Kocha Amunike awaondoa wachezaji wa Simba Taifa Stars kwa kuchelewa kuripoti kambini

mechi ya tarehe 8 Kampala na wakija kwetu mechi Mwanza...alafu golini Manula au atafungisha
 
Uzi huo huo Kocha Amunike. Nidhamu mbele mengine yafuate. Kwa nini Manula awahi wengine wachelewe?
Kocha hataki business as usual. Umahiri bila nidhamu, hakuna timu.
 
Tarehe Nane mwezi september nitakuwa jukwaa la Uganda kutokuunga juhudi hizi za walimwengu.. Uganda itashinda vizuri tu
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana...umeshawahi kusikia Ronaldo kaitwa timu ya taifa halaf kachelewa kufika bila taarifa?!..mbona manula kafika kwa wakat hao wenzake kwann wachelewe tena bila taarifa?
 
Hizo futina uzisemazo ndiyo kikwazo kwa soka LA nchi hii. Nidhamu lazima, haiwezekani Aishi Manula ameripoti, wengine watege. Safi sana kocha, mambo ya kubembelezana wabaki nayo huko huko Simba fc. Nchi hii INA vipaji vingi sana wacha na hao wengine wapate nafasi
Huyu atachemka tu. Mbona akina Samatta bado hawajaripoti, hazijui fitina la soka la bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No.2 ni upuuzi mtupu. Haki ya Mungu tusipoacha siasa za U-simba na U-yanga, Mpira was nchi hii utabakia kwenye magazeti.
 
Unasema mambo hayo yabaki huko Simba SC, mbona Fei Toto wa Yanga ameondolewa unajua sababu ya kuchelewa kwake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hats Hugo kama kazingua atupwe nje tu, kuna vipaji vingi hapa nchini vinasubiri hiyo nafasi. Mambo ya Simba na Yanga yameisha tuchosha.
Unasema mambo hayo yabaki huko Simba SC, mbona Fei Toto wa Yanga ameondolewa unajua sababu ya kuchelewa kwake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hats Hugo kama kazingua atupwe nje tu, kuna vipaji vingi hapa nchini vinasubiri hiyo nafasi. Mambo ya Simba na Yanga yameisha tuchosha.
Sasa mbona uliisema Simba SC, ulikuwa hujui ulichokiandika? Au kwa vile ni Big Brand.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Pep
 
Uzi huo huo Kocha Amunike. Nidhamu mbele mengine yafuate. Kwa nini Manula awahi wengine wachelewe?
Kocha hataki business as usual. Umahiri bila nidhamu, hakuna timu.

Kama Nidhamu Yeye Mwenyewe Kaikosa! Kama wewe umesahau basi sisi Hatujasahau Kitendo Alichokifanya Yeye na Kina Okocha World Cup 1998 kwa Kudai Pesa za Posho Hadharani Katikati Ya Michuano Na Kutishia Kugomea Mchezo Wao dhidi Ya Denmark hatimae Wakaucheza Chini ya Kiwango Wakiwa na Mgomo Baridi.

Sasa Leo Yeye anaona Ajabu Watu Kuchelewa Kambini Wakati Yeye Mwenyewe Ana CV mbovu kabisa Kwa Upande Wa Nidhamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…