Babu huyu kiumbe hua hapendi kabisa kutukanwa, tena mbaya zaidi umemtukania mama yake [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Duh basi huyu koboko atakuwa kumamae sana. Siendi Tabora hata nikirogwa...
Najaribu kuitafuta unajua Story za Koboko ni biashara kubwa.Duu una hiyoo clip kiongoziii
Achaa aiseee kuna dereva mmoja wa saratoga alikuwa ananipa story maeneo ya usoke alimuona koboko akikatiza barabarani kwa kuwa alikuwa yupo mwendo alimgonga basi yule koboko kwa hasira alianza kulikimbiza lile basii .Yani gari impitie juu afu asife? Hapa tunazungumzia nyoka au shetani?
Huyu si wa kukutana naye, Ee Mungu naomba unisikie.
duuUzuri wa sumu ya Koboko ni neurotoxin na Cardiotoxin inashambulia mfumo wa fahamu na kuuzimisha moyo ila Puff adder ni habari nyingine sumu yake inaenda kugandisha damu na kuozesha nyama.
Kuna jamaa nilimkuta kwenye kijiwe cha kahawa watu wamejaa wengine wamempa ofa ya mdeli mzima wa kahawa alikuwa anawahadisia kuwa koboko alimkimbiza kutokea Mikumi hadi mataa ya Ubungo hahahaJe wewe binadamuuuu una speed gani ya kumkimbiaaaa
Hahaa kijiwe kipii hichooKuna jamaa nilimkuta kwenye kijiwe cha kahawa watu wamejaa wengine wamempa ofa ya mdeli mzima wa kahawa alikuwa anawahadisia kuwa koboko alimkimbiza kutokea mikumi hadi mataa ya Ubungo hahaha
Cha pale Msamvu haha.Hahaa kijiwe kipii hichoo
Duu aiseee hahahaaCha pale Msamvu haha.
Duu aiseee hahahaa
Sasa kuna bwa mdogo mmoja akahoji mbona hakuwagonga watu kwenye round about ya Msamvu,basi kijiwe kizima kilimjia juu.hahaaDuu aiseee hahahaa
Yaani kosa ukimkosa maana yuko sharp haswa na akifanikiwa kurukia kwa chiniYani gari impitie juu afu asife? Hapa tunazungumzia nyoka au shetani?
Huyu si wa kukutana naye, Ee Mungu naomba unisikie.
malizia story kwa hiyo huyo tai alikufa kwa suma ama alisepa?Muwinda huwindwa, hapa tai alimchanganya koboko na nyoka mwingine akagongwa, koboko hakuachia mpaka chui alipotia timu chui nae akapiga kwenzi.
Usikariri mkuu, mimi nimeishi porini na nimewaona.Hili halina ushahidi Reptiles hawana vinyweleo.
Tai alikufamalizia story kwa hiyo huyo tai alikufa kwa suma ama alisepa?
Hakuna nyoka ambaye ana nywele halafu ana hoover kama helikopta,kwa hilo ninaweza kubisha hadi niwekewe ushahidi wa picha.Usikariri mkuu, mimi nimeishi porini na nimewaona.
Ungekuwa umepeleka balaa nyumban mkuuNi balaa hicho kifaa kinaweza kuua watu mia in 5min acha tu,huku kwetu ushirombo ndo vipo,kuna siku nimekutana nacho kinavuka barabara ya vumbi,nikasimama nikarudi nyuma na corola yangu nikakipitia shaaaaaah kumbe sikukigonga kikanasa chini ya gari,bahati nzuri nilikua naenda mwendo mrefu,kufika lami nikaona kitu kimeanguka kwa nyuma dah nikashukuru sana,nikawaza ni vp ninheenda nacho home?
Ku 'hoover' sijaelewa ni kufanyaje, ila huyo koboko anaruka juu umbali mrefu, hata mita 40, sijajua kiingereza anaitwaje, sidhani kama ndio hiyo black mamba kwa sababu sio weusi, ningekugugea.(google). Huyo jamaa ana tunywele kichwani, sio twingi..Hakuna nyoka ambaye ana nywele halafu ana hoover kama helikopta,kwa hilo ninaweza kubisha hadi niwekewe ushahidi wa picha.