Kocha Fred Minziro akanusha kuwa na tofauti na Karia, awashangaa wazushi

Kocha Fred Minziro akanusha kuwa na tofauti na Karia, awashangaa wazushi

Dooh mkuu umeacha kufwatilia soka mwaka gani, inaonekana kitambo sana.

Minziro mbona ni kocha regular sana bongo kashafundisha timu nyingi sana za ligi kuu kwa nyakati tofauti tofauti hata yanga kafundisha sana.
Nakumbuka ameshapandisha daraja timu mbili tofauti kabla ya hii. Akisha pandisha anatemwa timu inatafuta kocha mwengine, sijui mara hii tena
 
Nakumbuka ameshapandisha daraja timu mbili tofauti kabla ya hii. Akisha pandisha anatemwa timu inatafuta kocha mwengine, sijui mara hii t
Minziro ndo kazi yake kubwa iyo kupandisha team alaf anatemwa,,
Mpaka wadau wakamshauri kama watu wakikufwata tena ukawasaidie kupandisha team,,
Contract utakayosain iseme kbsa ukipandisha team unabaki nayo wewe mwenyewe no changes.
 
Minziro kaongea kwa busara kumstahi Karia ila alichofanya Karia ni ujinga wa kiwango cha lami
Mbona mnafosi kuwepo na chuki ilhali mwenyewe anakataa mnafaidika nini?

Acheni ujinga..Leteni mambo yenye kuleta tija kwenye soka.
 
Back
Top Bottom