witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Afadhali....namuogopa Koboko kuliko hata kifo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ahahaaa nilikua shamba wakati napitia uzi huu ila nimetoka salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali....namuogopa Koboko kuliko hata kifo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ahahaaa nilikua shamba wakati napitia uzi huu ila nimetoka salama
Yani mimi sio koboko tuu hata mnyoo kwa sbb unafanana na nyoka nauogopa aiseeAfadhali....namuogopa Koboko kuliko hata kifo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndio zao hizo, hapo alikuwa katulia anakusubirisha tu uweke mguu chini uone cha moto.Ni balaa hicho kifaa kinaweza kuua watu mia in 5min acha tu,huku kwetu ushirombo ndo vipo,kuna siku nimekutana nacho kinavuka barabara ya vumbi,nikasimama nikarudi nyuma na corola yangu nikakipitia shaaaaaah kumbe sikukigonga kikanasa chini ya gari,bahati nzuri nilikua naenda mwendo mrefu,kufika lami nikaona kitu kimeanguka kwa nyuma dah nikashukuru sana,nikawaza ni vp ninheenda nacho home?
Ushauri wangu ni kosa kubwa kumsogelea Koboko kwa ukaribu kama huu huyu anauwezo wa kukurukia
View attachment 771276
Jamaa fala sana wewAngalia Video hii kwa umakini uone Koboko mdogo alivyomkosa mpanda Baiskeli, huyu nyoka ni hatari sana.
Wenzake waliokuwa kwenye gari la wazi walimpigia kelele na ndipo alipokimbilia kwenye gari.Huyu jamaa alitoka salama kweli
Kweli...Yeah, wewe unamjua, watu wanachanganya na black mamba sijui kobra, tofauti kabisa, huyu jamaa kwanza hana rangi nyeusi, ni mweupe fulani hivi, ana singa kichwani na akitoa mlio unaweza fikiri ni jogoo, anasafiri kama helcopta, ana shabaha, ana lenga kichwani tu, akikugonga dakika tano nyingi tuna zika, tumewaua wengi kijijini, mkigundua sehemu kuna koboko, tulikuwa tunajitwisha uji wa moto kwenye sufuria, akikuona lazima akurukie kichwani, anajizamishwa kwenye uji wa moto anakufa.
Duuh,yani sijawahi ona nyoka anamkimbiza mtu akampata..basi huyu ni nomaKoboko ana hasira sana ukikutana nae ni kutambika kikwenu au sala ya mwisho.
Usithubutu kukimbia kwani ana mbio za ajabu na kama kuna matuta ukajifanya kuyaruka yeye anatambaa juu ya matuta umenielewa
Ukiwa na gari ukamuona barabarani ataifukukuza gari na kuingia kwa chini na kujificha mpaka kwako
Hasira za kurushwa akitoka hapo ana uwezo wa kuuwa watu 25 kwa mkupuo na sumu yake huvuki dakika 30 ulimi nje.
Nawapenda nyoka lakini huyu sio rafiki kabisa very aggressive
Sio kama jogoo,Koboko hutoa sauti nyingine tofauti na kuku,na huwika akiwa amekasirishwa.Mnaofahamu mambo ya wanyamapori naomba mnijuze hivi ni kweli koboko huwa anawika kama jogoo?
Binadamu wa kawaida anaweza kukimbia maili15 kwa saa na wengine mpaka wanaojitahidi kama mimi 20 maili kwa saaDuuh,yani sijawahi ona nyoka anamkimbiza mtu akampata..basi huyu ni noma