Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Huyi bwana. ..
 

Attachments

  • FB_IMG_15257231445218439.jpg
    FB_IMG_15257231445218439.jpg
    65.2 KB · Views: 65
Yani gari impitie juu afu asife? Hapa tunazungumzia nyoka au shetani?

Huyu si wa kukutana naye, Ee Mungu naomba unisikie.
Achaa aiseee kuna dereva mmoja wa saratoga alikuwa ananipa story maeneo ya usoke alimuona koboko akikatiza barabarani kwa kuwa alikuwa yupo mwendo alimgonga basi yule koboko kwa hasira alianza kulikimbiza lile basii .

Karibia nusu saa anakwambia alikuwa anakwenda kwa speed kali anakwambia aligonga gia kweli kwelii na abiria ndani ya gali walijikuta wanaanza kuliaa wengine wakisali koboko asije kurukia gali au kudandia chasis kwenye gali ila kwa bahati nzuli dereva alikuwa yupo vizulii kukimbiza galii ndani ya nusu saa nzima mpka koboko akachemkaa sasa jiulizee basi kama yotong analikimbiza kama paka anayomkimbiza panyaa hiyo speed yake

Je wewe binadamuuuu una speed gani ya kumkimbiaaaa
 
Kuna jamaa nilimkuta kwenye kijiwe cha kahawa watu wamejaa wengine wamempa ofa ya mdeli mzima wa kahawa alikuwa anawahadisia kuwa koboko alimkimbiza kutokea mikumi hadi mataa ya Ubungo hahaha
Hahaa kijiwe kipii hichoo
 
Yani gari impitie juu afu asife? Hapa tunazungumzia nyoka au shetani?

Huyu si wa kukutana naye, Ee Mungu naomba unisikie.
Yaani kosa ukimkosa maana yuko sharp haswa na akifanikiwa kurukia kwa chini
Mziki wake ni huko utakapompeleka

Kuna watu wanaogopa hata kumtaja tu
 
Ni balaa hicho kifaa kinaweza kuua watu mia in 5min acha tu,huku kwetu ushirombo ndo vipo,kuna siku nimekutana nacho kinavuka barabara ya vumbi,nikasimama nikarudi nyuma na corola yangu nikakipitia shaaaaaah kumbe sikukigonga kikanasa chini ya gari,bahati nzuri nilikua naenda mwendo mrefu,kufika lami nikaona kitu kimeanguka kwa nyuma dah nikashukuru sana,nikawaza ni vp ninheenda nacho home?
Ungekuwa umepeleka balaa nyumban mkuu
 
Hakuna nyoka ambaye ana nywele halafu ana hoover kama helikopta,kwa hilo ninaweza kubisha hadi niwekewe ushahidi wa picha.
Ku 'hoover' sijaelewa ni kufanyaje, ila huyo koboko anaruka juu umbali mrefu, hata mita 40, sijajua kiingereza anaitwaje, sidhani kama ndio hiyo black mamba kwa sababu sio weusi, ningekugugea.(google). Huyo jamaa ana tunywele kichwani, sio twingi..
 
Ana binamu yake anapatikana milima ya usambara, ila yeye ana mapembe!!
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    18 KB · Views: 66
Back
Top Bottom