Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Kocha wa timu ya Geita Gold, Fred Felix Minziro amewakanusha watu wote wanaosambaza video inayojaribu kuwashawishi washabiki waamini kwamba Rais wa TFF ana chuki naye na kwamba aliukwepa kwa makusudi mkono wake.
Minziro amesema Karia ni rafiki yake mkubwa na wamekuwa wakizungumza mara kwa mara mambo ya soka, hivyo haoni kama kuna tatizo lolote.
Pia soma > Rais wa TFF Karia ana tatizo gani Kocha Fred Felix Minziro? Tazama video hii
Minziro amesema Karia ni rafiki yake mkubwa na wamekuwa wakizungumza mara kwa mara mambo ya soka, hivyo haoni kama kuna tatizo lolote.
Pia soma > Rais wa TFF Karia ana tatizo gani Kocha Fred Felix Minziro? Tazama video hii