Katika press ya kabla ya mechi ya Yanga vs Mtibwa, Kocha Gamondi alisema ukweli mchungu ambao inawezekana wanachama, mashabiki na wapenzi wa Yanga wangekuwa wanajua ngeli na ung'eng'e wakaweza kumuelewa, angekuwa na wakati mgumu sana.
Gamondi alianza kwa kuomba msamaha kwa wale ambao watakwazika kwa maneno yake halafu akasema Kombe la Shirikisho ni kombe dogo na lisilo na hadhi. Vitimu ambavyo vingine vimeshindwa kwenye Klabu Bingwa vinaangukia huko, ghafla vinajikuta kwenye fainali halafu vinaanza kusumbua watu.
Akamalizia kwa kusema huku Klabu Bingwa ni kugumu mnoo maana kila unayekutana naye ni timu ya viwango, hakuna timu unayoweza kuita ni kibonde.
Your browser is not able to display this video.
Sasa kama hadi kocha wako anasema hivyo, wewe mshabiki hoya hoya unabisha nini?
Katika press ya kabla ya mechi ya Yanga vs Mtibwa, Kocha Gamondi alisema ukweli mchungu ambao inawezekana wanachama, mashabiki na wapenzi wa Yanga wangekuwa wanajua ngeli na ung'eng'e wakaweza kumuelewa, angekuwa na wakati mgumu sana.
Gamondi alianza kwa kuomba msamaha kwa wale ambao watakwazika kwa maneno yake halafu akasema Kombe la Shirikisho ni kombe dogo na lisilo na hadhi. Vitimu ambavyo vingine vimeshindwa kwenye Klabu Bingwa vinaangukia huko, ghafla vinajikuta kwenye fainali halafu vinaanza kusumbua watu.
Akamalizia kwa kusema huku Klabu Bingwa ni kugumu mnoo maana kila unayekutana naye ni timu ya viwango, hakuna timu unayoweza kuita ni kibonde.
Sasa kama hadi Gamondi anasema hivyo, wewe mshabiki hoya hoya unabisha nini?
Katika press ya kabla ya mechi ya Yanga vs Mtibwa, Kocha Gamondi alisema ukweli mchungu ambao inawezekana wanachama, mashabiki na wapenzi wa Yanga wangekuwa wanajua ngeli na ung'eng'e wakaweza kumuelewa, angekuwa na wakati mgumu sana.
Gamondi alianza kwa kuomba msamaha kwa wale ambao watakwazika kwa maneno yake halafu akasema Kombe la Shirikisho ni kombe dogo na lisilo na hadhi. Vitimu ambavyo vingine vimeshindwa kwenye Klabu Bingwa vinaangukia huko, ghafla vinajikuta kwenye fainali halafu vinaanza kusumbua watu.
Akamalizia kwa kusema huku Klabu Bingwa ni kugumu mnoo maana kila unayekutana naye ni timu ya viwango, hakuna timu unayoweza kuita ni kibonde.
Sasa kama hadi Gamondi anasema hivyo, wewe mshabiki hoya hoya unabisha nini?
Katika press ya kabla ya mechi ya Yanga vs Mtibwa, Kocha Gamondi alisema ukweli mchungu ambao inawezekana wanachama, mashabiki na wapenzi wa Yanga wangekuwa wanajua ngeli na ung'eng'e wakaweza kumuelewa, angekuwa na wakati mgumu sana.
Gamondi alianza kwa kuomba msamaha kwa wale ambao watakwazika kwa maneno yake halafu akasema Kombe la Shirikisho ni kombe dogo na lisilo na hadhi. Vitimu ambavyo vingine vimeshindwa kwenye Klabu Bingwa vinaangukia huko, ghafla vinajikuta kwenye fainali halafu vinaanza kusumbua watu.
Akamalizia kwa kusema huku Klabu Bingwa ni kugumu mnoo maana kila unayekutana naye ni timu ya viwango, hakuna timu unayoweza kuita ni kibonde.
Sasa kama hadi Gamondi anasema hivyo, wewe mshabiki hoya hoya unabisha nini?
Katika press ya kabla ya mechi ya Yanga vs Mtibwa, Kocha Gamondi alisema ukweli mchungu ambao inawezekana wanachama, mashabiki na wapenzi wa Yanga wangekuwa wanajua ngeli na ung'eng'e wakaweza kumuelewa, angekuwa na wakati mgumu sana.
Gamondi alianza kwa kuomba msamaha kwa wale ambao watakwazika kwa maneno yake halafu akasema Kombe la Shirikisho ni kombe dogo na lisilo na hadhi. Vitimu ambavyo vingine vimeshindwa kwenye Klabu Bingwa vinaangukia huko, ghafla vinajikuta kwenye fainali halafu vinaanza kusumbua watu.
Akamalizia kwa kusema huku Klabu Bingwa ni kugumu mnoo maana kila unayekutana naye ni timu ya viwango, hakuna timu unayoweza kuita ni kibonde.
Sasa kama hadi Gamondi anasema hivyo, wewe mshabiki hoya hoya unabisha nini?
Haya majitu ni majinga sana wanalidharau kombe ambalo hawajahi hata kufika semi finals timu zote kubwa Africa zisha wahi either kuchukua au kufika fainali hilo kombe wao wamebaki kubeza kama lingekua kombe rahisi si wangelichukua tuone?
Tena Gamondi akaongeza ... Namnukuu.." Ndio maana unaona Hata Bingwa Wa Shirikisho hayupo Ndani ya 10 Bora za CAF"... Mwisho wa nukuu. Hivyo ndugu zangu Tuache Kujisifia Sifia....!
Ile michuano ni Sawa na ndondo Cup...!
Kashanusa aibu inayokuja mbele. Watu wanawafunga kina Benzema, na wanacheza na Fluminence na Man City, halafu unategemea kuwafunga ukiwa na kina Moloko na Skudu tena nyumbani kwao
Tena Gamondi akaongeza ... Namnukuu.." Ndio maana unaona Hata Bingwa Wa Shirikisho hayupo Ndani ya 10 Bora za CAF"... Mwisho wa nukuu. Hivyo ndugu zangu Tuache Kujisifia Sifia....!
Ile michuano ni Sawa na ndondo Cup...!
Haya majitu ni majinga sana wanalidharau kombe ambalo hawajahi hata kufika semi finals timu zote kubwa Africa zisha wahi either kuchukua au kufika fainali hilo kombe wao wamebaki kubeza kama lingekua kombe rahisi si wangelichukua tuone?
Vuka kwanza makundi tuone kama rahisi ili uanze kuchukua ww ufungue njia umecheza mechi 9 Caf champions league group umepigwa 5 ume draw 4 hujawahi shinda hata mechi moja tangia 1993.
Lakini si tayari malengo ya timu kuingia makundi yamefikiwa? Mwakani kama mtaweza kumshinda Azam mkashika nafasi ya pili kwenye ligi, mtaweka malengo mfike tena makundi na mshinde angalau mechi moja kwenye makundi, mdogo mdogo mnasogea
Katika press ya kabla ya mechi ya Yanga vs Mtibwa, Kocha Gamondi alisema ukweli mchungu ambao inawezekana wanachama, mashabiki na wapenzi wa Yanga wangekuwa wanajua ngeli na ung'eng'e wakaweza kumuelewa, angekuwa na wakati mgumu sana.
Gamondi alianza kwa kuomba msamaha kwa wale ambao watakwazika kwa maneno yake halafu akasema Kombe la Shirikisho ni kombe dogo na lisilo na hadhi. Vitimu ambavyo vingine vimeshindwa kwenye Klabu Bingwa vinaangukia huko, ghafla vinajikuta kwenye fainali halafu vinaanza kusumbua watu.
Akamalizia kwa kusema huku Klabu Bingwa ni kugumu mnoo maana kila unayekutana naye ni timu ya viwango, hakuna timu unayoweza kuita ni kibonde.
Sasa kama hadi Gamondi anasema hivyo, wewe mshabiki hoya hoya unabisha nini?