Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Swila ni Cobra pia nyoka hatari huwa anagonga hata ukiwa umelala

Koboko ni mamba family ni nyoka mkorofi sana
Ukisema mamba family u mean reptiles?

Je ana uwezo wa kuishi majini?
 
Fangs za Koboko ziko mbele kwa ajili ya kudunga na kupampu Venom kwa Ufanisi
Fangs-of-a-black-mamba-exposed-prior-to-milking-for-venom.jpg

Fangs za Kifutu ni ndefu na wakati wa kugonga inabidi afungue mdomo woote ili adunge kwa ufanisi.
news617-i1-03.jpg
 
Kingine kuhusu KOBOKO,

Ni mojawapo ya nyoka wenye kumbukumbu sana na wepesi wa kulipa visasi.

Ukiona umemjeruhi alafu hukumuua.

Basi jiandae kwa revenge, wakati wowote akishatia timu.

Mf:
Kuna jamaa kule Tabora alimkuta KOBOKO jikoni kwake alkokua anawalaza kuku wake usiku.

Basi jamaa akakuta kuku 5 wamekufa.

Basi akafanya msako, akamlia ambush,akamjeruhi kwa kwanja mkiani (alimkata mkia)

Basi KOBOKO alipozidiwa akatokomea vichakani.

Jamaa akabaki na mkia wa KOBOKO.


Baada ya Muda yule koboko aliota mkia mwingine mpya
( kama kawaida yao Reptiles)

Yule koboko baada ya miezi 3, Yule koboko alirudi pale nyumbani kwa jamaa

Alienda zizini akawagonga ngombe wawili.

Kuna mbwa alkua analinda pale nyumban, nae asbuh walkuta anatoa damu machoni kalala chini hoi bin taabani.

Baada ya mda nae akafariki.

Usiku ule ule kumbe alikua keshamfata jamaa kitandan, na kumgonga mguuni.

Asbuh,
jamaa anaamshwa aone kilichowapata mbwa wake na ngombe.

Wanastuka MTU haamki, Kuangalia wanaona jeraha LA meno kwny mguu.

Na ngozi ya mwili wake ishabadilika kua blue black

PEMBENI
WANAONA GAMBA LOTE ALILOJICHUNA BLACK MAMBA MULE MULE CHUMBANI KWAKE.

Wananchi walighadhabika mno;

Msako wa wiki 2 ulifanyika kumsaka kila kona bila mafanikio.

Tulizuiwa mpaka kumwongelea, yaani ukimtaja tu unakula viboko/makofi

Msalani; ikifika usiku MTU anasindikizwa na watu 3-4 wenye silaha.

Dah,
nkikumbuka lile tukio mwili unanisisimka.

NAJIKUTA NAMWOGOPA SANA HUYU NYOKA.
Asee....mkuu umezidi kuniogopesha na huyu nyoka!

So ndo hakupatikana hadi leo?

Huwa wanaishi miaka mingapi?
 
Huyu nyoka hatari ila meno yake yako ndani yana angalia nyuma huyu akikung'ata inabidi atafune kidogo haachii mpaka venom iingie
3~4.jpg
 
Duh,
Hapo ndo kila MTU alibak mdomo wazi.

Afu cha kushangza pale kitandan

alilala jamaa, mkewe na mtoto wao mchanga wa mwaka 1.

Ila ajabu ni kua mama&mtoto wake waliamka salama salmini.
Uchawi sasa huu
 
Na ni mjanja sana akiona unainama anajua unachukua mchanga.. Anaondoka au anakujia kwa reverse... Sometime anajifanya ameondoka ila kwa mbali anakufutilia ukifika sehemu ina majani,udongo au hamna mchanga ndo anakuja mbele yko ssa ana kucheck kuwa ssa hauna mchanga unasemaje....hapo atakugonga kama mara 100 hivi maana anakuwa na hasira zaidi coz ulitaka mmwagia mchanga...
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Back
Top Bottom