Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Puff-Adder_682_731083a.jpg
 
Kuna sehemu nipo huku mkoani tabora sehemu nilikuwa nimekaa nikasikia watu wakimsimulia nyoka aina ya koboko ambaye inasemekana anapatikana tabora ,shinyanga,singida na kigoma.

Kuna mtu mmoja katika mazungumzo yake alikuwa akisema ni bora ukutane na simba au chui unaweza ukapona kuliko koboko nilipojaribu kumuuliza alisema hayupo tayali kumuongelea kiundani wala kumtajaa kwa sababu ukiwa ndani ya mkoa wa tabora au shinyanga ni marufuku kumtaja huyu nyoka jinsi alivyoniambia.

Sasa kwa wale wanaomfahamu hebu tuelezeeeni kwanini koboko anaogopeka kuliko simba au chuiii
Huyu koboko amewahi kusababisha watu wasipite njia ya kwenda hospital masaa kadhaa kabla ya kuondoka kwa ridhaa yake. Ilikuwa mkoa wa Tabora!
Inasemekana kuwa na sifa ya kuwa na speed kuliko nyoka wote na pia sumu yake humchukua muathirika dakika chache mpaka kufa kama asipopata tiba haraka.

Sifa zingine ni kuwa hana tabia ya kumkimbia adui pia hufanya fast and technical attack
 
wadogowadogo au wakubwa? nimeshangaa kwamba unamshika afu anakuangalia tu?

Hahaha mkuu siyo mzembe kiasi hicho umshike kwa mkono tulikua tunatumia fimbo kumvuta nyuma cha ajabu kuna jamaa alimpiga panga likadunda tukaona isiwe kesi tuka tukichoka kuwachezea tuna piga kichwa tu
 
Hahaha nyoka anasikia ila siyo kama sisi tunavyosikia isipokua yeye anasikia vibrations so akiona hizi vibrations ni za ule wimbo wake anakuachia
Nimeweka video mbili hapo kama bando inasoma hebu angalia
 
Hizo ni figure of speech tu !una asilimia 99 ya kushinda vita dhidi ya nyoka wakati una less than 10% au no chance at all kushinda vita dhidi ya simba na chui
Kivip mkuu, ukutane na koboko, kukimbize afu upone?

Koboko hata kama una bunduki atakuua tu,
 
Hahaha mkuu siyo mzembe kiasi hicho umshike kwa mkono tulikua tunatumia fimbo kumvuta nyuma cha ajabu kuna jamaa alimpiga panga likadunda tukaona isiwe kesi tuka tukichoka kuwachezea tuna piga kichwa tu
basi ana haki ya kuitwa mzembe.. kwa haya ninayosikia kuhusu koboko ingekuwa game-changer.
 
Koboko alishawahi kukimbiza basi lililojaa abiria kutoka Urambo mpaka karibu na Mboka.
Daaa aisee sipati picha abiria waliokuwa ndani ya basi walikuwa wanamwangaliaa kwa sura ya aina ganiii wakati koboko analikimbimbiza basiii lao maana nasikia yule mshenzi mkiacha tuu kioo wazi anaingia ndani na kishaa anaanza kufanya vujo zakeee
 
Back
Top Bottom