Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pep alikuwa Bayern!, walikuwa wanacheza mpira wa aina gani?. Pale City wanahela wanafanya sajili zilizo bora tayari sokoni.Kwahiyo na Man City ni pesa za kina Sheikh Mansour makocha hawana la maana sana. Tukimpeleka Guardiola Ipswich Town ndio tutaelewa?
Nimesema baada ya muda, naamini kitendo cha kuwa chini yaa makocha mbalimbali wa kimataifa,naamini kuna kitu atakuwa na anaendelea kujifunza..kwa sasa aachwe aendelee kuchota MAUJUZIMatola huyu huyu awe hazina kwa taifa ! Labda kwa ushiriki - na.
Makocha Wazawa ni chanzo Cha migogoro na ushirikina na Timu huanza kufanya vibayaNikiwa kama mdau na mshabiki wa soka la Tanzania, nami nimewiwa kuchangia hili kwa maendeleo endelevu ya soka la klabu ya Yanga na Taifa kwa ujumla
Nashauri klabu ya Yanga ilete kocha kijana mzawa awe kwenye jopo/benchi la ufundi la kocha wa timu ya Yanga( Dar Young African FC). Hii ni kutokana na MAFANIKIO lukuki aliyoyaleta kocha huyu toka nchini Argentina.
Naamini ujuzi, mbinu ,uzoefu na mikakati ya kocha huyu GWIJI ,si vyema kuacha ipotee pindi atakapo amua kuondoka. Hivyo nashauri klabu ya Yanga kuleta kocha/makocha vijana kwa ajili ya kujifunza UCHAWI wa kocha huyu mkongwe ili hata siku akiondoka tubaki na ujuzi wake. Mbinu hii nimeona klabu ya Simba wakiitumia kwa kuhakikisha kocha wao msaidizi ,ndugu Matola Selemaini kubaki kwenye benchi la ufundi la klabu hiiyo licha ya mabadiliko ya mara kwa mara ya makocha,naamini after time t ,Kocha Matola atakuja kuwa sio HAZINA tu kwa Simba bali hata kwa Taifa..Yanga igeni hili haraka
Mwisho, nawashauri TFF na hata Wizara ya Michezo kuona namna bora zaidi ya kuchota UJUZI wa gwiji hili la soka toka nchini Argentina..tuitumie fursa hii ya yeye kuwepo nchini
Naomba kuwasilisha
Asanteni
Acha imani potofu kiongoziMakocha Wazawa ni chanzo Cha migogoro na ushirikina na Timu huanza kufanya vibaya
Ila shida yetu tumejawa uchoyo,fitna na tamaa,tukipata nafasi tunawaza kunufaika binafsi na nafasi tuliyopata,angalia jirani zetu kila kitu wanacho na huenda ugonjwa wao ni hao wansoitwa wazawa.Japo nguvu mingimingi inatumika,kile angalao wanachokipata ni kwaaa taaaabu sana.Nikiwa kama mdau na mshabiki wa soka la Tanzania, nami nimewiwa kuchangia hili kwa maendeleo endelevu ya soka la klabu ya Yanga na Taifa kwa ujumla
Nashauri klabu ya Yanga ilete kocha kijana mzawa awe kwenye jopo/benchi la ufundi la kocha wa timu ya Yanga( Dar Young African FC). Hii ni kutokana na MAFANIKIO lukuki aliyoyaleta kocha huyu toka nchini Argentina.
Naamini ujuzi, mbinu ,uzoefu na mikakati ya kocha huyu GWIJI ,si vyema kuacha ipotee pindi atakapo amua kuondoka. Hivyo nashauri klabu ya Yanga kuleta kocha/makocha vijana kwa ajili ya kujifunza UCHAWI wa kocha huyu mkongwe ili hata siku akiondoka tubaki na ujuzi wake. Mbinu hii nimeona klabu ya Simba wakiitumia kwa kuhakikisha kocha wao msaidizi ,ndugu Matola Selemaini kubaki kwenye benchi la ufundi la klabu hiiyo licha ya mabadiliko ya mara kwa mara ya makocha,naamini after time t ,Kocha Matola atakuja kuwa sio HAZINA tu kwa Simba bali hata kwa Taifa..Yanga igeni hili haraka
Mwisho, nawashauri TFF na hata Wizara ya Michezo kuona namna bora zaidi ya kuchota UJUZI wa gwiji hili la soka toka nchini Argentina..tuitumie fursa hii ya yeye kuwepo nchini
Naomba kuwasilisha
Asanteni
Kwa hiyo Man u hawana hela au roporopo tuHizi timu zetu zaidi ni pesa za Mo na GSM, hawa makocha hawana la maana sana. Mpeleke Gamond Lyamungo ndio utaelewa
kabisa mwanawane tena kama fuso ndio alifaa kabisa maana mtu wa kazi yule yanga wana malengends wengi tuu ambao wanaweza ka hapo kama assistants na wakawa groomed kuwa head coaches wa yanga hapo baadae.Wale wachezaji wa zamani kina Nsajigwa na Nadir Haroub wangekaa benchi ingekaa vizuri sana kimkakati wa Taifa la Wadanganyika,ila mtoa mada acha sifa za kijinga.
Bayern Guardiola amebeba German Cup mara mbili, UEFA Super Cup na FIFA Club World Cup, au ulitaka kumaanisha nini mkuu?Pep alikuwa Bayern!, walikuwa wanacheza mpira wa aina gani?. Pale City wanahela wanafanya sajili zilizo bora tayari sokoni.
sahihi kabisa.kabisa mwanawane tena kama fuso ndio alifaa kabisa maana mtu wa kazi yule yanga wana malengends wengi tuu ambao wanaweza ka hapo kama assistants na wakawa groomed kuwa head coaches wa yanga hapo baadae.
Hawa kina matola hawafaiMnataka kuleta wafitinishaji kwenye timu, mtu wa kutengeneza makundi kwenye dressing room. Acha iwe hivi hivi angalia upendo uliopo kwenye timu hakuna mchezaji anayejiona ni bora kuliko wenzake bali wote wanajiona ni wanafamilia na umoja wao ndio mafanikio ya timu.
Baada ya hapo?Ranieri alibeba EPL na Leicester City
Conte pia alibeba baada ya hapo?Baada ya hapo?
conte alikuwa na Leicester?Conte pia alibeba baada ya hapo?
conte alikuwa na Leicester?
Baada ya kuuza wachezaji muhimu.Msimu uliofata akafukuzwa, that was just a flop