Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Hapana mkuu umechanganya kidogo, huyu koboko ni puff adder kama sijakosea huwa ni mfupi na mnene. Black mamba ni mrefu na mwembamba ndie huwa anaitwa kiss of death
Hapana mkuu, kifutu ndio mnene na mfupi (puff adder)
 
hqdefault-1.jpg

Tai huwa anajifanya kichaa,kwa koboko huwa anatulia mwenyewe kama huyu keshagongwa halafu amewekwa chini ya ulinzi mpaka afe.
 
Jamaa kajidunga anti Vernon za uhakika sasa hapa anang'atwa na koboko wala haimdhuru tena sumu
Kuna watu wana majaribu
 
ni nyoka mwenye spidi kuliko wote means ukikutana nae ukijaribu kumkimbia ni kaz bure atakudaka tu

ana sumu kali akikugonga basi dk chache tu wasifu wako unabadilika unakua marehemu

ni mtemi ukimtishia umekwisha unaambiwa ukikutana nae unatakiwa usimame tu ukikimbia umekwisha na ukimtishia sijui fimbo ndo kabsa coz yuko fasta atakujeruhi kabla hujamgusa utarudi kwenye aya ya pili hapo utakufa fasta tu
Ukikaa nchale ukisimama nchale
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
ni nyoka mwenye spidi kuliko wote means ukikutana nae ukijaribu kumkimbia ni kaz bure atakudaka tu

ana sumu kali akikugonga basi dk chache tu wasifu wako unabadilika unakua marehemu

ni mtemi ukimtishia umekwisha unaambiwa ukikutana nae unatakiwa usimame tu ukikimbia umekwisha na ukimtishia sijui fimbo ndo kabsa coz yuko fasta atakujeruhi kabla hujamgusa utarudi kwenye aya ya pili hapo utakufa fasta tu
Ukikaa nchale ukisimama nchale
 
Babu yetu alituambia tukiwa wadogo kama mmoja wetu akiumwa na nyoka koboko huko tunakowinda digidigi na sungura kwa kutumia mbwa basi tusimlete nyumbani bali tuje mbio tutoe taarifa ili akatibiwe eneo lile lile la tukio. Pia alituonyesha baadhi ya majani ya kumsaidia wakati tiba kamili inaletwa eneo la tukio.

Sikuelewa mantiki yake, ila nimejua juzi juzi tu. Wazee wa zamani walikuwa makini mno.
Alikuwa na maana gani!??
Kisayansi mtu akiumwa na nyoka aki move ibaongeza mjongeo wa sumu, kuna vitu vingi vya jadi vina mantiki ila tu vinakosa maelezo ya kisayansi.
 
Jinsi nilivyo mimi huwa ni muoga wa nyoka totally.Nikishakutana na nyoka kichwa huwa kinapoteza network yani huwa sisubutu hata kutafuta fimbo au silaha kumshambulia nyoka nikiwa peke yangu. Nakumbuka nilipokwenda kumtembelea Marehemu mjomba Tanga ilikua 2002 aliniambia usijaribu kumshambulia nyoka uliyekutana nae porini, Kwani yule anamambo yake akanisihi nyoka wengine ni wakali hawataki kuchezewa. Nahihisi alikua anamaanisha koboko, akaniambia nyoka aneatakiwa kuuliwa ni yule tu utakaemkuta ndani Kwako.
My experience on Puff adder (kifutu), huyu nyoka nimeshakutana nae mara kibao na wapo kwa wingi sana Bagamoyo yani huyu nyoka mnapomzungumzia hapa kwenye hii thread mpaka naogopa,kama kuning'ata huyu nyoka ingekua kitambo kashanimaliza . Nimeshaweka mara nyingi (lakini bila kujua) mguu wangu karibu na kichwa chake yani sentimita chache bila madhara yoyote yani anasubiri mpaka umkanyage. Hapo atakugonga kama haujamuona (huwa anagonga binadamu kwa kujihami/self defence) ila ukimuona ni vigumu kukushambulia Kwani mzito alafu hapendi ugomvi ukimtupia hata kijiti anaondoka. Ni kawaida sana kuwakuta watoto wanamchezea huyu nyoka kwenye vichaka wanamtupitupia fimbo, mawe mpaka wanamuua.
My little experience on black mamba (koboko) siku moja Nilikua chunya mbeya nasimamia mtaro wa fiber, nakumbuka tulikua wawili at that time simfahamu koboko. Wakati natembea na mtaro nakagua dimensions nikakuta kuna sehemu mtaro umepita kwenye kichaka kizito before kuelekea mbele zaidi Nilikuta nyoka mweusi mkubwa anaurefu kama mita 1 alafu mnene kiasi amekufa kwenye mtaro nywele zikasisimka nikaanza kuogopa. Niliposogea mbele mita kama kumi na tano nikakuta nyoka wawili wa aina mbili tofauti mmoja ana rangi ya kijivu alafu mwemba mrefuu na mwengine alikua na rangi nyingine nikashikwa na butwaa hawa nyoka vipi maana mmoja wa rangi ya kijivu (koboko) alitulia nikafiri amekufa mwingine anajigeuzageuza kama kamwagiwa mafuta ya taa, nikaangalia vizuri nikaona kumbe yule koboko amemg'ata kichwa mwenzake nilivyoona vile nikarudi taratibu nilipofika mbele nikakimbia. Mara naona jamaa ananifata anahema ananiambia lile eneo nisifike kuna nyoka mkali anaitwa koboko ameshawafukuza vibarua waliokua wanachimba mtaro. Lile eneo ckukanyaga tena mpaka naondoka chunya. Ila ninaamini kilichoniokoa ni woga wangu laiti kama ningethubutu kuwatibua wale nyoka pale nahisi ndio Ungekua mwisho wangu, lakini pia koboko mwenyewe hakuna mkubwa sana alikua na urefu kama wa mita moja ila ni mwembamba sana nahisi alikua na njaa.
 
Huyu Mngoni ni Chizi amepambana na Koboko mpaka mwisho.



Black Mamba fight to the death


Father fought a 3-metre black mamba and came out victorious

Wellington Makwakwa | November 25, 2017
blackmamba_15393_tn-520x400.jpg


‘I WAS prepared to die, but the snake was going to die with me.’

That was the thought going through Dumisani ‘Mfana’ Ncube’s head after being bitten twice by a huge Black Mamba in the eNsunduzane Reserve in Amatikulu on Monday afternoon.

The brave 48-year-old Zululand father not only fought tooth and nail to slay the predator, but miraculously survived the ordeal.

While walking home from work through the sugar cane fields, Ncube (48) was confronted by the mamba, staring death in the face.

‘I was walking near the Mthombeni Forest next to the river when the snake suddenly struck and bit me on my right ankle.

23805436_1972727549_22512_tn.jpg

Dumsani ‘Mfana’ Ncube (48) is recovering in the Stanger Hospital

ALSO READ: Mtunzini woman fights for her life after forest cobra bite

‘Realising it was a Black Mamba, I accepted I would die and leave my children behind.

‘It bit me a second time and when I tried to hit it with my knobkierie, I couldn’t find the head to finish it off and it was already making its escape into the forest.

‘I grew up surrounded by snakes in the valley as a young boy herding cattle. Knowing how deadly the Black Mamba is and how it could probably strike again, I wanted to kill it so it wouldn’t attack anyone else.

Suffering from excruciating pain, he bravely dragged the snake out of the bush by its tail ‘with a purpose of dying with it’.

The father of six children said adrenaline took over.

‘I used my knobkerrie and repeatedly hit it. The battle went on for a few minutes but finally I managed to kill it.’

He said the will to live then kicked in and he dragged his body to a relative’s house where he took some traditional medicine for snake bite.

‘My body was in severe pain and I believed it was my last moments.’

23772302_1972497686_28868_tn.jpg

Dumsani ‘Mfana’ Ncube (48) is recovering in the Stanger Hospital

He started vomiting uncontrollably and collapsed.

He was rushed to Sundumbili Clinic and from there transferred to Stanger Hospital in an unconscious state.

On Tuesday, after being in the Intensive Care Unit for hours, Ncube regained consciousness, but is still under close medical supervision.

On Wednesday morning he also regained his speech and was able to give the ZO full details of his deadly encounter.

HAVE YOUR SAY

Like our Facebook page and follow us on Twitter.

For news straight to your phone invite us:

WhatsApp – 072 069 4169

Instagram – zululand_observer


homewordpresspublic_htmlwp-contentftptenancyprocessed2901_zr191752_101006278847.jpg

Website
homewordpresspublic_htmlwp-contentftptenancyprocessed2901_zr191755_101006278892.jpg

Website





Father fought a 3-metre black mamba and came out victorious

" style="border: 0px;">
SHARE
 
Back
Top Bottom