Hii inajulika tangu mwanzo
Caf CL ni first tier competition
Caf cc ni second tier competition.
Gamondi anasema kwenye confederation mabingwa wa fa wa nchi mbalimbali wanakutana , na wakati mungine sio lazima best timu ishinde kombe la fa maana timu ya kawaida inaweza kucheza mechi 4 ikafika fainali ya fa na ikashinda Kombe wakati mungine kwa penati .
Kwenye champions league ni mabingwa wa ligi za nchi na ili ushinde kombe la ligi lazima ucheze mechi 30
Swali je ukifanya viZuri confederation usipewe credit Kwasababu ni confederation?