Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Mama Mdogo siji KATAVI Ng'oooo Niliwahi kusikia kuna mchoma mkaa mmoja aling'atwa na huyu nyoka huko huko kwenu akafa mara moja
 
Last edited by a moderator:
mkuu usiombe kukutana nao, wapo wengi misitu ya sikonge kwenye vichuguu, ukikutana naye akiwa amesimama mbele yaki usijaribu ujanja wowote hutaweza kumwahi, labda umwombe Mungu akupe ujasiri wa kutulia tuli hadi ashushe kichwa chini ndio ujaribu ujanja mwingine otherwise WAFWA, akikuuma kichwani sijui utafunga wapi

Hapo kwenhye red ndio nimezidi kuogopa
 
Mambas (kama ilivyo kwa nyoka wengine) hawasikii....hawana masikio kabisa....wanategemea sana mitikisiko (vibration) kujua movements....

Black mamba sio nyoka mweusi...nadhani rangi yake ni kijivu....black inatokana na weusi mdomoni...
 
Wale tuliopitia mafunzo fulani ya porini porini, hawa nyoka ni kawaida kuwaona na kuwatofautisha ila haka ka mamba acha kabisa. Speed ya ku-bite ni kali mno.
Kuna mzee mmoja pale Msamvu anauza mawe ya kuvuta sumu ya nyoka, nadhani nitamshauri atembee na black au green mamba ili awe anatestisha then ndo aweke jiwe tuone ka linafanya kazi.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Maelezo haya yanakosa maana kama husemi jinsi ya kuwatoutisha!!!!
Walau first aid!!!!
 
Pia ana uwezo wa kusimama kwa kutumia mkia wake, anaweza kupanda mti Kwa kujinyoosha kwenda juu had kufikia tawi lililo karibu, yan inabaki sehem ndogo tu inayobeba mwili wake kabla hajafkia tawi analotaka kupanda.
 
koboko ndiyo huyo black mamba .
ana akiri sana
ana kula mti wa bhangi
ana ngata kichwa na shingo tuu
ana sumu kali
ana wika kama jogoo
aja wahi kutembeea kichwA chini yaani siku zote kichwa chake kipo juu kama kasimama vile
ana kwepa mawe
ana ruka kama panzi nk

Mkuu we ndo unamfahamu vyema huyu nyoka maana umepita mulemule.

Hapo kwenye kuwika huwa ni usiku wa manane zaidi(hii ni kwa uzoefu wangu)
 
Black na Green mamba ni kweli wote wana sumu kali sana lakini ni kati ya nyoka waoga na wapolea sana duniani,namaana gani?ni nadra sana kukutana na black mamba,yeye akikiuona anakukwepa,jificha au akimbie,otherwise umkanyage au umguse!...hawa kule moshi kipindi cha baridi wanakimbiliaga ndani ya nyumba,kama hamna tiles au carpet atajificha huko ndani na itakuwa nadra sana kumuona na anaweza toka akaishia zake hata baada ya miez bila nyie kujua,green mamba moshi ndio wako wengi,haswaa baada ya kilimo cha kahawa kuporomoka,yale madawa tuliyokuwa tunapiga shambani yalikuwa makali na nyoka walikuwa hawakai,lakini sasa hivi ikifika saa sita mchana upande mahali pa juu ili uione fensi yenu ya buganvilia kwa juu lazma umuone ''ISALE'' kama wachaga wanavyomuita,anafanana sana na majani na ukimuona dk,ya pili anakupotea,kuna jamaa alimkanyaga usiku black mamba akamuuma,hakufa,tulichukua wembe fasta tukamkata kidogo kidogo eneo alilongatwa alafu jamaa mmoja akavuta kwa mdomo kama mara ishirini ivi tukamuwaisha hospitali usiku ule kufika baada ya kama 2hours mguu umevimba kweli lakini alipona!...cha msingi ukiumwa na nyoka jitaidi kujua ni nyoka aina gani amekuuma sababu sumu zao zinatofautiana na tiba ni tofauti!

Nawafahamu isale, wale siyo mambaz!! Isale tulikuwa tunawachezea sana enzi zetu kwenye mikungu na michongoma ya fensi. Nae akikasirika anakimbiza sana ila si mambaz
 
Mkuu we ndo unamfahamu vyema huyu nyoka maana umepita mulemule.

Hapo kwenye kuwika huwa ni usiku wa manane zaidi(hii ni kwa uzoefu wangu)

aki komaa zaidi anakuwa na ukucha kwenye mkia.
pia akikomaa zaidi magamba yake huwa yanatoa sauti akikimbia kwa sauti inakuwa kama chupa inayovunjika na pia ana uwezo wa kukaa kwenye paa la nyumba nje juu ya mlango kwa muda mrefu mpaka m2 amuone basi huyo atagongwa au itakuwa ni balaa lakini si kila mara
 
Wakati flani huko Zimbabwe Black Mamba alikua amekaa barabarani , huku akiwa ameachama mdomo, mdomo ulioanzia upana kutoka upande mmoja wa barabara hadi upande wa pili , gari Land-rover 110 likiwa safarini lilipofika hapo alipo nyoka , dreva alidhani kafika kwenye Tunel (njia ya chini kwa chini)
Akailengesha gari domoni mwa nyoka !
Na ndy gari ikawa imemezwa na wasafiri wake wa 5 (watu) haijawahi patikana gari wala watu!
Mwaka wa 10 sasa!

Hii inafaa Facebook huku ni 18+
 
Mama Mdogo siji KATAVI Ng'oooo Niliwahi kusikia kuna mchoma mkaa mmoja aling'atwa na huyu nyoka huko huko kwenu akafa mara moja

Usiogope njoo tu, black mamba ni mpole sana na hapendi mapambano kama utamwacha aende zake kwa amani, ila ukiamua kumkabili, ni lazima ujizatiti kwani mmoja lazima afe (wewe au nyoka), na mara kwa mara wa kufa ni mtu. Formula ya huku kwetu ni kuwa, kama mko chini ya idadi ya watu sita wenye afya timamu, na walio na fimbo na mawe, musithubutu kumchokoza, atawaua tu, angalau mkiwa wengi mwaweza kumchanganya akili akakosa malengo!!

Black-Mamba-3.jpg
 
Green mambas wanapatikana sana huku kwetu!!!!wqnapenda sana kuishi karibu na maji hasa mito!!mara nyingi sana hupendelea kukaa kwenye miti ya kijani kwa ajili ya mawindo sanasana hupenda kukamata ndege!!!ni vigumu sana kumwona kulingana na rangi yake!!!Usipokuwa makini anaweza hata kukunga 'ata kichwa/shingo!!!!na hukawii kufa!!!!

daah kumbe ni hatar kias hicho kuna siku nikiwa dodoma napga story chin ya mti wa maembe na washkaj Huyo nyoka akawa amedondoka kwny kiatu chang kutoka mtin mm sina habar nmekuja kushtuka washkaj wameshakimbia ila na yy mwnyw alikimbilia kwny majan,ni wa kijani kama majan ya mti afu mref hv,ila washkaj walinambia huwa hang'ati
 
Wakati flani huko Zimbabwe Black Mamba alikua amekaa barabarani , huku akiwa ameachama mdomo, mdomo ulioanzia upana kutoka upande mmoja wa barabara hadi upande wa pili , gari Land-rover 110 likiwa safarini lilipofika hapo alipo nyoka , dreva alidhani kafika kwenye Tunel (njia ya chini kwa chini)
Akailengesha gari domoni mwa nyoka !
Na ndy gari ikawa imemezwa na wasafiri wake wa 5 (watu) haijawahi patikana gari wala watu!
Mwaka wa 10 sasa!

huyu sio nyoka ni SHING'WENG'WE
 
Huyu nyoka ni hatari, nimekutana naye Moro katika njia niliyoizoea wiki 2 zilizopita, nadhani aliposikia hatua zangu alitulia na kunipisha, lakini nilipomuona ilibidi nirudi na kutafuta njia nyingine. Ukubwa wake na ule weusi vilinitisha kupambana naye. Tangu siku hiyo sijapita njia hiyo.
 
mkuu usiombe kukutana nao, wapo wengi misitu ya sikonge kwenye vichuguu, ukikutana naye akiwa amesimama mbele yaki usijaribu ujanja wowote hutaweza kumwahi, labda umwombe Mungu akupe ujasiri wa kutulia tuli hadi ashushe kichwa chini ndio ujaribu ujanja mwingine otherwise WAFWA, akikuuma kichwani sijui utafunga wapi

inatisha kutulia tuliiii yataka ujasiri wa hali ya juu lazima upanick
 
Back
Top Bottom