Kocha Gamondi atafutiwe kocha msaidizi mzawa

Kocha Gamondi atafutiwe kocha msaidizi mzawa

Mnataka kuleta wafitinishaji kwenye timu, mtu wa kutengeneza makundi kwenye dressing room. Acha iwe hivi hivi angalia upendo uliopo kwenye timu hakuna mchezaji anayejiona ni bora kuliko wenzake bali wote wanajiona ni wanafamilia na umoja wao ndio mafanikio ya timu.
 
Kwahiyo na Man City ni pesa za kina Sheikh Mansour makocha hawana la maana sana. Tukimpeleka Guardiola Ipswich Town ndio tutaelewa?
Pep alikuwa Bayern!, walikuwa wanacheza mpira wa aina gani?. Pale City wanahela wanafanya sajili zilizo bora tayari sokoni.
 
Matola huyu huyu awe hazina kwa taifa ! Labda kwa ushiriki - na.
Nimesema baada ya muda, naamini kitendo cha kuwa chini yaa makocha mbalimbali wa kimataifa,naamini kuna kitu atakuwa na anaendelea kujifunza..kwa sasa aachwe aendelee kuchota MAUJUZI
 
Nikiwa kama mdau na mshabiki wa soka la Tanzania, nami nimewiwa kuchangia hili kwa maendeleo endelevu ya soka la klabu ya Yanga na Taifa kwa ujumla

Nashauri klabu ya Yanga ilete kocha kijana mzawa awe kwenye jopo/benchi la ufundi la kocha wa timu ya Yanga( Dar Young African FC). Hii ni kutokana na MAFANIKIO lukuki aliyoyaleta kocha huyu toka nchini Argentina.

Naamini ujuzi, mbinu ,uzoefu na mikakati ya kocha huyu GWIJI ,si vyema kuacha ipotee pindi atakapo amua kuondoka. Hivyo nashauri klabu ya Yanga kuleta kocha/makocha vijana kwa ajili ya kujifunza UCHAWI wa kocha huyu mkongwe ili hata siku akiondoka tubaki na ujuzi wake. Mbinu hii nimeona klabu ya Simba wakiitumia kwa kuhakikisha kocha wao msaidizi ,ndugu Matola Selemaini kubaki kwenye benchi la ufundi la klabu hiiyo licha ya mabadiliko ya mara kwa mara ya makocha,naamini after time t ,Kocha Matola atakuja kuwa sio HAZINA tu kwa Simba bali hata kwa Taifa..Yanga igeni hili haraka

Mwisho, nawashauri TFF na hata Wizara ya Michezo kuona namna bora zaidi ya kuchota UJUZI wa gwiji hili la soka toka nchini Argentina..tuitumie fursa hii ya yeye kuwepo nchini

Naomba kuwasilisha
Asanteni
Makocha Wazawa ni chanzo Cha migogoro na ushirikina na Timu huanza kufanya vibaya
 
Nikiwa kama mdau na mshabiki wa soka la Tanzania, nami nimewiwa kuchangia hili kwa maendeleo endelevu ya soka la klabu ya Yanga na Taifa kwa ujumla

Nashauri klabu ya Yanga ilete kocha kijana mzawa awe kwenye jopo/benchi la ufundi la kocha wa timu ya Yanga( Dar Young African FC). Hii ni kutokana na MAFANIKIO lukuki aliyoyaleta kocha huyu toka nchini Argentina.

Naamini ujuzi, mbinu ,uzoefu na mikakati ya kocha huyu GWIJI ,si vyema kuacha ipotee pindi atakapo amua kuondoka. Hivyo nashauri klabu ya Yanga kuleta kocha/makocha vijana kwa ajili ya kujifunza UCHAWI wa kocha huyu mkongwe ili hata siku akiondoka tubaki na ujuzi wake. Mbinu hii nimeona klabu ya Simba wakiitumia kwa kuhakikisha kocha wao msaidizi ,ndugu Matola Selemaini kubaki kwenye benchi la ufundi la klabu hiiyo licha ya mabadiliko ya mara kwa mara ya makocha,naamini after time t ,Kocha Matola atakuja kuwa sio HAZINA tu kwa Simba bali hata kwa Taifa..Yanga igeni hili haraka

Mwisho, nawashauri TFF na hata Wizara ya Michezo kuona namna bora zaidi ya kuchota UJUZI wa gwiji hili la soka toka nchini Argentina..tuitumie fursa hii ya yeye kuwepo nchini

Naomba kuwasilisha
Asanteni
Ila shida yetu tumejawa uchoyo,fitna na tamaa,tukipata nafasi tunawaza kunufaika binafsi na nafasi tuliyopata,angalia jirani zetu kila kitu wanacho na huenda ugonjwa wao ni hao wansoitwa wazawa.Japo nguvu mingimingi inatumika,kile angalao wanachokipata ni kwaaa taaaabu sana.
 
katika ufala ambao tz tunao nii huu anazungumza mtoa mada. kwa kweli wizara na tff zinabidi zifkirie. ebu imagine yanga wanafika cacc final hamna kocha ata mmoja mzawa aliye benefit kutokan na mafanikio hayo.
 
Wale wachezaji wa zamani kina Nsajigwa na Nadir Haroub wangekaa benchi ingekaa vizuri sana kimkakati wa Taifa la Wadanganyika,ila mtoa mada acha sifa za kijinga.
kabisa mwanawane tena kama fuso ndio alifaa kabisa maana mtu wa kazi yule yanga wana malengends wengi tuu ambao wanaweza ka hapo kama assistants na wakawa groomed kuwa head coaches wa yanga hapo baadae.
 
Mnataka kuleta wafitinishaji kwenye timu, mtu wa kutengeneza makundi kwenye dressing room. Acha iwe hivi hivi angalia upendo uliopo kwenye timu hakuna mchezaji anayejiona ni bora kuliko wenzake bali wote wanajiona ni wanafamilia na umoja wao ndio mafanikio ya timu.
Hawa kina matola hawafai
 
Back
Top Bottom