Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Hizo ni figure of speech tu !una asilimia 99 ya kushinda vita dhidi ya nyoka wakati una less than 10% au no chance at all kushinda vita dhidi ya simba na chui
Wanachomaanisha wasemaji kama nimewaelewa Simba na Chui unaweza kukutana naye kama hana njaa au stress akakukaushia. Ila huyu mdudu ni kama asidi hana sababu. ukikutana naye piga sara ya mwisho haijalishi umemchokoza ana njaa hana njaa yeye anatamani awe pekeake pasiwe na kiumbe mwingine karibu yake. Ndio maana ya uhatari wake kuliko simba maana simba wengi hawawezi kupanda miti wala kuogelea ndani ya maji but huyu mdudu ni all weather panda mti ingia kwenye maji kimbia atakukamata tu. kama nimekosea mnirekebishe maana simfahamu wala sijawahi kumuona na Mungu aniepushe naye.
 
Ku 'hoover' sijaelewa ni kufanyaje, ila huyo koboko anaruka juu umbali mrefu, hata mita 40, sijajua kiingereza anaitwaje, sidhani kama ndio hiyo black mamba kwa sababu sio weusi, ningekugugea.(google). Huyo jamaa ana tunywele kichwani, sio twingi..

Myth: Some Snakes grow a beard as they get older. Fact: Snakes arereptiles and do not have any hair on their bodies let alone a beard. It is impossible for them to have beards for their bodies do not have any ability of growing hair.
 
Wanachomaanisha wasemaji kama nimewaelewa Simba na Chui unaweza kukutana naye kama hana njaa au stress akakukaushia. Ila huyu mdudu ni kama asidi hana sababu. ukikutana naye piga sara ya mwisho haijalishi umemchokoza ana njaa hana njaa yeye anatamani awe pekeake pasiwe na kiumbe mwingine karibu yake. Ndio maana ya uhatari wake kuliko simba maana simba wengi hawawezi kupanda miti wala kuogelea ndani ya maji but huyu mdudu ni all weather panda mti ingia kwenye maji kimbia atakukamata tu. kama nimekosea mnirekebishe maana simfahamu wala sijawahi kumuona na Mungu aniepushe naye.

Kweli ni nyoka hasiyependa kiumbe chochote kimsogelee
 
images-2.jpg

Huyu ni Viper ni vizuri tumtolee jina la Usambara Adder,ila ni jamii ya kama Gaboon adder.
 
Boomslang kwa kiswahili ni?
Nyoka flan wa kijan iliyokoza anafanana na yule green mamba ila yeye yuko cute fulani hivi ana metalicyellowish green au metalic green .
Ni mwembamba zaid kuliko mambas (green and black)haonekani agressive lakini anasumu mbaya inayokufanya u breed kila sehemu.Ni killer with pretty face!
 
Nyoka flan wa kijan iliyokoza anafanana na yule green mamba ila yeye yuko cute fulani hivi ana metalicyellowish green au metalic green .
Ni mwembamba zaid kuliko mambas (green and black)haonekani agressive lakini anasumu mbaya inayokufanya u breed kila sehemu.Ni killer with pretty face!
Koboko wa kijani huyu hupatikana sana mikoa ya tabora anapenda sana kula panya ndiyo maana wanapenda kuingia majumbani mwa watu kusaka panya na mende
 
Back
Top Bottom