Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aamin. Kila la kheri yangaaa💚💚💚💚
Simba hali vibudu.Al Ahly akishinda game yake na Medeama atarelax, itakuwa mbaya kwa Yanga endapo Ahly hatapata matokeo mazuri kwenye hiyo game...
Unajitekenya na kucheka.Kama wewe ndio umechangia basi Aly ahly Awana Chao mbele ya yanga, wewe ni bingwa wa kuferi na utaferi pia kwa mara nyingine!
Mwasibu habariWakifungwa Al Ahl mimi Nitakuwa nacheza namba ngapi
Kwa hiyo nyie wote ni Utoz?Aamin. Kila la kheri yangaaa💚💚💚💚
[emoji736][emoji736][emoji736][emoji736]Kwakuwa mwasibu feki kashatoa pumba basi Yanga tumefuzu
Mwasibu feki ni mtu wa gundu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] kama kawaida muhasibu aendelee hivi hivi maana nyuzi zake hua zinakuja na bahati kwa yangaIt will end in tears. Mwasibu hujawahi kuwa na bahati.
😂😂😂 Mwasibu kapotea ghafla alafu na Simu kazimaIt will end in tears. Mwasibu hujawahi kuwa na bahati.
Mwasibu mwenye gundu zaidi duniani njoo uendelee na uzi wako. Tunakusubiri hapa ndugu yetu OKW BOBAN SUNZUKwa hiyo nyie wote ni Utoz?
Upo nyonyo!"We have two finals left against Medeama and Yanga SC. We will play those games like never before.” — Marcel Koller Al Ahl coach
My Take
Naomba nisihusishwe vyovyote na kipigo cha Utopolo. Nawatakia kipigo chema.
Dah! Yametimia!It will end in tears. Mwasibu hujawahi kuwa na bahati.
Mwasibu ni mtu muhimu sana kwa maendeleo ya timu yetu ya Yanga. Yaani huyu jamaa gundu lake linatusaidia mpaka basi. 😁Kwakuwa mwasibu feki kashatoa pumba basi Yanga tumefuzu
Mwasibu feki ni mtu wa gundu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwasibu ni mtu muhimu sana kwa maendeleo ya timu yetu ya Yanga. Yaani huyu jamaa gundu lake linatusaidia mpaka basi. 😁Kwakuwa mwasibu feki kashatoa pumba basi Yanga tumefuzu
Mwasibu feki ni mtu wa gundu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mhasibu hapa ni taka taka tuHuyu Muhasibu jau sana
Na ana GUNDU KWELIMwasibu ni mtu muhimu sana kwa maendeleo ya timu yetu ya Yanga. Yaani huyu jamaa gundu lake linatusaidia mpaka basi. 😁