Mashabiki wa simba mna nongwa sana. Kulalamika, kulialia, na kutukana ndiyo jadi yenu.Hii timu inaenda kushangiliwa na Yanga tu, mashabiki wa Simba watakaa pembeni.
Ina make sense sasa kwa nini mchezaji kama Kapombe ameachwa, kwa nini Feisal ameitwa, kwa nini makipa wawili wa Simba wameitwa (mtego wa lawama unawasubiria).
Siasa inaendesha mpira, bado hatuna nia ya kweli kukuza mpira wetu.
Kwani ni lazima mchezaji akiwa simba au yanga kuitwa timu ya taifa? watu wamecheza timu ya taifa miaka nenda rudi na hakuna cha maana walicho liletea taifa lao, mabadiliko ndio maendeleo mkuu acha damu changa zicheze pengine zitatufikisha mahali pazuri.Mbona Manula ameitwa? Unaacha makipa ambao wana game time kwenye timu zao unaenda kumuita Metacha ambaye hata mechi na Mbao huwa hapangwi?
Umeongea kwa uchungu sana. Poleni Bob junior fcHii timu inaenda kushangiliwa na Yanga tu, mashabiki wa Simba watakaa pembeni.
Ina make sense sasa kwa nini mchezaji kama Kapombe ameachwa, kwa nini Feisal ameitwa, kwa nini makipa wawili wa Simba wameitwa (mtego wa lawama unawasubiria).
Siasa inaendesha mpira, bado hatuna nia ya kweli kukuza mpira wetu.
Kwani waliochaguliwa wote ni wapya? Swali lako la kwanza na mimi nimeuliza. Kigezo cha kumuita kipa wa akiba wa Yanga ni kipi?Kwani ni lazima mchezaji akiwa simba au yanga kuitwa timu ya taifa? watu wamecheza timu ya taifa miaka nenda rudi na hakuna cha maana walicho liletea taifa lao, mabadiliko ndio maendeleo mkuu acha damu changa zicheze pengine zitatufikisha mahali pazuri.
Siyo uchungu, sipendi tu upuuzi. Tumekuwa tunazunguka tu palepale kwa ujinga huu kila siku.Umeongea kwa uchungu sana. Poleni Bob junior fc
Ni kile kile kilichotumika kumuita kipa wa akiba wa SimbaKwani waliochaguliwa wote ni wapya? Swali lako la kwanza na mimi nimeuliza. Kigezo cha kumuita kipa wa akiba wa Yanga ni kipi?
Sasa mtu unaitwa Kinje kitile akili uzitoe wapi?Utopolo Hawana Makocha...!
Nabi imebakia kusifiwa Na Wachambuzi Wa Mchongo...!
Historia Yake inaeleweka alikotimuliwa El merrekh baada Ya Kupokea kipigo kutoka kwa Mnyama CL Ya CAF..!
Kaze hamna Kitu pale.!
Kakolanya kadaka mechi kubwa tu na muhimu za Simba na kaonyesha uwezo ingawa kwa timu ya taifa naye nadhani wangemuacha kwa hiyo hoja yangu iko pale pale.Ni kile kile kilichotumika kumuita kipa wa akiba wa Simba
Mwalimu Kaze anaongoza duniani kwa kufundisha kukaba , kulinda na kuzuia kufungwa. Ukiifunga Yanga goli moja tu Kaze halali wiki nzima anastudy umeifungaje Yanga mwanya uko wapi, iliwezekanaje basi goli moja tu litamuuma mno! Ukiifunga Yanga goli mbili anaweza kupata homa!
Kifupi Cedric Kaze hataki kufungwa na anajua kulinda asifungwe. Bado Kuna shida Yanga juu ya kucheza krosi , mabeki kuruka na washambuliaji hapa ndo bado Kaze hajafanikiwa.
Wachezaji wa Yanga wameshamuelewa na Sasa kuifunga Yanga kwa mpira wa move ni ngumu sana ni kubahatisha tu.
Kaze ni mtu sahihi. Atasaidia sana Taifa Stars kujifunza kuzuia ila tu iwapo hao wageni Toka Simba sijui Geita kama watafundishika. Yanga oyeeee!
Eeh kuna makocha ambao hawajawahi kutimuliwaa pep guardiola ,klopp,zidane,Deschamps, Luis enrique,Kuna kocha ambaye hajawahi kutimuliwa?
Mara moja kigomaaaaaaaaaaNabi alivyokuja Yanga, mkaweza kumfunga mara ngapi tokea aje?
Mmempasua maa moja Kigoma, je yeye kawapasua mara ngapi?Mara moja kigomaaaaaaaaaa
muulize nabiMmempasua maa moja Kigoma, je yeye kawapasua mara ngapi?