OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
My Take
Naomba nisihusishwe vyovyote na kipigo cha Utopolo. Nawatakia kipigo chema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakifungwa Al Ahl mimi Nitakuwa nacheza namba ngapiIt will end in tears. Mwasibu hujawahi kuwa na bahati.
Namba ya uhasibuWakifungwa Al Ahl mimi Nitakuwa nacheza namba ngapi
View attachment 2907974
"We have two finals left against Medeama and Yanga SC. We will play those games like never before.” — Marcel Koller Al Ahl coach
My Take
Naomba nisihusishwe vyovyote na kipigo cha Utopolo. Nawatakia kipigo chema.
Sasa huyo tutapiga kama ngoma,na pia myonge wetu mediama anawapelekea msiba,wewe ujiandae tu na maziko🫠View attachment 2907974
"We have two finals left against Medeama and Yanga SC. We will play those games like never before.” — Marcel Koller Al Ahl coach
My Take
Naomba nisihusishwe vyovyote na kipigo cha Utopolo. Nawatakia kipigo chema.
Kama wewe ndio umechangia basi Aly ahly Awana Chao mbele ya yanga, wewe ni bingwa wa kuferi na utaferi pia kwa mara nyingine!"We have two finals left against Medeama and Yanga SC. We will play those games like never before.” — Marcel Koller Al Ahl coach
My Take
Naomba nisihusishwe vyovyote na kipigo cha Utopolo. Nawatakia kipigo chema.
Uzi wowote unaoanzishaga hapa jukwaani unaohusu Yanga mara nyingi unakutoaga machozi wewe mwenyewe na unaukimbiaga"We have two finals left against Medeama and Yanga SC. We will play those games like never before.” — Marcel Koller Al Ahl coach
My Take
Naomba nisihusishwe vyovyote na kipigo cha Utopolo. Nawatakia kipigo chema.
Kunitoa machozi? Yaani wewe huyu bwege anachukulia stori za SY humu serious sana. Unatumia akili gani kuona connection kati yangu na Al Ahl?Uzi wowote unaoanzishaga hapa jukwaani unaohusu Yanga mara nyingi unakutoaga machozi wewe mwenyewe na unaukimbiaga
Mbona Yanga atashinda fresh tu bila condition yoyoteAl Ahly akishinda game yake na Medeama atarelax, itakuwa mbaya kwa Yanga endapo Ahly hatapata matokeo mazuri kwenye hiyo game...
Mbona Yanga atashinda fresh tu bila condition yoyote
Naona hesabu za Yanga zinafikiriwa zaidi kuliko hesabu za timu yenu. Uzuri ni kwamba Simba ndiye anayetangulia kucheza tarehe 23. Huku Wydad wakiaangalia nini kitakachijili. Kama Simba watafungwa na Asec huku Wydad akishinda dhidi ya Galaxy basi huenda safari ya Simba ikaishia hapo. Simba anahitaji sare ili wafuzu kwa kutegemeana mechi ya Dar watashinda.Natamani Yanga amfunge CRB, Med afungwe na Al hly kisha Med afungwe CRB na Yanga afungwe na Al hly. Kuna wanaYanga lialia napenda kuwaona wakianza hesabu za calculator wakiwa busy kama wanajaza fomu za mkopo.
Iwapo Simba itafungwa ni kweli tutahuzunika ila hilo halifuti burudani za kuwaona wanayanga wakipiga yale mahesabu ya vidole ya tumfunge huyu 4, halafu yule afungwe, kisha huyu adroo labda tutapita halafu wasipite.Naona hesabu za Yanga zinafikiriwa zaidi kuliko hesabu za timu yenu. Uzuri ni kwamba Simba ndiye anayetangulia kucheza tarehe 23. Huku Wydad wakiaangalia nini kitakachijili. Kama Simba watafungwa na Asec huku Wydad akishinda dhidi ya Galaxy basi huenda safari ya Simba ikaishia hapo. Simba anahitaji sare ili wafuzu kwa kutegemeana mechi ya Dar watashinda.
Kama hivi yaani. HahahaKama Al Ahly atashinda basi Yanga wanaweza wakaamua kupambana wamalize biashara hapo hapo Dar kwa kuhahakikisha wanapata goli 4 kwa bila. Kama atashindwa hilo basi apate ushindi na kusubiri hadi raundi ya sita itoe majibu kwa kutafuta matokeo Misri.
Mwasibu fake CPA ya mchongo."We have two finals left against Medeama and Yanga SC. We will play those games like never before.” — Marcel Koller Al Ahl coach
My Take
Naomba nisihusishwe vyovyote na kipigo cha Utopolo. Nawatakia kipigo chema.