Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Mm nimewaua sana tabata chang'ombe miaka ya 1996mpaka 2000 kota za veta
watakuwa hawa wa kawaida hao uliokuwa unawauwa

hii kitu ni hatari kwelikweli ipo siku nilikuwa naenda kuloga sehemu nipo kwenye bodaboda hili likitu likawa linakatisha barabara tahadhari ya kwanza ni dereva bodaboda aliniambia nitulie tuli na yeye akatulia tulii kimya mpaka likakatisha kuja kumuuliza akaniambia blackmamba alikuwa anakatisha barabara angethubutu kumbugudhi maiti zetu zingeokotwa na walozi wenzangu maana hiyo ni njia ya kwenda ulozini kule uchira moshi
 
Koboko (black mamba) ni nyoka mpole sana ila ukikutana nae usimpige wala kumtisha, nakuhakikishia atasepa atakuacha hata kama alikua karibu na wewe vipi; ila ukitaka uone show yake mchokoze tu, Hapo ndipo utajua kwanini akaitwa koboko.



Kuna kipindi nakumbuka enzi hizo kijijini nikiwa na uncle wangu; tulikuaga tukienda kurina asali porini usiku kwenye mapango ya mibuyu ukiingia unawakuta kibao wapo juu ya kuta za pango kwa juu, na hawana shida utatoa asali mpaka utaondoka yupo tu anakuangalia tena utakuta yupo juu kidogo tu ya kichwa; ila tu hawapendi kelele za ovyo, pia wanawika sana usiku na hupenda sana asali.


Kwaiyo ni wakawaida sana hawana Shida tatizo la waadhirika wengi wa black mamba huwakorofi wao.
 
Yan huyu jamaa ***** kweli anapenda kutazama wenzie wakikata kamba
Jambo la ajabu linalomfanya Koboko awe tofauti na nyoka wengine ni anaweza kukugonga zaidi ya mara moja halafu asicheze mbali.
 
Koboko akiingia ndani ya nyumba ni vigumu kukugonga kama ukiwa umelala fofofo,tofauti na Cobra.
 
Koboko akiingia ndani ya nyumba ni vigumu kukugonga kama ukiwa umelala fofofo,tofauti na Cobra.
Kobla naskia akiingia ndani utamsikia tu maana huwa anagonga gonga chochote mbele yake..akiingia jikon utaskia masufuria yanavyogongwa akikuta umelala hajali anakugonga ivo ivo
 
Kobla naskia akiingia ndani utamsikia tu maana huwa anagonga gonga chochote mbele yake..akiingia jikon utaskia masufuria yanavyogongwa akikuta umelala hajali anakugonga ivo ivo
Utasikia anakugonga kwenye dushe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Koboko kwenye kugonga yuko fasta na sumu yake inasambaa mwilini fasta wakati anatambaa yuko fasta huyu nyoka angekuwa anapatikana Marekani angesifiwa usiku na mchana kwenye maruninga.
 
Hadithi njoo utamu kolea
 
Wafuga nyoka wengi huwa wanamheshimu Koboko,halafu nyoka wa pili ambaye huwang'ata sana ni Stiletto snake,huyu nyoka ukimshika nyuma ya kichwa anauwezo wa kukung'ata kwa sababu fangs zake zunauwezo wa kutoka nje.
 
Stiletto snake angalia jinsi fangs zilivyotoka nje,huyu nyoka sumu yake inafanana na Puff adder huyu akikung'ata unaoza.
 
Kifutu huwa hana shida na mtu hata ukipita jirani hana habari nawe labda umkanyage bila kujua...hapo umeshanunua kesi.Ana sumu mbaya sana na inaozesha jeraha lakini koboko (black mamba) hata bila sababu ikiwa tu mmekutana yeye lazma akuletee noma
 
Kifutu huwa hana shida na mtu hata ukipita jirani hana habari nawe labda umkanyage bila kujua...hapo umeshanunua kesi.Ana sumu mbaya sana na inaozesha jeraha lakini koboko (black mamba) hata bila sababu ikiwa tu mmekutana yeye lazma akuletee noma
Unaeza imba pambio la shuka bwana shuka ukikutana na koboko[emoji25]
View attachment 772747
Nguchiro aliyeshiba kakutana na saizi yake.
 
Joka hili lina roho mbaya acha, wakati mwingine najiuliza kwa nini liliumbwa,

Likiona mtu linawaza kuua tu hata kama halijachokozwa, pambaf kabisa
 
Joka hili lina roho mbaya acha, wakati mwingine najiuliza kwa nini liliumbwa,

Likiona mtu linawaza kuua tu hata kama halijachokozwa, pambaf kabisa
Lina roho mbaya hata israel analiogopa linaitwa "the kiss of death" akikomaa hua anajisikia fahari kuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…