View attachment 782786
Nanukuu ''Sijasoma ulichokiandika;narudia acha upuuzi jadir koboko'' Mwisho wakunukuu
Ungekuwa na akili timamu hukupaswa kuendelea kuongea maana unanihukumu kitu ambacho haujasoma na unaendela kubwabwaja ujinga, sasa kama ulijiunga 2011 kwanini unakuwa na akili yakitoto?
Kwa taarifa yako tu ni hivi ninaweza kukutia nguvuni na nikakufanya chochote ninachokutaka kwa mujibu wa sheria,
Umenikosea sana umenipa tuhuma ambazo hazipo nimekuambia ziweke hapa hadharani nijibie kama niko wrong umeshindwa na unaendela kuleta mambo ya kijinga
View attachment 782799
JF haitakuficha siku nikikutaka so chunga mdomo wako haujui sikujui ujinga peleka nyumbani kwako huko sio kwangu.
Nakupa onyo la mwisho acha kureply ujinga wako kwa comment zangu tusijeonana wabaya.