South afrika wakati wa utawala wa makaburu walikua wanachukua mayai yake yakishatotolewa wanawafuga kidogo halafu usiku wanaenda kuwaachia kwenye maeneo ya weusi cha ajabu wale koboko walikuwa ni wapole mpaka leo koboko ni wengi kwenye miji yao.Kuna viumbe wa ku study lakini sio hawa washenzi aseee
Mbali na kuhusudiwa pia watalii wengi sana wametengeneza hela kwa clips hizo za wanyama wetu pia documentary zote ni wao ndio wanatengeneza na kuziuza kwa bei kubwa.Kuna haja ya kuwastudy viumbe hawa ili tuwajue vizuri kwa sababu wanahusudiwa dunia nzima.
Inawezekana kabisa angalia Kenya kwa mfano Production team yote ni wakenya halafu ndio makampuni makubwa yananunulia hapo.Inakuwaje mzungu na camera yake anatengeneza hela kwetu na sisi tunambebea mizigo na kumchunga
Kuna clip moja you tube nimetoka kuiona now, huyu koboko kaingia ndani ya kiota cha vifaranga ( lkn vikubwa kubwa tu ka kuku) vya ndege, ni mkubwa sana,nusu mwili kauingiza mle ndani maana kiota chenyewe kimetobolewa kwenye mti mkubwa, na nusu mwili kauacha kwenye mti kumbe anaviziwa na kile kimnyama kinafanana na paka hivyo hivyo ( huwa kinapenda kurukia vindege kama kama kipa anavyodaka mpira!View attachment 768985
Kitu hicho Deeppond.
Hahahaa..tuwekee hiyo clip nasi tufurahiKuna clip moja you tube nimetoka kuiona now, huyu koboko kaingia ndani ya kiota cha vifaranga ( lkn vikubwa kubwa tu ka kuku) vya ndege, ni mkubwa sana,nusu mwili kauingiza mle ndani maana kiota chenyewe kimetobolewa kwenye mti mkubwa, na nusu mwili kauacha kwenye mti kumbe anaviziwa na kile kimnyama kinafanana na paka hivyo hivyo ( huwa kinapenda kurukia vindege kama kama kipa anavyodaka mpira!
Basi huwezi amini kamkata ule mwili nusu kakimbia nao!
Koboko yuko humo kwenye vifaranga anahaha mdomo uko wazi! Vifaranga nao wamepagawa full kelele hata hawaelewi kilichomkuta huyo koboko....
Koboko hata ukimkata vipande viwili anao uwezo wa kugonga kwa muda mrefu.Koboko yuko humo kwenye vifaranga anahaha mdomo uko wazi! Vifaranga nao wamepagawa full kelele hata hawaelewi kilichomkuta huyo koboko....
Hivi atakufa au atakua tena? Hadi nimeogopa!Koboko hata ukimkata vipande viwili anao uwezo wa kugonga kwa muda mrefu.
Ile sumu yake inatokea kwenye kitu kinaitwa fang's ambayo iko mdomoni haitoki kwenye kiwiliwiliKoboko hata ukimkata vipande viwili anao uwezo wa kugonga kwa muda mrefu.
Hawezi kukua tena anakufa sema muda anaochukua kufa ni mrefu.Hivi atakufa au atakua tena? Hadi nimeogopa!
Kuna clip moja you tube nimetoka kuiona now, huyu koboko kaingia ndani ya kiota cha vifaranga ( lkn vikubwa kubwa tu ka kuku) vya ndege, ni mkubwa sana,nusu mwili kauingiza mle ndani maana kiota chenyewe kimetobolewa kwenye mti mkubwa, na nusu mwili kauacha kwenye mti kumbe anaviziwa na kile kimnyama kinafanana na paka hivyo hivyo ( huwa kinapenda kurukia vindege kama kama kipa anavyodaka mpira!
Basi huwezi amini kamkata ule mwili nusu kakimbia nao!
Koboko yuko humo kwenye vifaranga anahaha mdomo uko wazi! Vifaranga nao wamepagawa full kelele hata hawaelewi kilichomkuta huyo koboko....
Alikuwa na maana gani!??Babu yetu alituambia tukiwa wadogo kama mmoja wetu akiumwa na nyoka koboko huko tunakowinda digidigi na sungura kwa kutumia mbwa basi tusimlete nyumbani bali tuje mbio tutoe taarifa ili akatibiwe eneo lile lile la tukio. Pia alituonyesha baadhi ya majani ya kumsaidia wakati tiba kamili inaletwa eneo la tukio.
Sikuelewa mantiki yake, ila nimejua juzi juzi tu. Wazee wa zamani walikuwa makini mno.
kwetu mtu akikuchoka anakutumia koboko mwisho wa jeuri yako - ha ha haKoboko ana hasira sana ukikutana nae ni kutambika kikwenu au sala ya mwisho.
Usithubutu kukimbia kwani ana mbio za ajabu na kama kuna matuta ukajifanya kuyaruka yeye anatambaa juu ya matuta umenielewa
Ukiwa na gari ukamuona barabarani ataifukukuza gari na kuingia kwa chini na kujificha mpaka kwako
Hasira za kurushwa akitoka hapo ana uwezo wa kuuwa watu 25 kwa mkupuo na sumu yake huvuki dakika 30 ulimi nje.
Nawapenda nyoka lakini huyu sio rafiki kabisa very aggressive