Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

Wasimuliaji wengi humu hawajawahi kumuona koboko isipokuwa wanaeleza kutokana na story wanazosimuliwa na waliosimuliwa. Ukweli ulio wazi chance ya kukutana na nyoka huyu huwa ni ndogo mno. Na kwa baadhi ya maeneo u kibahatika kumuona basi unashauriwa kwenda kwa wataalamu.
 
Wasimuliaji wengi humu hawajawahi kumuona koboko isipokuwa wanaeleza kutokana na story wanazosimuliwa na waliosimuliwa. Ukweli ulio wazi chance ya kukutana na nyoka huyu huwa ni ndogo mno. Na kwa baadhi ya maeneo u kibahatika kumuona basi unashauriwa kwenda kwa wataalamu.
Mimi nishamuona,
 
Watu wanakuza mambo kuliko uhalisia wenyewe.

Koboko ni hatari ila siyo mkorofi kama swila.
1 koboko hawezi kushambulia kabla hajashambuliwa labda awe ameehuka.
2 koboko haonekani hovyo hovyo mpaka awe amekaribia kuehuka ndiyo hujitokeza Mara kwa Mara
3 koboko huchunga mchana kwa muda wa masaa machache tu na hurudi kulala usiku hatoki kabisa.
3 akikomaa anaweza kugonga hata ngombe mia kwa mpigo ila wanaoweza kufa kwa sumu yake hawazidi ishirini tu wengine watasurvive.
4 koboko hawezi kufight kama target yuko front mpaka uwe nyuma au side way ni rahisi kuattack ukiwa mbele hawezi kuruka mpaka akupe ubavu au mkia
5 koboko akiuma mbwa hupatwa na kichaa huanza kuingia hadi majumbani mwa watu na huwa hatari zaidi huanza kuwinda hata watu kwa kukaa karibu na barabara
6 mlio wake unasikika umbali hata wa kilomita mbili hasa wakati wa usiku maana mchana hawalii
7 watu wa tabora tunamtumia koboko kutabiri mvua wakilia wakati mvua ni dalili za mvua kunyesha kama ni ukame na kama mvua inayesha wakilia ni dalili ya mvua kukata kwa muda .
Tabora wapo wengi sana japo wameanza kupungua
Upo sahihi kabisa hasa point no. 2
 
Wasimuliaji wengi humu hawajawahi kumuona koboko isipokuwa wanaeleza kutokana na story wanazosimuliwa na waliosimuliwa. Ukweli ulio wazi chance ya kukutana na nyoka huyu huwa ni ndogo mno. Na kwa baadhi ya maeneo u kibahatika kumuona basi unashauriwa kwenda kwa wataalamu.
Ukimuona unaenda kwa wataalam kufanyaje?
 
Nat geo wild huwa wanaonesha wale wazungu mke na mume huko SA, jamaa professionals wanapigiwa simu kwenda kutoa nyoka kwenye nyumba za watu, na wanaelezea kuhusu hao nyoka,,,afu wanawaeka kwenye kifurushi wala hawaui wanaondoka nao.Jamaa hawaogopi black mamba wala python wanaingia ndani na sometimes chumba alichokuwepo huyo nyoka ni giza,wazungu[emoji1373]
Mmoja wao alishakufa na sumu😂😂
 
Huyo nyoka ni mpole sana, mimi nimewahi kukutana naye,nafikiri labda umchokoze, ila kama hujamchokoza, Hana shida na wewe
 
I
Kweli Mwenyez Mungu kila upande kaweka maaajabu yake, tembo wanaomboleza km binadamu, tembo analia kwa uchungu

huyo mdudu acha kabisa alitukimbiza kwenye landcruiser vumbi lilisimama kila mtu alijikojolea alipiga kioo cha gar mpaka kika weka mistar ya kijan,,ngoma ipo spid 80 lakin huyo mdudu alikuwa yupo sambamba na kioo cha dereva,wanaosema anakimbia spid 20 nawakatalia kabisa huyo mdudu ana kasi sana hata kama yupo mita mia huwezi kuwahi hata kuokota jiwe ameshakufikia,,huwa anambinu yake ya kumuu na mnatakiwa muwe weng kuanzia watano,, acha kabisa huyo mwamba ni nuksi ila huku tabora wapo weng ila ni ngumu sana kukutana na koboko asilimia 99 yeye ndo lazima aanze kukuona na kama ukikuta alishawah kujeruiwa na binadamu ndio anakuanzishia ambush ila kama hajapata dhoruba yoyote akikuona tu anawah kujificha kabla ya wew kumuona,,ukiona kajitokeza na ukamuona ujue ni balaa hilo kuwa mpole tu
Safi sana wengi humu wanasimulia kuonyesha kwamba koboko anaonekana mara kwa kitu ambacho ni uongo. Wasimuliwaji nao wanasimulia na nina imani humu kati ya wachangiaji tuliobahatika kumuona koboko hatuwezi fika 50.Nimeishi miaka mingi maeneo yenye sifa ya kuwa na koboko ila mimi na mdogo wangu tulibahatika kumuona akimfukuza mama mmoja shambani tulipokuwa tunapanda mahindi. Yule mama alikuwa shamba jirani na sisi ghafla tukasikia sauti akiomba msaada na wakati huo yule koboko rangi ya kijivu alikuwa umbali kama mita 50 akimfuata yule mama, ponapona ya yule mama tulivyosimuliwa ni baada ya kuingia kwenye nyumba ya kigagula mmoja aliyekuwa anaishi hayo maeneo ambapo inasidika kaweka zindiko nyumba yake. Yule nyoka tulibahatika kumuona mara moja tu katika miaka 10 tuliyoishi Tabora. Ila kilichonishashangaza ni namna anavyoteleza kwenye matuta.
 
mmenikumbusha juzi hapa nipo home usiku unajua ss tunaokaa pembeni ya mji tunabahati ya kuonana na viumbe hivi kila mara..

sasa nimekaa zangu usiku mtoto atanikimbilia anasema nyoka mkubwa jikoni eeh nilipata ngazi, nikawah faster ile nachungulia hivi kitu cheusi kipo katikati ya jiko mara huyo kaingia kwenye matndoo usawa wa masinki nikasema hapa kazi ipo nyoka mkubwa urefu wa mkono ...

nikawaambia watoto wote watoke wakae mbali na wasipige kelele nikawa mlangoni natafakari cha kufanya nikasema hapa nisitumie marungu nitajiharaisha maisha hapo nilisha somaga mada kibao za manyoka hapa jf akilli yote naomba asiwe black mamba maana hadi wakati huo huyo nyoka hakumuona mtu kwa hiyo alikuwa hana wasiwasi ni kama alikuwa anafuata joto au aliona panya nadhani ..

haraka nikawaambia nileteeni mafuta ya taa yajae kwenye kopo la maji ya kunywa la nusu lita nikawa mlangoni namchora na kuakikisha na jua movements zake zote mule jikon nikatoboa kopo la mafuta kwa msumarijuu kwenye kizibo nikahakikisha mafuta yana presha kubwa ya km mita 6 au 7 mamb yte hayo nilifanya kwa spindi na kwa haraka bila yule nyoka kugundua km ameonekana

nyoka alijiroga akaingi chini ya sinki nakulikuwa na ndoo pale nikanyata hadi katikati ya jiko kwanza nikamwaga mafuta chini kwenye tailizi ya kutosha yakasambaa pote kazi ikabaki moja tu kumchokonyoa huko alipo ili atoke sasa balaa .. maana hujui atarukaje huko nilipuriza mafuta ya kutosha kwa spidi bila kuacha kule kwenye sinki km sekunde sita naona kitu hiki hapa nika sema nikilegea nitasababisha madhara kwa wengine ivyo nikakazadha kurusha mafuta akakurupuka huka ili atoke sasa weee... ile anatoka atambae akatambali mafuta akaona imeshakuwa soo akataka kunyanyuka kam atembee hewani sijui ndo haruke akashindwwa akajikuta katua tena kwenye mafuta nikamshindilia mengine juu ya mgongo alijibilingisha nikampa tena ya tumbooo nikaona taratibu anakuwa mpole anajikuja akasalimu amri kirahisi sana nikachukua ponti za nokauti bila kutumia nguvu mbwa wangu akaja kumalizia kazi iliyobakia..

ila swali nililobaki nalo yule nyoka aliweza kuingia mule ndani na wakati huohuo kuna tailizi yaani mwanzo nilipo muona alinifanya nishake kwanza thank kwa wadau humu kwa kutujulisha silaha za uhakika za kupambana na hawa viumbe mafuta ya nimeyakubali sana yani nilimmaliza kirahisi sana yule shwaine..
Sijaelewa ulichokiandika mkuu
 
Kuna siku nilienda kuangalia shamba Fukayosi( Bagamoyo) mida ya saa saba mchana jua kali sana.
Nilimuona black mamba mbele yangu kama hatua 30 hivi, alikua mkubwa kama futi 12. Alikua amepumzika kwenye kivuli.
Nilipomuona nilisimama sikuendelea kutembea, aliponiona akaingia kwenye shimo la kichuguu.
Humu watu wanasema black mamba anafunga kijiji sijui timbwili lake ni noma ni stori za kutunga tu.
 
Kuna siku nilienda kuangalia shamba Fukayosi( Bagamoyo) mida ya saa saba mchana jua kali sana.
Nilimuona black mamba mbele yangu kama hatua 30 hivi, alikua mkubwa kama futi 12. Alikua amepumzika kwenye kivuli.
Nilipomuona nilisimama sikuendelea kutembea, aliponiona akaingia kwenye shimo la kichuguu.
Humu watu wanasema black mamba anafunga kijiji sijui timbwili lake ni noma ni stori za kutunga tu.
We haupo sawa kichwani wenye experince ya kumuona zaidi ya mara moja wamekuja na hayo majibu, ila wewe mtafiti uchwara ndo kwanza umemuona mara yako ya kwanza unakuja na majibu yako uchwara.

na una uhakika gani kama alikua black mamba, embu ficha upumbavu wako.
 
Kuna siku nilienda kuangalia shamba Fukayosi( Bagamoyo) mida ya saa saba mchana jua kali sana.
Nilimuona black mamba mbele yangu kama hatua 30 hivi, alikua mkubwa kama futi 12. Alikua amepumzika kwenye kivuli.
Nilipomuona nilisimama sikuendelea kutembea, aliponiona akaingia kwenye shimo la kichuguu.
Humu watu wanasema black mamba anafunga kijiji sijui timbwili lake ni noma ni stori za kutunga tu.
Hadi umchokoze.... Hata mi hapo juu nimesimulia kumuona, wapo k
Lakini hadi ulianzishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom