Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko aliwakurupusha Ngamia huko kaskazini mwa Kwenya na akakutwa anakunywa maji ambayo walikuwa wamewekewa Ngamia.
 
Ndio zao hizo, hapo alikuwa katulia anakusubirisha tu uweke mguu chini uone cha moto.
Bahati yako nzuri alianguka
 
Angalia Video hii kwa umakini uone Koboko mdogo alivyomkosa mpanda Baiskeli, huyu nyoka ni hatari sana.
 
Chochote kifananacho na Nguchiro lazima kigongwe, kwa bahati mbaya huyu Sungura
na ujanja wake wote alikutana na mbabe wake.
 
Kweli...

Kile kichwani ni kama kile cha jogoo..na anatoa sauti kama jogoo akiwika..hagongi sehemu ingine zaidi ya kichwani..na ana uwezo mkubwa wa kuruka sehemu kubwa sana
 
Duuh,yani sijawahi ona nyoka anamkimbiza mtu akampata..basi huyu ni noma
 
Mnaofahamu mambo ya wanyamapori naomba mnijuze hivi ni kweli koboko huwa anawika kama jogoo?
 
Kinachomtofautisha Koboko na nyoka wengine ni umakini wake katika mauaji.
 
Duuh,yani sijawahi ona nyoka anamkimbiza mtu akampata..basi huyu ni noma
Binadamu wa kawaida anaweza kukimbia maili15 kwa saa na wengine mpaka wanaojitahidi kama mimi 20 maili kwa saa
Na koboko anakimbia mile 12 kwa saa
Sasa wewe unakimbizwa na woga huo utajikwaa mara ngapi na kuamka, kuna wengine wakikimbizwa badala ya kukimbia na miguu anaongeza na mikono halafu ndio haendi popote (hapo anatambaa kwa mshtuko)
Koboko anakimbia aisee na usipande mti ana wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…