Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
Ana uwezo wa kuuwa watu 12 kwa sekunde chache tu, sio nyoka hata wa kumuota huyo ni balaa na very aggressive akikuona lazima akukimbize na ana speed sana, nilimuona akifukuza panya kwenye matuta yeye alikuwa anapita juu ya matuta imagine that
hilo balaa tena